Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Amen Amen AmenTujifunze kuwaombea watu mema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen Amen AmenTujifunze kuwaombea watu mema
Latra wanakariri na sidhani kama wanajua maana ya luxury buses, bahati mbaya hata sisi abiria hatujuiAlly's anawapiga sana huwezi mlipisha abiria 120k kwa Bus Coach, hiyo nauli ilitakiwa ichajiwe kwa Sleep Line Bus ambazo ni full luxury. Hata watu wa Latra hizo nauli wamepitisha kwa kufumba macho
Upo sahihi kabisa,Latra wanakariri na sidhani kama wanajua maana ya luxury buses, bahati mbaya hata sisi abiria hatujui
Luxury bus lazima iwe full air suspension,full air conditioned, choo , engine nyuma for quiet cabin and at least 45degree seat inclination, .ukiwa na configuration hii seat kwa basi zima haziwezi kuzidi 40 ,
mzee, huyu ni wewe kweli ?Buku
Upo sahihi zile ndo zilikuwa luxury busesUpo sahihi kabisa,
Scandinavia aliwahi kuwa na luxury bus ilikuwa na route ya Ars, Nrb na Kmpl kama sikosei, since then sijaona nyingine
Kabla ya Scandinavia, KAMATA walikuwa na luxury bus ambayo mpaka leo hii sijawahi kuona hapa TZ.Upo sahihi kabisa,
Scandinavia aliwahi kuwa na luxury bus ilikuwa na route ya Ars, Nrb na Kmpl kama sikosei, since then sijaona nyingine
Tutakuwa pamoja ila Mimi napanda Ally's Vvip ya 120000Hii ni endelevu au mnawaonjesha wasukuma uhondo waliokuwa wameuzoea wakati wa fast jet ?.
View attachment 2547727
Mzee life is so hard, sometimes unatakiwa kupanda ndegemzee, huyu ni wewe kweli ?
Ally's Star VVIP/VIPLinaitwaje?
Ally's Star VVIP/VIPNaomba Jina
Gari za Ally's VVIP ni nzuri sana mkuu.Latra wanakariri na sidhani kama wanajua maana ya luxury buses, bahati mbaya hata sisi abiria hatujui
Luxury bus lazima iwe full air suspension,full air conditioned, choo , engine nyuma for quiet cabin and at least 45degree seat inclination, .ukiwa na configuration hii seat kwa basi zima haziwezi kuzidi 40 ,
Mchijna akiweka aircon tu, anaibatiza basi luxury
Na Mwanza to Dar?je
Linaitwaje?
soon utashangaa wanafungiwa kama fast jet ATCLL itawaletea figisu
Nita nishangaeKutoka kwa chanzo cha ndani..ni kwamba ilikuwa ni ofa ya siku moja..hiyo ndege ilikuwa imenunuliwa na shirika na ilikuwa inapelekwa Mwanza kufanyiwa uzundizi..ndio ikaonekana lazima angalau pia ibebe abiria kadhaa.