Usafiri wa ndege Dar es Salaam - Mwanza kwa Tsh 120,000, unaanza Machi 13, 2023

Usafiri wa ndege Dar es Salaam - Mwanza kwa Tsh 120,000, unaanza Machi 13, 2023

Acha uongo sio kwa Africa! Nchi gani Africa imefanikiwa kuweka bei ya chini?. Suala liko kwenye mazingira ya biashara hasa kutokuwa na uwezo wa uzalishaji wa vipuri na huduma za ndege na pia kodi zisizo rafiki na udogo wa soko kutokana na umasikini.
Fast jet nilikata tiket ya kwenda na kurudi SA kwa Tsh 360,000 gawanya ujue ticketi moja ilikua Tsh ngapi usibishe kama vitu huvijui tulikua tunakata tiket moja kuja Daslm kwa rand 1600 inategemena na season maana nazo zinashuka na kupanda kutokana na season...
 
Kwa hiyo wanamfumo tofauti na soko lote la usafiri wa anga. Pili nchi kama hiyo utakuta mambo niliyosema Serikalini inatoa ruzuku na hakuna msululu wa kodi. Mafuta karibu na bure
ndo kwann serikali yako isifanye hivyo , ndo hoja ya mkuu hapo
 
Hujasafiri mkuu!!
Sijaona basi yoyote ya kichina ambazo ni luxury .mnadanganywa , nenda hapo Zambia utakuja kuyapinga haya maneno yako hapa..
Luxury kwanza gar inakuwa Auto gearshift, wala huzisikii, engine nyuma mnasafiri kimya kimya , choo ndani , tena kwa wenzetu miaka hii ni choo cha haja zote, seat , inclination kubwa yani unalala na abiria wa nyuma yako halalamiki kuguswa na seat ,
Hakuna basi ya mchina yenye full air suspension , wala autobox,
Mfano wa luxury' hizi basi ni za abiria 35 tu kwa urefu huo, vioo ni sealed , hakuna kununua mahindi!!
hakuna kununua mahindi?
 
Fast jet nilikata tiket ya kwenda na kurudi SA kwa Tsh 360,000 gawanya ujue ticketi moja ilikua Tsh ngapi usibishe kama vitu huvijui tulikua tunakata tiket moja kuja Daslm kwa rand 1600 inategemena na season maana nazo zinashuka na kupanda kutokana na season...
Watu hawana exposure , haladfu badala ya kujifunza wanakuwa wabishi
Fastjet nilikuwa naenda mwanza kwa sh 38500,
 
Gharama kubwa za uendeshaji wa ndege, standard kimataifa, ni mafuta 25 - 40%, matengenezo ,(maintenance) 15 -25%, gharama za watumishi 15-20% na zilizobaki ni gharama ndogondogo. Nakutafutia gharama za Bombardier uone bei itakuaje na kama 120,000 itawawezesha kufanyakazi au ni bei ya kuingia kwenye soko na kwa muda tu
Lakini pia budget airline wana structure yao ya cost management ,
Hamna refreshment, zile 100g korosho tunazopewa onboard na atcl , utrack bei unaweza kuta ziinacost upwards 20k ba gharama lazima ije kwenye ticket yako budget airlime wana discourage mizigo , hakuna allowance ya free 20kg,
Rayn air kwa mfao hadi namna ya landing ni kwa kusave mafuta , yote hayo ili wauze ticket kwa bei nafuu.
 
Latra wanakariri na sidhani kama wanajua maana ya luxury buses, bahati mbaya hata sisi abiria hatujui
Luxury bus lazima iwe full air suspension,full air conditioned, choo , engine nyuma for quiet cabin and at least 45degree seat inclination, .ukiwa na configuration hii seat kwa basi zima haziwezi kuzidi 40 ,
Mchijna akiweka aircon tu, anaibatiza basi luxury
Pana bus nyota 5 wanazo Greyhound wana balaa wale jamaa seat sidhani kama zinazidi 16 chini wanagawa vinywaji na chakula juu ndio seat zipo niliwahi panda mara moja tuu...zile bus za Zambia zenye body ya IQ 10 zinasubiri sana...
 
Kivipi mkuu sijakuelewa maana wiki nne zilizopita nimeenda Jhb mpaka Durban kwa rand 800 nadhani sawa na Tsh 112,000 na Tiketi ya Kuja Tanzania na Kurudi SA Kenya Airways kwa USD 300...pana muda bei ya ndege kwenda Cape Town kutokea JHB inakua chini kuliko Bus na bado bus zinajaa tuu...
Nimaanisha bei ikipunguzwa taratibu za kiusalama zibaki pale pale. Punguzo liathiri faida tu ya kampuni, ndiyo maana yangu mkuu
 
Back
Top Bottom