Bei ya usafiri wa ndege iliongezeka baada ya Jiwe kuondoa ushindani. Yule jamaa alikuwa zaidi ya shetaniAnyways bei zikiwa fair watanzania nao wapande ndege.
Hata kama ni special flight basi bei ya siku zote isiwe kubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya usafiri wa ndege iliongezeka baada ya Jiwe kuondoa ushindani. Yule jamaa alikuwa zaidi ya shetaniAnyways bei zikiwa fair watanzania nao wapande ndege.
Hata kama ni special flight basi bei ya siku zote isiwe kubwa sana.
Naona msaidizi wake shetani yupo madarakani.Bei ya usafiri wa ndege iliongezeka baada ya Jiwe kuondoa ushindani. Yule jamaa alikuwa zaidi ya shetani
Mzee wangu Dar johb Go and return inaendea ngapi nmechoka zereuKivipi mkuu sijakuelewa maana wiki nne zilizopita nimeenda Jhb mpaka Durban kwa rand 800 nadhani sawa na Tsh 112,000 na Tiketi ya Kuja Tanzania na Kurudi SA Kenya Airways kwa USD 300...pana muda bei ya ndege kwenda Cape Town kutokea JHB inakua chini kuliko Bus na bado bus zinajaa tuu...
yule majaliwa aendelee kukaa stand-by. wakati wowote linawezatokea loloteHii ni endelevu au mnawaonjesha wasukuma uhondo waliokuwa wameuzoea wakati wa fast jet?.
View attachment 2547727
Ikiwa kubwa wewe inakusaidia nini? Au ikiwa ndogo unaathirika vip?Jiko ki ndege kama kidogo vile
Acha watu waonje anga mkuu 😀Cheap is expensive
Fast Jet wananafasi yao Peponi mkuu 😀Afadhari nipande ndege toka fastjet wasepe nikupanda tu ugonjwa wa moyo
Kenya usd 300 mpaka 340 Malawi air 340 mpaka 370 usd ila ukate kwenye ofisi zao sio wakala ila inapanda na kushuka kutokana na season mwezi uliopita na huu ndio bei hizo tunakata. na zote ni Return Ticket hizo..Mzee wangu Dar johb Go and return inaendea ngapi nmechoka zereu
Mkuu sio SA tuu Nchi nyingi najua mashirika yao ya gharama nafuu kwa season wengi Tanzania wanajua ukipanda ndege mmelipa Nauli sawa kumbe kila mtu kalipa tofauti kutokana na alivyonunua na siku aliyokata Ticket hata wote mkipanda Economy Class...Mzee wangu Dar johb Go and return inaendea ngapi nmechoka zereu
Kwetu bei tofauti sana, kwa wakala bei tofauti na ukikatia ofisini pia ukikatia online bei tofauti mara ukikata mapema bei wanakupa tofauti, kifupi ni bei ambazo hazielewekiAlgeria. Tiketi za ndani bei ni fixed ukate leo kesho au mwaka jana
Poa mkuu likizo ya mwaka huu nshuke bondeniKenya usd 300 mpaka 340 Malawi air 340 mpaka 370 usd ila ukate kwenye ofisi zao sio wakala ila inapanda na kushuka kutokana na season mwezi uliopita na huu ndio bei hizo tunakata. na zote ni Return Ticket hizo..
Mkuu swala la usalama lipo chini ya Mashirika ya kimataifa tusipokizi vigezo tunafungiwa hivyo viwanja kila mwezi wanavikagua na watu wanatumwa kabisa na hizo ndege nyingi zinatoa taarifa kama vile wanaolipa madeni ndio maana kukiwa hakuna taarifa sahihi shirika linaamua kuweka ndege chini bila hivyo wangekua wanapaa kila siku hata kama ndege ina matatizo...ni sheria za Anga ndio zinafanya wasimamishe kusafirisha abiria kama hawajakidhi vigezo mpaka kwa marubani wao..Nimaanisha bei ikipunguzwa taratibu za kiusalama zibaki pale pale. Punguzo liathiri faida tu ya kampuni, ndiyo maana yangu mkuu
Karibu Mkuu kama ntakua SA tuwasiliane...Poa mkuu likizo ya mwaka huu nshuke bondeni
Pamoja mkuuKaribu Mkuu kama ntakua SA tuwasiliane...
Fast jet nilikata tiket ya kwenda na kurudi SA kwa Tsh 360,000 gawanya ujue ticketi moja ilikua Tsh ngapi usibishe kama vitu huvijui tulikua tunakata tiket moja kuja Daslm kwa rand 1600 inategemena na season maana nazo zinashuka na kupanda kutokana na season...
Hapana mkuu, huyu pamoja na mapungufu yake lakini yuko poa kuliko yule shetani, japo ni maoni yangu na siyo lazima kila mtu aone hivyoNaona msaidizi wake shetani yupo madarakani.
Leo nikuwa naangalia emails za fast jet , kuna itinerary ya tsh 236,000 , dar jo burg.Kukosa exposure kunawafanya waamini katika bei kubwa zilizopo nyumbani kumbe hilo swala wenzetu walishatoka muda mrefu...