Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hauko siriazi, kwasasa ndio watoa huduma wa uhakika.Air Tanzania tukafugie kuku au?
Precision kwasasa haiaminiki na wengi.
Haka kapya nako vindege viduchu kama midoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauko siriazi, kwasasa ndio watoa huduma wa uhakika.Air Tanzania tukafugie kuku au?
Auric ni kampuni ya siku nyingi.Mkuu hii si kampuni ya Rostam inaanza kazi rasmi au?
Naifahamu japo videge vyao hukodishwa zaidi.Auric ni kampuni ya siku nyingi.
Nilidhani ndiyo wameanza rasmi route hiyo, route ya Dsm- Mwanza ina abiria wengi sana. Mara zote nilizokwea airbus za Atcl kwa route hiyo ya Mwanza huwa inajaza seat zoteMkuu hio ni one off. Ndege siku hio ina kazi Mwanza wakaona isiende tupu ndio wametoa hio offer.
YEs route ya Mwanza ina abiria wengi bila shaka ikifuatiwa na JroNilidhani ndiyo wameanza rasmi route hiyo, route ya Dsm- Mwanza ina abiria wengi sana. Mara zote nilizokwea airbus za Atcl kwa route hiyo ya Mwanza huwa inajaza seat zote
Ilikuwa inatisha Mkuu, maana unaona kabisa ndege inavyosongwa na upepo mkali wa kule juu.Nimecheka hapo pa kuzimia
Warudishe fastjet tu tundege tudogo tunatisha
Nadhani kuna haja waongeze ndege zaidi route hiyoYEs route ya Mwanza ina abiria wengi bila shaka ikifuatiwa na Jro
Kweli.Nadhani kuna haja waongeze ndege zaidi route hiyo
Unaambiwa bus luxury ukiuliza kuna nn una aambiwa kuna ac na wanagawa pipi 😆Latra wanakariri na sidhani kama wanajua maana ya luxury buses, bahati mbaya hata sisi abiria hatujui
Luxury bus lazima iwe full air suspension,full air conditioned, choo , engine nyuma for quiet cabin and at least 45degree seat inclination, .ukiwa na configuration hii seat kwa basi zima haziwezi kuzidi 40 ,
Mchijna akiweka aircon tu, anaibatiza basi luxury
Hii kampuni ni ya nani?Hii ni endelevu au mnawaonjesha wasukuma uhondo waliokuwa wameuzoea wakati wa fast jet?.
View attachment 2547727
Ndege wakiondoa ukiritimba sio ghari kivile na abiria wa Mwanza,Mbeya,Dom, Arusha na Zanzibar wapo wengi sana ni vile wameweka password inaonekana ni usafiri wa anasa...
South africa ilikuwa na budget air line kama tatu hivi na zilikuwa cheap kuliko SaaAcha uongo sio kwa Africa! Nchi gani Africa imefanikiwa kuweka bei ya chini?. Suala liko kwenye mazingira ya biashara hasa kutokuwa na uwezo wa uzalishaji wa vipuri na huduma za ndege na pia kodi zisizo rafiki na udogo wa soko kutokana na umasikini.
Wako wapi kwa sasa?South africa ilikuwa na budget air line kama tatu hivi na zilikuwa cheap kuliko Saa
Kukula .com
Mango
Fly 540
Kulula wanakuja hadi zanzibar na ilikuwa cheap.
Budget airline au Low Cost Carrier (LCC) zilizoanzishwa Africa ngapi zinaendelea ku operate as LCC,? Yes cost structure ni tofauti kwa kuhakikisha hawatoi hizo inflight services, wanatumia special designed aircraft kupunguza uzito ili kutumia mafuta kidogo , discouraging mizigo mizito ili kupunguza mafuta otherwise you pay heavily, kutumia viwanja vyenye tozo za chini. Muhimu zaidi kuwa na passenger volume kubwa ili kubeba abiria wengi au kuuza tiketi nyingi to facilitate forward sales kubwa maana wanahitaji cash flow kubwa! Do we have these conditions in Afrika? Then utajua kwanini nimekuwanikipinga kuwa fastjet eti kahujumiwa. By the way, landing ambayo ita save mafuta ni procedure ya kila shirika kutokana kuwa item yenye gharama kubwa za uendeshajiLakini pia budget airline wana structure yao ya cost management ,
Hamna refreshment, zile 100g korosho tunazopewa onboard na atcl , utrack bei unaweza kuta ziinacost upwards 20k ba gharama lazima ije kwenye ticket yako budget airlime wana discourage mizigo , hakuna allowance ya free 20kg,
Rayn air kwa mfao hadi namna ya landing ni kwa kusave mafuta , yote hayo ili wauze ticket kwa bei nafuu.
Naked truthNdege wakiondoa ukiritimba sio ghari kivile na abiria wa Mwanza,Mbeya,Dom, Arusha na Zanzibar wapo wengi sana ni vile wameweka password inaonekana ni usafiri wa anasa...
Wewe unajua unachoongea.Budget airline au Low Cost Carrier (LCC) zilizoanzishwa Africa ngapi zinaendelea ku operate as LCC,? Yes cost structure ni tofauti kwa kuhakikisha hawatoi hizo inflight services, wanatumia special designed aircraft kupunguza uzito ili kutumia mafuta kidogo , discouraging mizigo mizito ili kupunguza mafuta otherwise you pay heavily, kutumia viwanja vyenye tozo za chini. Muhimu zaidi kuwa na passenger volume kubwa ili kubeba abiria wengi au kuuza tiketi nyingi to facilitate forward sales kubwa maana wanahitaji cash flow kubwa! Do we have these conditions in Afrika? Then utajua kwanini nimekuwanikipinga kuwa fastjet eti kahujumiwa. By the way, landing ambayo ita save mafuta ni procedure ya kila shirika kutokana kuwa item yenye gharama kubwa za uendeshaji
Mambo yako hayo....watu wanaona rahisi sana aviation business.[emoji1787][emoji23][emoji23]bro unaelewa aviation vizuri lakini...ground charges za airport...bado ground handling charges za airport(swissport, dnata, celeb) ni kubwa sana mzee...bado kuna safety issues za kila siku kabla haijaondoka...very expensive kwiayo huo ukiritimba huujui vizuri
MtaqlamuBudget airline au Low Cost Carrier (LCC) zilizoanzishwa Africa ngapi zinaendelea ku operate as LCC,? Yes cost structure ni tofauti kwa kuhakikisha hawatoi hizo inflight services, wanatumia special designed aircraft kupunguza uzito ili kutumia mafuta kidogo , discouraging mizigo mizito ili kupunguza mafuta otherwise you pay heavily, kutumia viwanja vyenye tozo za chini. Muhimu zaidi kuwa na passenger volume kubwa ili kubeba abiria wengi au kuuza tiketi nyingi to facilitate forward sales kubwa maana wanahitaji cash flow kubwa! Do we have these conditions in Afrika? Then utajua kwanini nimekuwanikipinga kuwa fastjet eti kahujumiwa. By the way, landing ambayo ita save mafuta ni procedure ya kila shirika kutokana kuwa item yenye gharama kubwa za uendeshaji
Ground charges ni na handling ni kubwa kwetu na zililalamikiwa na mashirika makubwa ya ndege , na ndio sbabu ndege nyingi ziliamua kuishia Nairobi . Lakini hili lingeweza kujadilika kama tusinge binafsisha Dahaco[emoji1787][emoji23][emoji23]bro unaelewa aviation vizuri lakini...ground charges za airport...bado ground handling charges za airport(swissport, dnata, celeb) ni kubwa sana mzee...bado kuna safety issues za kila siku kabla haijaondoka...very expensive kwiayo huo ukiritimba huujui vizuri