OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Usiseme wezi ni CCM pekee, sikatai wapo lakini tuuseme ukweli, Watanzania wengi sana wezi na wengi wapo kwenye vyama na wasiokuwepo kwenye vyama. Kuna walioiibia Serikali na kuuwa mashirika ya umma Tanzania hii zaidi ya Wachagga, Wahaya na Wanyakyusa? Tuseme kweli.
Usiseme wezi ni CCM pekee, sikatai wapo lakini tuuseme ukweli, Watanzania wengi sana wezi na wengi wapo kwenye vyama na wasiokuwepo kwenye vyama. Kuna walioiibia Serikali na kuuwa mashirika ya umma Tanzania hii zaidi ya Wachagga, Wahaya na Wanyakyusa? Tuseme kweli.
Naona umekuja na Id nyingine hahah, different I'd bt same same old ----.
Jiulizeni ni kwa nini rubani Wengi wa ET Huzamia mataifa ya kigeni?....Kama Yule et pilot aliye seek asylum, in Sweden by abandoning the plane kule.....udikteta wa serikali ya uhAbeshi......hawalipi pilots ukitishia unawawa.....pia serikali inzamisha posho za kufa mtu year in year out kwenye airline.....na kupelekea kukosekana kwa huduma muhimu....
wengi wao huzamia nje ya nchi Kama wahamiaji haramu ......soviet socialist policies......siku nchi ile itakuwa ya kidemokrasia ya kweli.....wananchi hawatokubali kamwe kuibeba shirika lenye hasara........at the expense of social services.......jiulizeni pia kwa nini hawachapishi financial reports openly Kama mashirika mengine......Ili tuweze kuona kiwango cha faida au hasara waliopata?......itajifia tu kiulaini.......wee wacha tu demokrasia Ikite mixizi
Hii ni comment ya kijinga kuliko.Pilot kuomba hifadhi ni jambo la binafsi. Nchi aliyeomba hifadhi ni Switzerland sio Sweden. Ma pilots wa E.Airlines wapo wa mataifa mbalimbali nao wanatishiwa kuuliwa? Wenzetu wananunua Ndege mpya kila mwaka wewe umekalia majungu na hearsay. Ethiopian Airlines inaendeshwa kitaalamu na wameajiri wataalamu mbalimbali kutoka pembe za dunia.Ndio maana wamepata tuzo mbalimbali na kushindana na mashirika yenye majina.Tuige mazuri yao kwani ni mfano kwa Airlines za kutoka Bara la Afrika.
Usiseme wezi ni CCM pekee, sikatai wapo lakini tuuseme ukweli, Watanzania wengi sana wezi na wengi wapo kwenye vyama na wasiokuwepo kwenye vyama. Kuna walioiibia Serikali na kuuwa mashirika ya umma Tanzania hii zaidi ya Wachagga, Wahaya na Wanyakyusa? Tuseme kweli.
Hee....Ukiwa na nguvu ya kusema wezi sio ccm naanza kukutilia mashaka.
Mleta mada unautani sana ivi untaka tuwe na shirika la ndege kama ithopia wakati hatujajua hata sehemu za kukojolea tunakojoa barabarani ovyo..
Bro Lemutuz
Heshima kwako.
Naomba nichangie mada kwa kurekebisha kuwa Wahabeshi si wa Israeli au wayahudi. Wahabeshi waliokuwa na vinasaba [DNA] vya kiyahudi wote walichukuliwa na Wayahudi wenzao mwaka 2007 - 2009. Israeli haija wekeza kwenye shirika hilo. 'Ethiopian Airline' inamilikiwa 100% na serikali ya Ethiopia.....hakuna mbia wa nje!
Pamoja na matatizo ya hapa na pale shirika hilo linapiga hatua sana.....hii inatokana na kwanza kuweka UZALENDO mbele (hata kama ni wa kulazimishwa mwisho hukubalika), kutowalea mafisadi, wahujumu, wazembe nk nk. Suala la kiongozi wa shirika kuwekwa ndani ili tu apate "mafunzo" na baada ya hapo kurejeshwa kazini ni la kawaida.
Mishahara ya pilots and flight Engineers ni ya kawaida tu lakini kwa sababu ya kusomeshwa na serikali unatakiwa kulipia "mikopo" ya shule kwa kufanya kazi kwa miaka kadhaa ndani ya shirika hilo. Kutokana na sheria kali, uangalizi wa karibu wa taasisi husika hakuna hujuma, wizi, ufisadi nk vinavyotokea.
Vile vile, mikataba ya ununuzi wa ndege mpya huangaliwa na wadau wengi wa serikali kwa lengo la kuzuia ufisadi....pia uzalendo upo na si kupiga dili tu kenye kila kitu.
Waethiopia wamepiga hatua katika nyanja ya miundo mbinu na usafirishaji kwa sababu hawacheki na kenge yoyote hasa kwenye mikataba. Ethiopian ina ndege Zaidi ya 60! shirika la meli (hawana bandari) lakini wanamiliki meli 15 (sisi hatuna hata boti!!)
Juzi amezindua majaribio ya city train!! iliyojengwa ndani ya miaka 2!.....kwetu?
Na wanajenga bwawa la kuzalisha umeme litakapo malizika litazalisha megawati 6000!
KITU MUHIMU: Uzalengo wa dhati kwa kila mwananchi na kuwa na vipaumbele vichache vinavyotekelezeka.
Amen
Jiulizeni ni kwa nini rubani Wengi wa ET Huzamia mataifa ya kigeni?....Kama Yule et pilot aliye seek asylum, in Sweden by abandoning the plane kule.....udikteta wa serikali ya uhAbeshi......hawalipi pilots ukitishia unawawa.....pia serikali inzamisha posho za kufa mtu year in year out kwenye airline.....na kupelekea kukosekana kwa huduma muhimu....
wengi wao huzamia nje ya nchi Kama wahamiaji haramu ......soviet socialist policies......siku nchi ile itakuwa ya kidemokrasia ya kweli.....wananchi hawatokubali kamwe kuibeba shirika lenye hasara........at the expense of social services.......jiulizeni pia kwa nini hawachapishi financial reports openly Kama mashirika mengine......Ili tuweze kuona kiwango cha faida au hasara waliopata?......itajifia tu kiulaini.......wee wacha tu demokrasia Ikite mixizi
Jiulizeni ni kwa nini rubani Wengi wa ET Huzamia mataifa ya kigeni?....Kama Yule et pilot aliye seek asylum, in Sweden by abandoning the plane kule.....udikteta wa serikali ya uhAbeshi......hawalipi pilots ukitishia unawawa.....pia serikali inzamisha posho za kufa mtu year in year out kwenye airline.....na kupelekea kukosekana kwa huduma muhimu....
wengi wao huzamia nje ya nchi Kama wahamiaji haramu ......soviet socialist policies......siku nchi ile itakuwa ya kidemokrasia ya kweli.....wananchi hawatokubali kamwe kuibeba shirika lenye hasara........at the expense of social services.......jiulizeni pia kwa nini hawachapishi financial reports openly Kama mashirika mengine......Ili tuweze kuona kiwango cha faida au hasara waliopata?......itajifia tu kiulaini.......wee wacha tu demokrasia Ikite mixizi