atomic clock
Member
- Mar 30, 2014
- 35
- 9
Jiulizeni ni kwa nini rubani Wengi wa ET Huzamia mataifa ya kigeni?....Kama Yule et pilot aliye seek asylum, in Sweden by abandoning the plane kule.....udikteta wa serikali ya uhAbeshi......hawalipi pilots ukitishia unawawa.....pia serikali inzamisha posho za kufa mtu year in year out kwenye airline.....na kupelekea kukosekana kwa huduma muhimu....
wengi wao huzamia nje ya nchi Kama wahamiaji haramu ......soviet socialist policies......siku nchi ile itakuwa ya kidemokrasia ya kweli.....wananchi hawatokubali kamwe kuibeba shirika lenye hasara........at the expense of social services.......jiulizeni pia kwa nini hawachapishi financial reports openly Kama mashirika mengine......Ili tuweze kuona kiwango cha faida au hasara waliopata?......itajifia tu kiulaini.......wee wacha tu demokrasia Ikite mixizi
Nimependa matumizi ya ................