mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa yeye amewajuaje kama ni WENGI WALIOATHIRIKA?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikia maelezo yake amesema kuna wengi wameambukizwa ila bado hawajafahamika kutokana na miundo mbinu kuwa duni...pia kuna wengine wanafanya siri akatolea mfano yule waziri wa Zanzibar matokeo yake kaambukiza mpaka watoto kwahiyo maambukizi mengi kuliko kasi ya kutangaza...
Sijakubali wala kupinga nimemsikiliza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app