MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Hakuna kitu hapo, Bado kuna utata, kwenye Podium inapaswa kukaa ngao nembo ya Taifa, hizo anazo taja za Kenya ziko tu kwenye bendera ya Raisi basi na si kwingineUfafanuzi mzuri sana huu natamani kila Mtu akiusoma utamsaidia sana kutambua alama Mbalimbali za Taifa na Matumizi yake