Usahihi Kuhusu Nembo Anayotumia Rais Samia Suluhu

Usahihi Kuhusu Nembo Anayotumia Rais Samia Suluhu

Ufafanuzi mzuri sana huu natamani kila Mtu akiusoma utamsaidia sana kutambua alama Mbalimbali za Taifa na Matumizi yake
Hakuna kitu hapo, Bado kuna utata, kwenye Podium inapaswa kukaa ngao nembo ya Taifa, hizo anazo taja za Kenya ziko tu kwenye bendera ya Raisi basi na si kwingine
 
Hakika hili cz

Hakika hili darasa zuri Sana.. Kuna mijamaa flani hivi ilikuwaga tayari ishaanza kutupeleka Chaka. W alikuwa tayari kuanda mikutano ya siasa hili kupotosha watu kuhusu hili.
Mkiwa vilaza kuingizwa chaka ni rahisi sana nchi ina wajinga sana mfano wake ni wewe
 
Bendera ya Ruto, ila angali kilichopo kwenye Podium yake
9k%3D(26).jpg
images(57).jpg
 
Bendera ya Uhuru Kenyata, ila angalia podium
jLGPPvroo48%2B%2Buijjz766KOPPvro4yDwf3YCFjPfeIDtAAAAAElFTkSuQmCC.jpg
Z(27).jpg
 
Je bendera za Maraisi wa Kenya unao wataja zinaingiliana na ile ya Taifa la Kenya? Angalia kwenye Podium za Maraisi wa Kenya huwa zina nembo ya Taifa na sio bendera unacho kitaja wewe kinakaa tu kwenye bendera ya Ikulu.
Bendera ya Ikulu ni kitu gani?

Wapi nimesema bendera za Marais wa Kenya zinaingiliana na ya Taifa?

Unaelewa maana ya "Presidential Standard?
 
Hakuna kitu hapo, Bado kuna utata, kwenye Podium inapaswa kukaa ngao nembo ya Taifa, hizo anazo taja za Kenya ziko tu kwenye bendera ya Raisi basi na si kwingine
Kuchamba kwingi kutoka na kinyesi, wapi imeandikwa kwenye podium lazima ikae nembo ya Taifa, wapi?
 
Back
Top Bottom