USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

Hasa hao Wizara ya Afya na Tamisemi yatakuwa yamenuna kwa

sababu walikuwa ni wanufaika wakubwa pia wa posho za USAID
Sasa hivi wanaenda kumchukia Trump kwa kuwakatia mirija yao ya asali kama ambavyo walimchukia Magufuli kipindi kile anabinya mianya yao ya ufisadi.

Ndio maana mimi nikionaga mtumishi yeyote anamsifia sifia kiongozi fulani hasa raisi najua tu huyu mnafiki, na nikiona anamchukia raisi najua huyu ni mwizi/fisadi kakatiwa mirija yake ya asali.
 
Ikishindikana tutahamisha wakurya huko serengeti tuuze tufidie .we have nothing to lose bro.
🤣🤣 kwa viongoz hawa ingekuwa rahisi hivyo wangeshafanya. Problem is wana operate kwa matukio
Hali ikiwa mbaya either wataiwekea politics sana kama corona, ikiwashinda watatafuta huruma za wananchi

It happen before , it will happen again
 
Kuna msemo wa kiswahili ule, "Ukila na kipofu usimshike mkono" . Nadhani Magufuli aliishi vizuri hio falsafa.

Maendeleo alifanya na yalioonekana ni mengi ambayo hata watangulizi wake walichemka kufanya. Huduma za kijamii zilikuwa intact watu walikuwa wako responsible hospitali mpaka maofisi ya serikallini.

We don't care raisi awe mwizi au fisadi but as long as he/she takes charges of responsibilities and act right sie hatuna shida. Sio mambo yako hobela hobela halafu mtu anashabikia upumbavu.
Sawa mnyonge nimekuelewa vizuri kabisa
 
Hata kama kuna mazuri alifanya lakini kama ni mwizi lazima asemwe kama mwizi
Kuna wizi wa kutisha serikalini uliowahi kufanyika huko nyuma kama huu unaofanyika awamu hii ya sita?

Hebu njoo hapa Tabora nikuoneshe almashauri ambayo kuna watumishi wake wamekufa tangu mwaka 2022 lakini mpaka Leo mishaara yao bado inaendelea kutoka na watu wanaikunja..!!

Nyie wahanga wa vyeti feki ni wanafiki sana, mkimuongelea magufuli kwa mabaya yake mnajificha kwenye udikteta,utekaji na huo ufisadi japo haukuwa wa kutisha kama huu wa sasa... ila kiukweli huwa mnamchukia Magufuli kwa sababu zenu binafsi za kuwavurugia maisha yenu ya ujanja ujanja...

Na kwa bahati mbaya sana majeraha aliyowaachia sio ya kupona Leo wala kesho.
 
Hatimaye Kodi za apartment na ushindani wa mademu unaenda kuwa level Sasa.

Najua kuonyesha hawajaumia wengi wataanza kutumia akiba zao vibaya ili kumaintain status na ndio njia itakayowamaliza mapema zaidi.
Ku keep status ni jambo muhimu...siwezi muhamisha mtoto wangu kutoka Feza kisa kibarua kimeota nyasi.
 
Ku keep status ni jambo muhimu...siwezi muhamisha mtoto wangu kutoka Feza kisa kibarua kimeota nyasi.
Hahahaha kama uliwekeza vitega uchumi vyako kadha wa kadha vinavyokulipa zaidi ya ule mshahara utaendeleza status vizuri tu wala hakutakuwa na tofauti.

Ila kama uliwekeza kwenye chupa za bia na kubadili hotel na malaya, ni swala la muda tu ile million 180 ulioficha bank itafutika bila habari.
 
Hili shirika lina madudu mengi sana kuliko tunavyoskia. Na kwa jinsi lilivyokuwa exposed sidhani kama litarudi.

Kumbe sio waafrika tu wanaolilalamikia kwa ufisadi uliokithiri ni mpaka waarabu huko middle east wanalalamika kwamba limekuwa likitumika kuwanufaisha viongozi wa serikali na familia zao kuliko walengwa.

Unaambiwa kule Afghanistan mwaka 2013 serikali ya marekani ilitoa $3b kupitia USAID kwa ajili ya kurepair miundo mbinu iliyokuwa imeharibiwa na vita, na kwenye hizo pesa zaidi ya $400m zilitumika kuwalipa ghost workers 2000 na kuna miradi mingi sana haikukamilika iliyokuwa inafadhiliwa na USAID

Sasa hebu imagine zaidi ya $400m za walipa kodi wa marekani zilitumika kuwalipa wafanyakazi hewa na hii lazima ilikuwa ni syndicate ya viongozi wapigaji wa serikali na wawakalishi wa USAIDS kutoka marekani.

Ukiachana na hilo serikali ya Biden kupitia USAIDS ilitoa $200m kama earthquake relief huko Haiti pesa ambazo hazikufika kabisa kwa waathirika wa tetemeko mpaka Leo haijulikani zilienda wapi...!!

Yaani kwa jinsi hili shirika lilivyokuwa exposed imekuja kuonekana ni money laundering scheme na wamarekani wengi sana wamelichukia na hawataki kabisa liendelee kuwepo.
 
Kwa jinsi watu hususani waafrika wanavyozidi kutoa shuhuda za kutonufaika na USAID nafikiri ndio inampa sababu Elon ahakikishe hili shirika Trump analifuta kabisa
Screenshot_20250207_012124_X.jpg
 
Hilo shirika nimeanza kulisikia na kuona mabango yake miaka ya sitini likihusishwa na ufadhiri wa mahindi ya njano mafuta ya kula na Burga.
Fikiria shirika lipo tu awamu zote likiwa shahidi wa kila Rais anaeingia madarakani kama historia ya mzee Wasira.
Kazi zilizofanywa na shirika hilo la Marekani likiwanufaisha wachache tena wa chama chakavu au Serikali yake, tukubaliane na hali iliyoibuliwa na Elon Musk kuwa " USAID" is no more.... RIP 🤣
 
Hawa Mabwanyenye hawawezi ifuta USAID itakula kwao wenyewe, hiki kinachoendelea ni comedy za Trump akitekenya influences za Soviet + China kwa 3rd world countries kama Tz. Na vitu kama USAID havikuundwa eti kuja kutoa sadaka kwa nchi zisizojiweza, la hasha. Hizi exploitative tools to gain more wealth from Africa, in 1980s-1990s Prof. Issa Shivji alifanya utafiti kuhusu misada inayoingia IDM Mzumbe nowadays Mzumbe University ilionekana kwamba ktk Kila Tshs 1 iliyopokewa na IDM kama msaada, Tshs 4 ilirudi kwa mtoaji ambao walikuwa Scandinavian Countries
Nb: Inasemekana hizo Scandinavian countries ndio yenye misada/myepesi kuliko nchi zote za ulaya, hebu tafakari hiyo misaada/mikopo ya USAID itakuwa na mazito kiasi gani YANAYOONEKANA NA YASIYOONEKANA ????
 
Back
Top Bottom