USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

Hao majizi ndio yamepanga foleni kumpinga Trump kule USA. Wao nao walikuwa wanafanya uhuni tu wa wafanyakazi hewa na activity hewa kama huku bara la giza tu.

Yani ufisadi kumbe ulikuwa top-down ndio maana Elon Musk kasema shirika la wahalifu lifutwe 😂
Na bosi wa USA tayari kabadilishwa yupo mwingine. Shirika lilikuwa na rushwa
sana hata huko Marekani.
 
Kaka biashara sio rahisi kwa mtu aliyezoea kula kwa kalamu na zoom meeting😁! Bora hata walivyonunua hizo apartments watakulaga kodi.

Mtu kazoea anajichotea hadi 20M kila mwezi. Hapo ni deals nje ya mshahara, kuandaa activity za bosheni😂 anaidhinisha hela anajimegea. Kwa siku matumizi ya mafuta tu Prado J150 inameza sio chini ya 60K kwenda mjini na kurudi hapo hajala wala kutoka out. Mtu wa bia na wana anazamisha almost 150K daily.

Sasa huyo umwambie aitafute hio 20Million tu mtaani si atapagawa?
Daaaah kwa mtindo wa maisha hayo Kweli kuja dunduliza afu tatu tatu ni ngumu! Inawezekana hata WAKAJIUA VIBAYA SANA! Kwa kuogopa shida na fedhea mtaani😂😂
 
Kufa Kwa USAID ni kifo Kwa Tanzania.maana condom tutapata wapi?ARV titapata wap?NIMR itakufa kifo Cha mende,Magari waliyokuwa wanatupa tutayakosa na mengine mengi.Kwa kuwa wa afrika hatuna akili ya kujitegemea,inabidi mama yetu aende marekani kumbembeleza trump asilifute hili shirika letu.
Mama yako ndiyo kwanza Yuko bize na wasanii huko dodoma we huogopi?
 
Zimwi walilichagua wenyewe
Zimwi kwako wewe. Wao hawahitaji misaada ya USAID.

Trump is a godsend for Africa.

Ameletwa na Mungu.

Jitu jeusi, omba omba la dunia, litakoma na litajifunza.

Jengo jipya la Makao Makuu ya Afrika mmepokea msaada.
Mmeshindwa kujiheshimisha kuchanga mjenge jengo moja ambalo hata Vunja Bei analo Sinza Palestina uswahilini humu ? Au majengo ya Kariakoo ni ya Wajapani yale ?

Stupid arse sycophants. Watu wanaopenda kujishusha kuliko ten dollar hookers.
 
Zimwi kwako wewe. Wao hawahitaji misaada ya USAID.

Trump is a godsend for Africa.

Ameletwa na Mungu.

Jitu jeusi, omba omba la dunia, litakoma na litajifunza.

Jengo jipya la Makao Makuu ya Afrika mmepokea msaada.
Mmeshindwa kujiheshimisha kuchanga mjenge jengo moja ambalo hata Vunja Bei analo Sinza Palestina uswahilini humu ? Au majengo ya Kariakoo ni ya Wajapani yale ?

Stupid arse sycophants. Watu wanaopenda kujishusha kuliko ten dollar hookers.
Mpaka matundu ya vyoo kwa msaada wa watu wa Marekani.
 
Punguza ujuaji, walioajiriwa hawajui ila wewe usiye ajiriwa ndio unajuwa hizo bioweapon? Watu wanaumia kwasababu wanajua serikali yetu haina msaada na raia, unadhani ni watu wangapi wapo hatarini kufariki kwa malaria,Tb,Aids pamoja na depression ya kukosa kazi?
Tatizo mtu mweusi ukishazoea misaada na akili yako inakuwa dumavu kiasi cha kutotaka kabisa kufikiri na mbaya zaidi unakuwa hauko tayari kupoke habari mbya kuhusiana na kile ambacho tayari unakiamini.

Kwa hiyo wewe unakataa hiyo USAIDS hauhusiki na kutengeneza bioweapon kisa tu mtu aliyekuletea habari hiyo sio muajiriwa wa hiyo taasisi au? Haya huyu hapa Elon Musk mwenyewe amesema kitu hicho hicho kwenye ukurasa wake wa X

"Did you know that USAID, using YOUR tax dollars, funded bioweapon research, including Covid-19, that killed millions of people?"

Na pia kwanini muumie na serikali ya marekani imesitisha misaada? Yaani kabisa bila aibu unasema eti serikali yetu haina msaada na hivyo tuishi kwa kuitegemea serikali ya marekani serious? Kwa hiyo hivyo vifo vitakavyotokea vitakuwa vimesababishwa na serikali ya raisi Trump maana imekata misaada na sio serikali ya CCM si ndio maanake?
Bahati mbaya karibu kila familia bongo inamuathirika, ina ndugu wapo vijijini kwenye malaria huko. Kwahiyo utafurahi zaidi USAID kufungwa ambavyo ndugu zako wakifa kama kuku wenye kideli huku hao wenye serikali yao wakiendelea kutamba tu kwenye mavieite
Kwa maana nyingine unasema hatutakiwi kuiwajibisha serikali yetu ya CCM kwa kushindwa kutimiza wajibu wake licha ya sisi kulipa kodi na wao kwenda kuitumia kodi hiyo kununulia mav8 na badala yake tuanze kusononeka na kulaani kitendo cha raisi Trump kusitisha misaada sio?

Watu wenye fikra kama zako ni sababu tosha kwanin Trump yuko sahihi kusitisha misaada ya aina yoyote huku Africa, maana akili zenu ni dumavu sana.
 
Watu kama wewe mnaodhani mnapendwa sana na wamarekani mpo wengi wala sio ajabu
Hawa wajinga na akili zao dumavu hawana lolote wanalojua na akili zao dumavu.

Wao wanaamini marekani anatumia pesa za walipa kodi wake kutoa misaada huku Africa sababu anawapenda sana waafrika, akili za kishenzi sana. Mtu hawezi hata kujiuliza USA wao wenye wana matatizo yao kibao tu yanayohitaji fedha kwanin achukue pesa za walipa kodi wake aje azimwage huku bara la giza bure bure tu?

Hii dunia wajinga ni wengi sana hasa wa huku bara la giza, na USA anataka wapungue
 
Yes, matundu ya vyoo.

Na pedi.

Tunaomba watu wengine watupe pedi za kusitiri wanawqke zetu wasinuke damu mitaani.

Mwafrika omba omba hana pride na haogopi kuliwa. Ukimwombai jirani pedi za mkeo, akimla utamlaumu ???
Kwanza kitendo cha kuletewa condom za misaada ni tusi kubwa sana
 
Tatizo mtu mweusi ukishazoea misaada na akili yako inakuwa dumavu kiasi cha kutotaka kabisa kufikiri na mbaya zaidi unakuwa hauko tayari kupoke habari mbya kuhusiana na kile ambacho tayari unakiamini.

Kwa hiyo wewe unakataa hiyo USAIDS hauhusiki na kutengeneza bioweapon kisa tu mtu aliyekuletea habari hiyo sio muajiriwa wa hiyo taasisi au? Haya huyu hapa Elon Musk mwenyewe amesema kitu hicho hicho kwenye ukurasa wake wa X

"Did you know that USAID, using YOUR tax dollars, funded bioweapon research, including Covid-19, that killed millions of people?"

Na pia kwanini muumie na serikali ya marekani imesitisha misaada? Yaani kabisa bila aibu unasema eti serikali yetu haina msaada na hivyo tuishi kwa kuitegemea serikali ya marekani serious? Kwa hiyo hivyo vifo vitakavyotokea vitakuwa vimesababishwa na serikali ya raisi Trump maana imekata misaada na sio serikali ya CCM si ndio maanake?

Kwa maana nyingine unasema hatutakiwi kuiwajibisha serikali yetu ya CCM kwa kushindwa kutimiza wajibu wake licha ya sisi kulipa kodi na wao kwenda kuitumia kodi hiyo kununulia mav8 na badala yake tuanze kusononeka na kulaani kitendo cha raisi Trump kusitisha misaada sio?

Watu wenye fikra kama zako ni sababu tosha kwanin Trump yuko sahihi kusitisha misaada ya aina yoyote huku Africa, maana akili zenu ni dumavu sana.
Wewe upo tayari kuiwajibisha serikali ya CCM kwa vitendo? Labda nikutaarifu tu nimeshiriki maandamano si chini ya mara 1, mara ya kwanza ya machinga Mbeya vs Kandoro na mara ya pili hayo ya katiba mpya.

Lengo sio kubishana ionekane nani na nani anajuwa zaidi au mzalendo, wewe huoni athari ya watu kukosa ajira,huoni athari ya matibabu ila unaona kama ni sababu ya kuiwajibisha serikali ya CCM as if hakukuwa na sababu lukuki za kufanya hivyo huko nyuma.

Narudia tena karibu kila familia inaguswa na USAID hapa Tz, jiandaeni kuzika ndugu zenu kijana kwa kushindwa mudu gharama za matibabu wakati hao viongozi wa CCM wakiendelea kubugia ARV zao fresh kabisa kwenye mashangingi yao.
 
Tatizo mtu mweusi ukishazoea misaada na akili yako inakuwa dumavu kiasi cha kutotaka kabisa kufikiri na mbaya zaidi unakuwa hauko tayari kupoke habari mbya kuhusiana na kile ambacho tayari unakiamini.

Kwa hiyo wewe unakataa hiyo USAIDS hauhusiki na kutengeneza bioweapon kisa tu mtu aliyekuletea habari hiyo sio muajiriwa wa hiyo taasisi au? Haya huyu hapa Elon Musk mwenyewe amesema kitu hicho hicho kwenye ukurasa wake wa X

"Did you know that USAID, using YOUR tax dollars, funded bioweapon research, including Covid-19, that killed millions of people?"

Na pia kwanini muumie na serikali ya marekani imesitisha misaada? Yaani kabisa bila aibu unasema eti serikali yetu haina msaada na hivyo tuishi kwa kuitegemea serikali ya marekani serious? Kwa hiyo hivyo vifo vitakavyotokea vitakuwa vimesababishwa na serikali ya raisi Trump maana imekata misaada na sio serikali ya CCM si ndio maanake?

Kwa maana nyingine unasema hatutakiwi kuiwajibisha serikali yetu ya CCM kwa kushindwa kutimiza wajibu wake licha ya sisi kulipa kodi na wao kwenda kuitumia kodi hiyo kununulia mav8 na badala yake tuanze kusononeka na kulaani kitendo cha raisi Trump kusitisha misaada sio?

Watu wenye fikra kama zako ni sababu tosha kwanin Trump yuko sahihi kusitisha misaada ya aina yoyote huku Africa, maana akili zenu ni dumavu sana.
Asante sana mkuu kwa kumjibu huyu kuku wa kisasa
 
Wewe upo tayari kuiwajibisha serikali ya CCM kwa vitendo? Labda nikutaarifu tu nimeshiriki maandamano si chini ya mara 1, mara ya kwanza ya machinga Mbeya vs Kandoro na mara ya pili hayo ya katiba mpya.

Lengo sio kubishana ionekane nani na nani anajuwa zaidi au mzalendo, wewe huoni athari ya watu kukosa ajira,huoni athari ya matibabu ila unaona kama ni sababu ya kuiwajibisha serikali ya CCM as if hakukuwa na sababu lukuki za kufanya hivyo huko nyuma.

Narudia tena karibu kila familia inaguswa na USAID hapa Tz, jiandaeni kuzika ndugu zenu kijana kwa kushindwa mudu gharama za matibabu wakati hao viongozi wa CCM wakiendelea kubugia ARV zao fresh kabisa kwenye mashangingi yao.
"Wewe uko tayari kuiwajibisha serikali ya CCM kwa vitendo?"

Jibu langu ni ndio mathalani tu ninalipa kodi na kodi yangu hawaitumii kwa namna sahihi, na kama siwezi kuiwajibisha serikali yangu basi hakuna umuhimu wa mimi kuendelea kulipa kodi...!!

Suala la watu kukosa ajira hilo mimi haliniumizi hata kidogo na kama hao waaajiriwa wa USAIDS wanalalamika baada ya shirika kufungwa basi ni wajinga sana, maana wote tunajua hizi NGOs za kigeni huwa hazina guarantee ya kudumu huwa zinakuja kwa missions maalaumu na missions zao zikiwa accomplished tu zinafungwa, kwa hiyo kama wao hawakulijua hili na wakabweteka na hiyo mishaara mikubwa waliyokuwa wanalipwa na wakasahau kujiimarisha kujiandaa na surprise kama hii basi ni ujinga wao wenyewe na Acha wakome.

Na kingine hapo hapo kwenye kupoteza ajira ni ujinga na kukosa akili kulaumu maamuzi ya serikali ya marekani kufunga shirika lao, na wakati sio jukumu Lao kukufanya wewe uwe na ajira... bali ni jukumu la serikali yako kukutafutia wewe ajira, kwa hiyo sasa hivi unapaswa uiulize serikali yako utaishije baada ya shirika hilo la kigeni kufungwa!!

After all kwanza hizo pesa zenyewe za shirika asilimia kubwa zilikuwa hazifiki kwa walengwa bali zinaishia kwenye mifuko ya watu tu ambao ndio hao hao waajiriwa wanaolalamika, shirika lilikuwa limejaa wapigaji tu na mafisadi kwanzia marekani penyewe mpaka huku kwa nyie wamatumbi.

Kuhusu kuzika ndugu zangu hilo kwangu mimi halinipi shida kabisa Acha tuwazike, na pengine utakuwa ndio mwanzo wa sisi kutumia vizuri akili zetu kufanya revolution kwenye pharmaceutical industry na hatimae tukapata ARVs zetu kwa bei nafuu ambayo kila mtanzania anaweza kuafford.

Labda nikuulize swali, tangu hili gonjwa limekuwa discovered mwaka 1986 yaani karibia miaka 40 iliyopita, endapo kama kusingekuwepo na misaada ya aina yoyote ile wewe unafikiri mpaka Leo hii tusingekuwa tumejikakamua walau tukatengeneza hizo ARVs za kwetu sisi wenyewe?

Kuna nchi kama Lesotho na Swaziland ambazo rate ya maambukizi ya HIV hiko juu sana wanatengeneza ARVs zao wenyewe japokuwa nao za misaada pia wanatumia, sasa kama hao Eswatin na Lesotho wameweza kwanin sisi huku tushindwe na badala yake tumebaki kulia lia tu na kumlaani Trump??

Nafikiri kuliko kuanza kulia lia na kusononeka ni muda sasa wote kwa pamoja tuwawajibishe hao kenge wanaoshinda wanatembelea mashangingi walionunua kwa kodi zetu.
 
Back
Top Bottom