Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yah wengi ni vijana below 45. Ila wana mawe ya hatari. Hao naowafahamu wanamiliki apartments Kawe kwenye zile flats za NHC kiufupi wamepiga sana hela.Sio mchezo watu walivuna pesa mkuu, na bado walikuwa ni vijana.
Na ndio maana kazi zao sio rahisi kupata kama hutokani na syndicate
yao.