Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Ajabu wazungu wapo so concerned na kukatika kwa huu nrija 🤣🤣 wahusika wenyewe wala. Na wanasema kila kitu kiko frozen. Na staff waneambiwa hakuna kuongelea hili vugu vugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mam 5 tenaCCM isipoteua mgombea imara,kuimarisha uchumi, kipindi hiki cha Trump,tutajuta.
Hata kujaniana itakuwa gharama kubwa! Kondom za kike zitakosekana mitaani
Staff wameambia wasizungumze sio.Ajabu wazungu wapo so concerned na kukatika kwa huu nrija 🤣🤣 wahusika wenyewe wala. Na wanasema kila kitu kiko frozen. Na staff waneambiwa hakuna kuongelea hili vugu vugu.
Nawafahamu watu wangu flani wa AMREF na MDH waliokuwa wanasomesha watoto wa ada za million 18 kila mwaka. Wakipeleka watoto USA vacation Disney Land kila December. Kuna namna itawabidi waadjust mfumo wao wa maisha.Hatimaye Kodi za apartment na ushindani wa mademu unaenda kuwa level Sasa.
Najua kuonyesha hawajaumia wengi wataanza kutumia akiba zao vibaya ili kumaintain status na ndio njia itakayowamaliza mapema zaidi.
Yule mwana wa Walter Reed sahizi hamuwezi kumuona tena kijiweni🤣Zile offer za bia za mshikaji aliyekuwa anafanya kazi hapo sasa zimekufa rasmi
OverZile chandarua za bure tulizokua tunafugia kuku bye bye
Apewe 10 Tena! Mtavuna mnachokiombaMam 5 tena
Hao watu ndio wanakesha mitandaoni wakipiga kelele mitano Tena!Inafikirisha misaada ilikuwa inaishia mikononi mwa watu
Dah this is big loss aisee.Nawafahamu watu wangu flani wa AMREF na MDH waliokuwa wanasomesha watoto wa ada za million 18 kila mwaka. Wakipeleka watoto USA vacation Disney Land kila December. Kuna namna itawabidi waadjust mfumo wao wa maisha.
Wata suffer na PTSDYule mwana wa Walter Reed sahizi hamuwezi kumuona tena kijiweni🤣
Asilimia ndogo sana ndio inawafikia walengwa sio?Inafikirisha misaada ilikuwa inaishia mikononi mwa watu
Kama Low minimum wage ya US ndio zile million 10 walizokuwa wanalipana kina nanii kwenye hayo Ma NGO na overtime za laki laki basi nadhani USAID ilikuwa na manufaa sana kwetu.US hawezi kulipa mishahara kama ya Tanzania , wana standard zao, na sio pesa nyingi kwao, mishahara mingi ya USAID ni chini ya low minimum wage in US
Daah walitudharau sana yaaani kazi zetu za ualimu walikuwa wanaona ni km kazi za ma bek tatu tuHao ndio tulibishana humu kazi za govt na ngo's wanasema wao wanajivunia exposure,
Waitumie kupata kipato
Wakapinge tu ila majaji watakuwa upande wa boss siku zote ambaye ni Donald J. Trump.democrats wanakwenda mahakamani kupinga EO za Trump kuhusu USAID
You can imagine walikuwa wanachezesha dili kiasi gani ili kufikia level hizo😀?Dah this is big loss aisee.
Sio mchezo watu walivuna pesa mkuu, na bado walikuwa ni vijana.Kama Low minimum wage ya US ndio zile million 10 walizokuwa wanalipana kina nanii kwenye hayo Ma NGO na overtime za laki laki basi nadhani USAID ilikuwa na manufaa sana kwetu.
Tanzania taasisi gani itakulipa Million 10 na marupurupu kibao kabla hujafikisha miaka 30 kazini na je zipo ngapi hizo taasisi za kiserikali? Hapo unakuta age unaitafuta 60 ndio walau unalipwa million 6 kwa mwezi.
Kubwa sana hii sio mchezo kwa hizo 10 M na posho kibao.You can imagine walikuwa wanachezesha dili kiasi gani ili kufikia level hizo😀?
Kuna msemo wa kiswahili ule, "Ukila na kipofu usimshike mkono" . Nadhani Magufuli aliishi vizuri hio falsafa.Jiwe alikuwa mpigaji tu kama wapigaji wengine, aliwatumia sana nyie mnaojiita wanyonge kupiga pesa huku nyie wanyonge mkishangilia