Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh!..hivi kubadilisha body nyingine inafika gharama kiasi gani ?...Wana Land Cruiser LX nyingi sana ngoja niongee na boss Lady wakiniuzia 3 nakata body natengeneza war bus mwezi June nitapiga kazi Serengeti kama kichaa.
Tatizo congress republican wamedhibiti ...Pesa za tax cuts kwa mabilionea lazima zipatikane, lakini Trump hana uwezo wa kuiua USAID , only Congress ndio wanaweza, anaweza freeze funds zao kwa muda na kufukuza wafanyakazi au kufunga operations zao kwa muda tuu
Kukopa na kulipa kupitia madini adimu yaliyopo kwenye Taifa lako😀😀😀 alisikika akisema " Ukitaka kula Ukubali Kuliwa"Nimwendo wa kukopa tu sasahivi
Mtambo hauwezi kufukiria zaidi ya binadamu.
Naam,kama wafanyavyo kwa bwana mdogo wa bukinabe, traore,siwaona wanaweza?Wataweza hao Warusi?
Umewaza mbali mkuu kuna kaukweli.Mimi akili yangu inaniambia kuwa mission ya kuanzishwa kwa USAID imekamilika na sasa wanaiondoa.
Kama siyo mission Trump asingeamka from no where na kulifuta. Wameona sensa inaonesha kuwa jamii yetu imeshakuwa chronic tayari kwa matumizi ya ARV na vitu vingine hivyo ni muda muafaka wa wao kupunguza population (rasilimali watu) huku wakipiga pesa zaidi kwa mauzo ya dawa kwa watakaoweza.
Kweli Amerika wametukomoa, ndugu zangu tutaangamia sana kwa hofu.
TutazikumbukaZile chandarua za bure tulizokua tunafugia kuku bye bye
Bora asaidie wazungu wenzie kuliko miafrika ambayo sisi kwa sisi hatupendani, viongozi wanawaza kujilimbikizia utajiri huku wananchi wao wanateseka..!! Muache awajali ngozi nyeupe wenzie..!!Inaweza survive lakini ikawa useless, ikapunguza programs na kupunguza wafanyakazi au kwa akili ya Trump na ubaguzi wake akahamishia Ukraine na Israel pesa zote za miradi
Congress yenyewe imejaa machawa wa TrumpPesa za tax cuts kwa mabilionea lazima zipatikane, lakini Trump hana uwezo wa kuiua USAID , only Congress ndio wanaweza, anaweza freeze funds zao kwa muda na kufukuza wafanyakazi au kufunga operations zao kwa muda tuu
Hawezi! Kwa muda sawa anaweza kuzuia lakini siyo kuiua! Maseneta tayari wameshaanza kujipanga kumblock!Pesa za tax cuts kwa mabilionea lazima zipatikane, lakini Trump hana uwezo wa kuiua USAID , only Congress ndio wanaweza, anaweza freeze funds zao kwa muda na kufukuza wafanyakazi au kufunga operations zao kwa muda tuu
Hao siyo kama mibunge ya CCM mkuu! Wakifika kwenye maslahi ya Taifa huwa yanaungana!Congress yenyewe imejaa machawa wa Trump
Roho mbaya za Watanzania za kwamba tukose wote.Hatimaye Kodi za apartment na ushindani wa mademu unaenda kuwa level Sasa.
Najua kuonyesha hawajaumia wengi wataanza kutumia akiba zao vibaya ili kumaintain status na ndio njia itakayowamaliza mapema zaidi.
Hivi tuna Ujinga kiasi gani??? Yaani nchi hii ife kisa USAiD Shirika la Marekani ambalo wao wameona shirika hilo halina maana wamelifuta sisi tufe kisa nini??? Wewe kwako hapo ukifukuzwa kazi familia yako itakufa?? Hautaenda kununua jembe au uwe kibalua ulishe wanao?? Kwanza hela zenyewe zinaibwa na maandiko meengi ya kishenzi sana na kununua migari mikubwa mikubwa ...Kufa Kwa USAID ni kifo Kwa Tanzania.maana condom tutapata wapi?ARV titapata wap?NIMR itakufa kifo Cha mende,Magari waliyokuwa wanatupa tutayakosa na mengine mengi.Kwa kuwa wa afrika hatuna akili ya kujitegemea,inabidi mama yetu aende marekani kumbembeleza trump asilifute hili shirika letu.
Ndio binadamu tulivyo, lakini pia wabongo wengi walikuwa wanashangilia Trump alivyokuwa against mashoga na immigrants, kila mtu ajitetee kivyake 😂😂Roho mbaya za Watanzania za kwamba tukose wote.
Aah Wala sijali 🤣🤣Hujali wala nini 🤣
Ndio zimeondoka, wengine mlikuwa mnazikataa mwanzo kuwa zina maliza nguvu za kiume😆Tutazikumbuka
Sawa mzee ila ndio waliokuwa wanafadhili mpaka issue za Malaria, TB na kadhalikaAah Wala sijali 🤣🤣
Kwa hiyo kumbe hakuna cha bure sioKukopa na kulipa kupitia madini adimu yaliyopo kwenye Taifa lako😀😀😀 alisikika akisema " Ukitaka kula Ukubali Kuliwa"