zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Mnatumbua pesa za WamarekaniBinadamu mna roho ya korosho sana asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatumbua pesa za WamarekaniBinadamu mna roho ya korosho sana asee
Ndio hakuna ni US tu hao wengine wanaagiza kutoka US, sasa wewe ulikua unataka ARV za Nchi gani ndugu muathirika?Naomba kuuliza kwa izo Dawa za ARV na TB zinatengenezwa USA tu.
Kwamba hamna viwanda sehemu nyingine watu wanunue?
Acha izo kaka usizidishe sifa za kijinga.Ndio hakuna ni US tu hao wengine wanaagiza kutoka US, sasa wewe ulikua unataka ARV za Nchi gani ndugu muathirika?
Pole sana mkuu USAID ndio kashakata moto hivyo yaan sijui Trump aliwaza nini?Acha izo kaka usizidishe sifa za kijinga.
Nimeuliza swali tu umeamua kuleta Dhihaka.
Grow up Man
Mkuu nimecheka sana .....Ndio BRICS hio aliwaambia ana mpango wa kuwasaidia kule Moscow sasa wapeleke proposal ianzishwe RUSAID ili wasaidiwe na huko China ianzishwe CHINAID ili iwasaidie kuwamwagia mabilioni ya dolali
Unamwambia nani au unajiambia?Tuwe na vya kwetu, ni aibu kulia Lia kama kifaranga. Kulia Lia Kwa vitu tunavyoweza kupambaana navyo ni upumbavu wa milele huo.
Kwani wewe unamwambia nani?... shambolic.Unamwambia nani au unajiambia?
Tuheshimiane unaelewa wewe ntakuzaba nikuzabue nikuzibueKwani wewe unamwambia nani?... shambolic.
Huko ni kupoteza muda.Tuheshimiane unaelewa wewe ntakuzaba nikuzabue nikuzibue
Una hamu ya kuzibuliwa muda huuHuko ni kupoteza muda.
Mbaazi sio njuguNjugu zitaanza kuuzwa sasa.
Kabisa, hawajawahi kuwa na taasisi za namna hii! 😆Urusi na china hawanaga hizo hela za kugawaaa.
Ni prep mkuu si ARVsWale wapenda ngono unaloweka alafu unakimbilia kabla ya 72 hour kumeza ARVs sasa kwishnei! Ngonoreka upate miwaya tukufukie!
Ife tuUSAID is officially dead.
Elon Musk alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa
Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa
Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika hususani Tanzania aliyekuwa anaongoza kwa kupokea mafungu huko USAID
View attachment 3225645
Elon Musk amesema USAID ni Shirika la kihalifu, linapaswa kufa
Mmiliki wa kampuni ya teknolojia, Elon Musk ametangaza kuwa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) linapaswa kufa kwakuwa ni shirika la kihalifu. Musk, ambaye aliteuliwa na Rais wa Marekani, Donald Trump kuongoza Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), ametoa kauli hiyo baada ya...www.jamiiforums.com
Aah bwana eeh hakuna namna1. Kuna maelfu ya watu wamepoteza ajira.
2. Kuna maelfu ya vendors wamepoteza malipo.
3. Kuna watu wamepoteza mitaji kwa uwekezaji wakitegemea tenda na kadhalika.
4. Kuna wafanya biashara wengi wanaenda kuharibikiwa na vitu walivyo nunua/stock wakijua watatumia kwenye kazi/tenda za mashirika.
5. HIV imeingia katika karibu kila familia na hawa watakua waathirika wakubwa.
Punguza ujuaji, walioajiriwa hawajui ila wewe usiye ajiriwa ndio unajuwa hizo bioweapon? Watu wanaumia kwasababu wanajua serikali yetu haina msaada na raia, unadhani ni watu wangapi wapo hatarini kufariki kwa malaria,Tb,Aids pamoja na depression ya kukosa kazi?Watanzania wanaweza kukesha wakiomba shirika linalojiita la msaada kutoka America lisife wakati huohuo kuna msshirika ya nchi yao yamekufa wala hata hawawazi.
Kiwanda kunaweza kufa ndani ya nchi hii likawa ni jambo la kawaida lakini msshirika haya ya nje yenye kutengeneza matatizo lukuki yakaonekana ni mazuri.
Kwa taarifa zilizopo hili shirika la USAID pesa zake nyingi hutumika kufanya tafiti za silaha za kibaolojia/ bioweapon hasa mataifa ya Asia na afrika.
Waafrika wachache walioajiriwa humo hawajui hili wao ni kufurahia mishahara wakati nyuma ya pazia wale wakuu wao wapo kazini kupambana kudhibiti vizazi na vizazi kwa gharama yoyote hata ikihitajika kuua mamilioni ya wanadamu nje ya nchi yao.
Waafrika tuamke hawa watu hawatupendi bali wanatamani hata leo tusiwepo ili wao waje kuanzisha makaazi huku kwetu.