USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

Acha uongo wewe mzungu na mmarekani kama hakupendi wewe humalizi mwaka anafuta kizazi chako huna la kumzuia hizo propaganda waambie wajinga wenzio
 
Lakini kulikuwa na upigaji wa kutosha huko. Pesa nyingi iliishia katika kujilipa mishahara na marupurupu mengine. Ndio maana tuliishia kununuliwa vyandarua nasi kama mazuzu tunashangilia.
US hawezi kulipa mishahara kama ya Tanzania , wana standard zao, na sio pesa nyingi kwao, mishahara mingi ya USAID ni chini ya low minimum wage in US
 
democrats wanakwenda mahakamani kupinga EO za Trump kuhusu USAID
 
Habari tamu sana hii ....na amini yule mzanzibar mpumbavu samia bushiri kibushuti amezisikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…