Hata pesa za serikali kuna upigaji mkubwa tu.Lakini kulikuwa na upigaji wa kutosha huko. Pesa nyingi iliishia katika kujilipa mishahara na marupurupu mengine. Ndio maana tuliishia kununuliwa vyandarua nasi kama mazuzu tunashangilia.
Inaweza survive lakini ikawa useless, ikapunguza programs na kupunguza wafanyakazi au kwa akili ya Trump na ubaguzi wake akahamishia Ukraine na Israel pesa zote za miradiKwa hiyo wasipaniki mambo yatakuwa shwari tu?
Sijawahi kula pesa zao, mimi ndio nawalipa (tax)Bado una denial kubali u move on. Bia za bure vimeyeyuka. Hotel za nyota
3 na 4 ndio basi tena.
Acha uongo wewe mzungu na mmarekani kama hakupendi wewe humalizi mwaka anafuta kizazi chako huna la kumzuia hizo propaganda waambie wajinga wenzioWatanzania wanaweza kukesha wakiomba shirika linalojiita la msaada kutoka America lisife wakati huohuo kuna msshirika ya nchi yao yamekufa wala hata hawawazi.
Kiwanda kunaweza kufa ndani ya nchi hii likawa ni jambo la kawaida lakini msshirika haya ya nje yenye kutengeneza matatizo lukuki yakaonekana ni mazuri.
Kwa taarifa zilizopo hili shirika la USAID pesa zake nyingi hutumika kufanya tafiti za silaha za kibaolojia/ bioweapon hasa mataifa ya Asia na afrika.
Waafrika wachache walioajiriwa humo hawajui hili wao ni kufurahia mishahara wakati nyuma ya pazia wale wakuu wao wapo kazini kupambana kudhibiti vizazi na vizazi kwa gharama yoyote hata ikihitajika kuua mamilioni ya wanadamu nje ya nchi yao.
Waafrika tuamke hawa watu hawatupendi bali wanatamani hata leo tusiwepo ili wao waje kuanzisha makaazi huku kwetu.
US hawezi kulipa mishahara kama ya Tanzania , wana standard zao, na sio pesa nyingi kwao, mishahara mingi ya USAID ni chini ya low minimum wage in USLakini kulikuwa na upigaji wa kutosha huko. Pesa nyingi iliishia katika kujilipa mishahara na marupurupu mengine. Ndio maana tuliishia kununuliwa vyandarua nasi kama mazuzu tunashangilia.
Watu kama wewe mnaodhani mnapendwa sana na wamarekani mpo wengi wala sio ajabuAcha uongo wewe mzungu na mmarekani kama hakupendi wewe humalizi mwaka anafuta kizazi chako huna la kumzuia hizo propaganda waambie wajinga wenzio
Acha kuleta propaganda wewe hao jamaa wakikuchukia ki nchi chako wanakisambaratisha mwaka tu na huna la kuwafanyaWatu kama wewe mnaodhani mnapendwa sana na wamarekani mpo wengi wala sio ajabu
Ni kweli izo pesa za kugawa hawanaUrusi na china hawanaga hizo hela za kugawaaa.
Uteuzi si umeshafanyika Dodoma au bado kuna uteuzi mwingine ?CCM isipoteua mgombea imara,kuimarisha uchumi, kipindi hiki cha Trump,tutajuta.
Hata kujaniana itakuwa gharama kubwa! Kondom za kike zitakosekana mitaani
democrats wanakwenda mahakamani kupinga EO za Trump kuhusu USAIDUSAID is officially dead.
Elon Mask alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa
Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa
Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika hususani Tanzania aliyekuwa anaongoza kwa kupokea mafungu huko USAID
View attachment 3225645
Habari tamu sana hii ....na amini yule mzanzibar mpumbavu samia bushiri kibushuti amezisikiaUSAID is officially dead.
Elon Mask alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa
Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa
Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika hususani Tanzania aliyekuwa anaongoza kwa kupokea mafungu huko USAID
View attachment 3225645
Mahakama kuu yao sasa hivi imejaa majaji chawa wa Trump, walitoa ruling moja inasema Rais anaweza kufanya chochote.democrats wanakwenda mahakamani kupinga EO za Trump kuhusu USAID