USAID hatimae imekufa rasmi kwa taarifa hii

Ife tu
Kila mmoja apambane na Hali yake
 
Aah bwana eeh hakuna namna
 
Punguza ujuaji, walioajiriwa hawajui ila wewe usiye ajiriwa ndio unajuwa hizo bioweapon? Watu wanaumia kwasababu wanajua serikali yetu haina msaada na raia, unadhani ni watu wangapi wapo hatarini kufariki kwa malaria,Tb,Aids pamoja na depression ya kukosa kazi?

Bahati mbaya karibu kila familia bongo inamuathirika, ina ndugu wapo vijijini kwenye malaria huko. Kwahiyo utafurahi zaidi USAID kufungwa ambavyo ndugu zako wakifa kama kuku wenye kideli huku hao wenye serikali yao wakiendelea kutamba tu kwenye mavieite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…