Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Aibu Kwa Afrika kupewa msaada wa chakulaInaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
View attachment 3241642
View attachment 3241644
View attachment 3241645
Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
View attachment 3241642
View attachment 3241644
View attachment 3241645
Shekh China mikopo yao ina masharti magumu sana, hao mabwana hawacheki na mtu, refer case ya Uganda. 😂Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
View attachment 3241642
View attachment 3241644
View attachment 3241645
Waafrica Hawana Akili hata KidogoNi Aibu Kwa Afrika kupewa msaada wa chakula
Zimbabwe kabla Mugabe hajafukuza wazungu ndio ilikuwa inalisha nchi jirani. Leo Rais anakenua akipokea magunia ya sijui mahindi kutoka kwa Wachina.Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
View attachment 3241642
View attachment 3241644
View attachment 3241645
Kwa hiyo we malaya? Hy haya huna?Shamba la bibi, Africa kama mfano wa Malaya, tajiri amejipigia wee mpaka akakinai na kususa juu.. ss Kuna matajiri wengine wadogo walikuwa wanavizia na wao wale kimtindo ss ndio hivyo ss wamepata njia na wao wajipgie kwa hasira
Tena hasa Zimbabwe iliyokuwa na uwezo wa kulisha AfircaNi Aibu Kwa Afrika kupewa msaada wa chakula
Mbona umepanic bro?Kwa hiyo we malaya? Hy haya huna?
Hata wapa si wamekuwa Wamachinga Kariakoo na wengine wanachezesha madubwi ya kamari vijijini.Kwa dhahabu iliyopo Zimbabwe ni muhimu wao kufanya hivyo. Hao wachina wanaimiliki Zambia kwa sasa. Hadi wilayani wanafungua Malls... na ndani ya malls wanauza kila kitu hadi mbogamboga.
Tatizo alinyang'anya ardhi wazungu akawapa makada machawa na viongozi wa chama chake cha ZANU-PF badala ya wakulima halisi wanaoleweka.Zimbabwe kabla Mugabe hajafukuza wazungu ndio ilikuwa inalisha nchi jirani. Leo Rais anakenua akipokea magunia ya sijui mahindi kutoka kwa Wachina.
Kama ambavyo Iddi Amin alichukua biashara za Wahindi akawapa machawa ambao hawajawahi kuuza hata kandoro.Tatizo alinyang'anya ardhi wazungu akawapa makada machawa na viongozi wa chama chake cha ZANU-PF badala ya wakulima halisi wanaoleweka.
Wewe sio muafrika?Waafrica Hawana Akili hata Kidogo