USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

Ila waafrica tunaendekeza njaa sana,sasa hicho kimsaada si hata sisi mkoa wa mbeya tu ungeweza kuwasaidia hao Zimbabwe?
 
Ni Aibu Kwa Afrika kupewa msaada wa chakula
Tena aibu kubwa sana.

Nakumbuka miaka fulani ya nyuma kidogo Billgate aliwahi kusema Africa ina arable land ambayo kama itatumika vizuri inaweza ikalisha 2/3 ya watu wote waliopo duniani kila mwaka, na pia akaongeza tunaweza kuwa na export value ya $2.5trillions ya kilimo pekee tu.

Halafu Leo hii unaona eti tunaletewa misaada ya chakula na watu kutoka nje ya bara la afrika na maviongozi yetu yanakenua tu meno kana kwamba ni jambo la kupongeza..!!! Ujinga mtupu.

Ndio maana mimi kuna muda huwa naona mtu mweusi especially muafrika kudharauliwa ni haki yake.
 
Inaitwa China International Development Cooperation Agency (CIDCA). Imegawa msaada wa chakula kwa Zimbabwe, tusiwachukulie poa Wachina, kumbe wanalisha Africa pia tofauti na kuwa soko la lao la bidhaa na sehemu ya kuvuna rasilimali!
View attachment 3241642
View attachment 3241644
View attachment 3241645
Wachina wakitoa msaada lazima watangaze. Mwaka juzi kulikuwa na tetemeko Uturuki. Waokoaji wa kwanza kufika walitoka china. Ila kwa bahati mbaya hawakua na bendera, wakasitisha uokoaji hadi waleltewe bendera za kutosha kupeperusha wakati wa uokoaj. Hali hiyo ikawachelewesha kuanza kuokoaji kwa zaid ya masaa 30 wakati waokoaji kutoka nchi nyingine walikuwa wanafika na kuanza shughuli mara moja. Yaani wachina walikuwa wa kwanza kufika lakini wakawa wa mwisho kuanza zoezi kwa sababu ya bendera tu.
 
Hivi Mfano sisi watanzania tunashirika kweli la kusaidia misaada Kwa Nchi ambazo zinahali mbaya zaidi yetu?Au sisi tuna Hela za kuhonga magoli Kwa shilingi Milioni kumi tofauti na hapo hakuna kitu
Tanganyika pekee tu ina ardhi yenye rutuba zaidi ya hekari milioni 40 ambayo unaweza ukalima mazao ya chakula na Biashara, ila mpaka sasa hivi ni 35% ya ardhi hiyo ndio inayotumika kwa ajili ya kilimo.

Na cha kustaajabisha zaidi pamoja na kuwa na aridhi kubwa yenye rutuba mna uhaba wa chakula hadi mnaagiza chakula huko nje.

Imagine eti Tanzania mnaagiza Mchele kutoka nchi kama Vietnam ambayo ina arable land yenye ukubwa wa hekari 6.5m pekee tu, wakati huo nyie mna hekari zaidi ya 40m zenye rutuba.

Imagine hiyo Vietnam kwenye kilimo cha mpunga tu huwa wanatengeneza export value ya $2.7b ambazo ni sawa sawa na Trilioni 6 na upuuzi ukizileta kwenye pesa yenu ya madafu.

Sisi Acha tuendelee kununua magoli na kutekana tekana ovyoo
 
Hata wapa si wamekuwa Wamachinga Kariakoo na wengine wanachezesha madubwi ya kamari vijijini.
Hakuna kitu kinaniuzi kama Madubwi kupelekwa kila mahali Tanzania bila.kujali vizazi vyetu.

Ni kweli kuna muda unaona aibu kuwa mwafrika. Inasikitisha
 
Back
Top Bottom