USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

USAID ya China yaanza kuwika Afrika, yagawa msaada wa msosi Zimbabwe

Ila yanga ya China haiwezi kuwa tamu kama ile ya America. Alinisimulia mzee kwamba yanga ni unga wa mahindi ya njano ulitolewa msaada nchini nyakati ngumu miaka ya nyuma huko.
 
Rais unakwenda kabisa kupokea msaada wa chakula umevaa kabisa tai na suti.

Hawa viongozi wengine niwakuchapa bakora.

UAE, Oman, Saudia nk kule ni jamgwa kabisa lakini husikii wanapewa msaada wa chakula.

Rais wa nchi kupewa msaada wa Chakula ni kitu cha aibu kinachopaswa kujiuzuru kabisa, yeye kama Rais alikuwa Hajui kuna siku nchi itakumbwa na ukame na idadi ya waathirika (Estimates aka prediction) na wakawa kwenye Hali ya utayari na resources zote.?
 
Rais unakwenda kabisa kupokea msaada wa chakula umevaa kabisa tai na suti.

Hawa viongozi wengine niwakuchapa bakora.
Mkuu ulitaka aende amevaa jeans au tracksuit?
 
Angalau leo umeona mema ya Wachina
Nimeyaona tangu zamani walipotujengea reli ya TAZARA na wakati wanatuuzia samaki vibua.
Yutong nyepesi za China ni mema yao pia kwa sababu imesababisha bus kuwa bwerere japo ajali zake huwa zianasambaratika kama karatasi.
Bodaboda pia ni mema yao kwa sababu zinapunguza wizi mitaani.
 
Mkuu ulitaka aende amevaa jeans au tracksuit?

Angevaa tu manguo yaliyochanikachanika na miguuni angekuwa pekupeku kudhihirisha kweli wanahitaji huo msaada.

Kwenda hivyo alivyokwenda maana yake hawana tatizo lolote, they are ok, amuoni mwenzie yule waukraine akienda kuomba anavyovaa kuonyesha wako kwenye taabu.
 
TAZARA
Yutong
Bodaboda
pia ni mema yao kwa sababu zinapunguza wizi mitaani.
TAZARA the longest railway in sub-Saharan Africa

YUTONG bus is the No.1 global sales of electric buses and coaches

China the top exporter of motorcycles and cycles in the world

That's China for you
 
Shamba la bibi, Africa kama mfano wa Malaya, tajiri amejipigia wee mpaka akakinai na kususa juu.. ss Kuna matajiri wengine wadogo walikuwa wanavizia na wao wale kimtindo ss ndio hivyo ss wamepata njia na wao wajipgie kwa hasira
Waje na kwenye ukimwi
Tupige maokoto bhana
 
Hivi Mfano sisi watanzania tunashirika kweli la kusaidia misaada Kwa Nchi ambazo zinahali mbaya zaidi yetu?Au sisi tuna Hela za kuhonga magoli Kwa shilingi Milioni kumi tofauti na hapo hakuna kitu
Nchi zote za dunia ya tatu zina hali mbaya, hakuna wa kusaidia mwenzake.
 
TAZARA the longest railway in sub-Saharan Africa

YUTONG bus is the No.1 global sales of electric buses and coaches

China the top exporter of Motorcycles and cycles in the world

That's China for you
Waje na kwenye ukimwi
Sisi tulambe asali
Tupige maokoto tusepe
 
Tatizo alinyang'anya ardhi wazungu akawapa makada machawa na viongozi wa chama chake cha ZANU-PF badala ya wakulima halisi wanaoleweka.
Hawa nyani ngoja tuwalishe
 
TAZARA the longest railway in sub-Saharan Africa

YUTONG bus is the No.1 global sales of electric buses and coaches

China the top exporter of motorcycles and cycles in the world

That's China for you
Usisasahau imewajengea pia Burundi ikulu na AU makao makuu yake iliyoweka vyombo vyaka vya kunasa mawasiliano kila kona.
 
Rais unakwenda kabisa kupokea msaada wa chakula umevaa kabisa tai na suti.

Hawa viongozi wengine niwakuchapa bakora.

UAE, Oman, Saudia nk kule ni jamgwa kabisa lakini husikii wanapewa msaada wa chakula.

Rais wa nchi kupewa msaada wa Chakula ni kitu cha aibu kinachopaswa kujiuzuru kabisa, yeye kama Rais alikuwa Hajui kuna siku nchi itakumbwa na ukame na idadi ya waathirika (Estimates aka prediction) na wakawa kwenye Hali ya utayari na resources zote.?
Tena na skafu

Mbaaafff kabisa
 
Ni Aibu Kwa Afrika kupewa msaada wa chakula
Mwenyewe Rais katulia kabisa kwenye pozi anapigwa picha mbele ya chakula cha msaada!! Aibu sana!!! Na kwenye ziara zake ataliweka hilo kwenye hotuba yake kama mafanikio ya nchi kupewa msaada wa chakula na wachina! Wananchi nao watalipuka kwa furaha na kupiga vigelegele na makofi! Viongozi na wananchi wote sawasawa!!
 
Ati msaada wa misosi 😆😆 Wachina wenyewe wanakula Mbwa na Nyoka ndio watasaidia misosi gani...😁😁🤣😂
 
Back
Top Bottom