USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

Hahahaha................si unajua Wazee tusivyo na mambo mengi

Hebu njoo nikusimulie mambo yalivyokuwa wakati wa vita vya pili vya Dunia 😜
We mzee bila shaka unajambo lakoπŸ˜†πŸ€£ ujue hizo story nilisimuliwa na walimu darasani miaka ileeeeee
 
Kwa hii tahadhali iliyotolewa kuna wasio na UTU wataanza kuficha dawa ili baadaye wapige pesa endapo itatokea.

Msifanye hivyo tafadhali!
Ndugu zetu, watanzania wenzetu hawawezi kumudu gharama za kununua hizo dawa.
 
Wahudumu wa kitengo karibia wanatajirika, si wataanza kubeba kwenye mikoba yao na kuzitunza nyumbani, baada ya kuadimika wanaanza kuziuza sasa
 
Safi saana ushoga byebye
 
Duuuh, tatizo mchina maslahi sana yule.

Ila hii ishu china anaifurahia sana ili aendelee kutushika waafrika mpaka tukabidhi maeneo yote muhimu ya kimapato
 
Wahudumu wa kitengo karibia wanatajirika, si wataanza kubeba kwenye mikoba yao na kuzitunza nyumbani, baada ya kuadimika wanaanza kuziuza sasa
Umesema sahihi Mkuu, hapo wataanza kupiga hela kama wamesimama tu πŸ™Œ
 
Shida ndio zitamua njia gani tutumie kujinasua.

Ni wakati nchi za Africa kuungana Katika uchumi unao chumu ilikuleta tija kwa mataifa ya Africa ikiwemo Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ yangu
 
Safi sana na bakuli mlitupe sasa
Fungeni mikanda kikweli
Wakate mirija yote
 
Kumekuuuuucha!!! Nilisubiri hili jambo kwa muda mrefu kwa ajili ya mapenzi mema na AFRICA

Hii misaada ndo imefanya Africa isione haja ya kuungana na kujipambania
 




Hawajafuta ni kwamba wameelekezwa kuzingatia interest za nje "America first". Vilevile wengi niwape elimu George Bush alibadilisha sheria na kuweka kwamba pesa yote ya visa za balozi za Marekani inabaki nchi husika na kupelekwa USAID maana yake mtu akichukuwa visa ile pesa haiondoki nchi husika

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…