USAID yatangaza kusitisha misaada nje ya nchi

Yaani nimesoma huu uzi nilikuwa sielewi kwa nini watanzania tumejawa na uoga na malalamiko,yaani wadau wanavyolaumu utasema ni haki yao,hivi inakuwaje?kweli tumepewa vyote tumenyimwa akili.
 
Tufe tu
Watakaobaki watakuwa makini zaidi
Kazi ya Serikali ni pamoja na kulinda Usalama wa raia wao, kwahiyo lazima itapambana kuhakikisha wanaendelea kuwapatia hayo madawa hata kama yatakuwa ni ya akina Madabila wa CCM
 
Yaani nimesoma huu uzi nilikuwa sielewi kwa nini watanzania tumejawa na uoga na malalamiko,yaani wadau wanavyolaumu utasema ni haki yao,hivi inakuwaje?kweli tumepewa vyote tumenyimwa akili.
Ni hatari sana sema basi tu,kama tulilogwa basi aliyetuloga alitumia uchawi mkali sana sana Mungu atusaidie tu.
 
Msiba wa jirani ni wangu pia hatuwezi kujua itakuwaje, wengi tunawategemea sana wao wakisema suu Hali kwetu ni mbaya sana
 
Nilimdharau Lissu alipoanza kwenda kinyume katika harakati za rasimali enzi za magufuli nilimuona ni kama Chawa wa wazungu .. Nchi inapigana imiliki Rasimali kama anavyofanya Trump .. American First yeye anakuwa mpingaji ..
 
Nilimdharau Lissu alipoanza kwenda kinyume katika harakati za rasimali enzi za magufuli nilimuona ni kama Chawa wa wazungu .. Nchi inapigana imiliki Rasimali kama anavyofanya Trump .. American First yeye anakuwa mpingaji ..
Walikuwa wanataka waungwe mkono, na waliungwa mkono kweli kweli. Ndio maana walishindwa mwanzoni mwa awamu hii kumsema Rais na Serikali ya CCM.

Mbowe alitupoteza mno.
 
Wako sawa 100% kusitisha,kwani wengine wamelala kusubiri misaara,wengine wanafia kazini wakifanya kazi
 

Attachments

  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…