Ijue nchi Yako vizuri......ie national symbolsWanaojua Maswali ya usaili au vya kupitia kabla ya usaili uhamiaji naomba watujuze tuanze maandalizi ili Mungu akijalia majina yetu yakatoka tujue vya kusoma. Thanks in advance.
Kaka vp umetoboa [emoji38]Wanaojua Maswali ya usaili au vya kupitia kabla ya usaili uhamiaji naomba watujuze tuanze maandalizi ili Mungu akijalia majina yetu yakatoka tujue vya kusoma. Thanks in advance.
Vipii kakaa umetoboaa😀Haya Pdf letu pendwa limetoka😄
Umeuliza kinafki sana mkuu😂😂Kaka vp umetoboa [emoji38]
anakurupuka kabla ya kuijua hatma yko [emoji38]Umeuliza kinafki sana mkuu[emoji23][emoji23]
Alitaka kuanza kusoma kabla jaman😄😄 pdf halitabiri 🙌anakurupuka kabla ya kuijua hatma yko [emoji38]
Mkuu kuhusu jw hamna update yoyote
We unajuaje mzee? Huenda wapoHumo hamna mujibu wa sheria wakuu
Nipo apaWe unajuaje mzee? Huenda wapo
Daaaaah kk mm nilipata ajira kupitia utumishi mwaka jana mwishoni so,Inakuwa ngumu kufuatilia lonja za majeshi tena.Kikubwa msi base kwenye majeshi tu yatawavunja moyo,Jaribuni bahati kupitia mlango wa PSRS honestly wako fair sanaaaaa.Majeshi kma huna mtu wa kukushika mkono ni kutwanga maji kwenye kinu.Mkuu kuhusu jw hamna update yoyote
Duh poa kiongozi ngoja tujaribu kwengineDaaaaah kk mm nilipata ajira kupitia utumishi mwaka jana mwishoni so,Inakuwa ngumu kufuatilia lonja za majeshi tena.Kikubwa msi base kwenye majeshi tu yatawavunja moyo,Jaribuni bahati kupitia mlango wa PSRS honestly wako fair sanaaaaa.Majeshi kma huna mtu wa kukushika mkono ni kutwanga maji kwenye kinu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mujibu?Nipo apa
Uhamiaji ujapataDuh poa kiongozi ngoja tujaribu kwengine
NdioMujibu?
Kila lakheri mkuuNdio
Uhamiaji ujapata kakaKila lakheri mkuu