Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

Wanaojua Maswali ya usaili au vya kupitia kabla ya usaili uhamiaji naomba watujuze tuanze maandalizi ili Mungu akijalia majina yetu yakatoka tujue vya kusoma. Thanks in advance.
Kaka vp umetoboa [emoji38]
 
Wakuu habari! Samahani kuna yeyote mwenye ronja ya usaili wa magereza kwa Wenye fani watatoa lini mkeka?
 
Mkuu kuhusu jw hamna update yoyote
Daaaaah kk mm nilipata ajira kupitia utumishi mwaka jana mwishoni so,Inakuwa ngumu kufuatilia lonja za majeshi tena.Kikubwa msi base kwenye majeshi tu yatawavunja moyo,Jaribuni bahati kupitia mlango wa PSRS honestly wako fair sanaaaaa.Majeshi kma huna mtu wa kukushika mkono ni kutwanga maji kwenye kinu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Daaaaah kk mm nilipata ajira kupitia utumishi mwaka jana mwishoni so,Inakuwa ngumu kufuatilia lonja za majeshi tena.Kikubwa msi base kwenye majeshi tu yatawavunja moyo,Jaribuni bahati kupitia mlango wa PSRS honestly wako fair sanaaaaa.Majeshi kma huna mtu wa kukushika mkono ni kutwanga maji kwenye kinu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Duh poa kiongozi ngoja tujaribu kwengine
 
Back
Top Bottom