Nyanzige30
Senior Member
- Mar 18, 2024
- 118
- 269
Hv hzi mambo za motherkanisend n kwl zpo ama tunapiga soga tu huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv hzi mambo za motherkanisend n kwl zpo ama tunapiga soga tu huku
Umemuelezea vizurii sanaa Mkuuu🙌MT sio km UT mkuu, wkt UT wao wanatoa majina usaili unafanyika pamoja kw wte km ww ulvyofanya lkn mkatengwa f4,6,Deploma na Degree lkn cku ya usaili mlifanya moja! Magereza wao wanaanza chini huko kw wilayani thn mikoani kw vjana wa f4 na wasio na fani Kisha mzgo utahamia kw f6,deploma na degree na wenye fani mbali2 hawa wataitwa na mwshowe majina yatatoka! Kw kurahisishia ni km walivyofanya ZT Mwaka huu. Pia MT ni kawaida yao kukaa kmya muda mrefu hv tofauti na UT, Unajumbuka klchotokea Mwaka Jana ama hufuatilii haya mambo mkuu?
Zipo kakaa AminiiHv hzi mambo za motherkanisend n kwl zpo ama tunapiga soga tu huku
Pamoja na michakato mingine ya kiusaili kuanzia ngazi za wilaya mpaka Mkoa Kwa Magereza hao ni wale fm4 wasio na fani Uje ule usaili wa Makao makuu walio na fani ngazi zote hizo zikamilike....Kuna suala kubwa pia la kibajeti Lazima fedha ya kuratibu mafunzo itengwe Serikali iidhinishe fedha zitoke wizarani ziende Kwenye Jeshi husika(MT) nafikiri pia unaelewa process ya Pesa ya kiserikali...Hao kuruta huko mafunzoni lazima wale,Wapate Kombati za mafunzo,,na vitu vingine So kwa kukupitisha hapo tu utaona kwamba sio suala la kuamka tu ni Process lazima zifanyike...Kuigharamikia Kozi..KUNA suala la posho pia kwa kuruta.mambo hayo lazima yakamilike ndo taratibu zingine ziendeleeMbona kimya
Polisi?Kuna depo imemaliza Leo CCP wakuu mmeona?? ilienda 2023 March
Pia Magereza hawanaga sjui watakaa wiki mbili baada ya deadline sjui nn wao huwa wanapoteaga km hv, Unaweza kuta ngoma ikafika May hii mpk watu waksahau hasaPamoja na michakato mingine ya kiusaili kuanzia ngazi za wilaya mpaka Mkoa Kwa Magereza hao ni wale fm4 wasio na fani Uje ule usaili wa Makao makuu walio na fani ngazi zote hizo zikamilike....Kuna suala kubwa pia la kibajeti Lazima fedha ya kuratibu mafunzo itengwe Serikali iidhinishe fedha zitoke wizarani ziende Kwenye Jeshi husika(MT) nafikiri pia unaelewa process ya Pesa ya kiserikali...Hao kuruta huko mafunzoni lazima wale,Wapate Kombati za mafunzo,,na vitu vingine So kwa kukupitisha hapo tu utaona kwamba sio suala la kuamka tu ni Process lazima zifanyike...Kuigharamikia Kozi..KUNA suala la posho pia kwa kuruta.mambo hayo lazima yakamilike ndo taratibu zingine ziendelee
Wacha wadau waripoti tuoneZipo kakaa Aminii
Ndiooo wamemalizaa Leoo....kule imebaki Depo moja walioenda mwez wa 10 na 12Polisi?
Yeaap ndo zao nafikiri ni mwaka juzi Kuna walipiga interview May kwenda mafunzo ikawa JULYPia Magereza hawanaga sjui watakaa wiki mbili baada ya deadline sjui nn wao huwa wanapoteaga km hv, Unaweza kuta ngoma ikafika May hii mpk watu waksahau hasa
Polisi vipi hawarud tena jamn mwaka huu?Ndiooo wamemalizaa Leoo....kule imebaki Depo moja walioenda mwez wa 10 na 12
Ndiooo wamemalizaa Leoo....kule imebaki Depo moja walioenda mwez wa 10 na 12
Ndiooo wamemalizaa Leoo....kule imebaki Depo moja walioenda mwez wa 10 na
Kuna mdau alidokeza labda July huko lkn sio confirmed acha wake wadau walio karibu zaidi na taasisi na wadau watuhabarishePolisi vipi hawarud tena jamn mwaka huu?
Hapo sina ronja mkuu japo naelewa wanaeza kurudi....afu sema hua wana ile ya kuweka mwaka ulomaliza fm4 au 6 kwenye vigezo hua inakata kinomaPolisi vipi hawarud tena jamn mwaka huu?
Ukiwa na mbuyu wa uhakika hayo yanabaki kuwa maandishi tuHapo sina ronja mkuu japo naelewa wanaeza kurudi....afu sema hua wana ile ya kuweka mwaka ulomaliza fm4 au 6 kwenye vigezo hua inakata kinoma
Kwelii kakaaa sema sifaa mbangaa tuuUkiwa na mbuyu wa uhakika hayo yanabaki kuwa maandishi tu
Hawa wa kumi na Dec Wana weza kuapa Kwa pamojaNdiooo wamemalizaa Leoo....kule imebaki Depo moja walioenda mwez wa 10 na 12
Sio kwamba wanaweza ndo kundi moja hiloo wanapiga kozi pamoja walioenda mwez wa 10 walisubiri hawa waloenda Dec ndo kozi ilianza hapo ndo kozi moja hio hadi sasa.Hawa wa kumi na Dec Wana weza kuapa Kwa pamoja
Mmesikia lonja la uhamiaji wakuu “Haijaisha mpk iishe wapambanaji”Sio kwamba wanaweza ndo kundi moja hiloo wanapiga kozi pamoja walioenda mwez wa 10 walisubiri hawa waloenda Dec ndo kozi ilianza hapo ndo kozi moja hio hadi sasa.
TUpe ronjaaaa mkuuMmesikia lonja la uhamiaji wakuu “Haijaisha mpk iishe wapambanaji”
Wapambanaji kuna simu zitaita hasa madereva na ma civil engineering wanahitajika. More details to comeTUpe ronjaaaa mkuu