Usaili kada ya Afya 2024: Matokeo ya usaili ya kuandika (written) Tabibu daraja la pili (Clinical officer II) yametoka

Na ndio mana sisi wengine tunaunga mkono usaili, ila hawa baadhi ya ndugu zetu hawatuelewi kabisa wanatuona hatuna akili
 
Duu watu wamekandwa hatari sana na unaweza kuta kwenye ile sanda kalawe yule mwenye 20 angekuwa wa kwanza kupangiwa kituo halafu yule profesa mwenye 98 angekosa….Hakika usaili hadanganyi!
 
Huyo wa mwisho aliyepata 58% ambaye n selected, sipati picha presha + furaha aliyonayo
Ndio maana tunasema wakati wa Mungu ni wakati sahihi! Jamaa kaponea kwenye tundu la sindano kama ningekuwa yeye ninge mshukuru Mungu sana ninge anza mazoezi na kitabu kwaajili ya oral kwa nguvu zote…Huyu jamaa ndiye anatakiwa kutu prove wrong aisee…….
 
Kuna watu walikuja hapa kulalamika hawataki kufanyiwa usaili
 
Kweli kabisa mkuu, huu ndo muda wake kurudi upya kambini na kuandaa silaha zake upya kwa ajili ya vita ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…