Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Na ndio mana sisi wengine tunaunga mkono usaili, ila hawa baadhi ya ndugu zetu hawatuelewi kabisa wanatuona hatuna akiliKo kwa ule mfumo wa zoa zoa na bahati nasibu ingewezekana huyo mwamba alofunga dimba angepata placement half huyo Janabi mtoto alopata 98 angekosa placement?
Kwakweli PSRS wametutoa gizani,Mwakani waboreshe zaidi waongeze na practical😂😂😂