Usajili timu za bongo ni pata potea. Hakuna mfumo maalumu unaotumika

Usajili timu za bongo ni pata potea. Hakuna mfumo maalumu unaotumika

Fohadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
772
Reaction score
2,421
Viongozi wa soka wa timu za ligi kuu hapa bongo hasa hizi kubwa wanapaswa kubadilika...maswala ya sajili za kubahatisha yamepitwa na wakati...Kama kweli tunataka kupiga hatua inabidi tubadilike kwenye hii angle.

Ni bongo pekee ambapo usajili wa mchezaji hauzingatii CV yake bali upepo alioamka nao mchezaji siku ya mechi husika...Unaweza ukawa huna namba kwenye timu yako ila siku ukiotea wakati unacheza na hizi timu ni hapo hapo unakula wino. Asilimia kubwa ya wachezaji wanaosajiliwa huwa hawajulikani kabla ya mechi husika. Hakuna mwenye background zao...ni ile tu mchezaji ameamka vizuri ameperform fresh basi anakula mkataba. Ngoja nikupe evidence.

Nani alikuwa anamjua miquisonne, kavumbagu..tchetche...chikwende kabla hawajawa signed na hizi timu?
Konde Boy alisajiliwa baada ya kung'aa siku ya mechi, same to Kavumbagu, Chikwende na wengine kibao. Matokeo yake sasa tunaishia kubahatisha...wakati unamkuta miquisonne yuko bora. Unamkuta Chikwende ni flop...Nasikia sasa hivi Yanga wanamtaka/wamemsajili Shaban djuma. Je, viongozi walikuwa wanamjua huyo mchezaji kabla ya siku ile alipocheza na Simba? What if siku ile alipania game tu ila generally ni average player?

Usajili wa kubahatisha kama huu sio mara zote utampata mtu bora kama Konde Boy.. hata simba wenyewe kwa Konde Boy ni kama walibet tu kwasababu hawakuwahi kuwa na info zake kabla.

Kiufupi, viongozi wabadilike...kuwe na scouting za kutosha ili kuwa na uhakika na usajili unaoenda kufanyika...Maswala ya bahati na sibu tuwaachie BKO na wengine.

Ngoja tuone kama Usajili wa shaban djuma kwa wananchi utakidhi mahitaji ya timu kama KondeBoy au itakuwa flop kama Chikwende.

Time will tell.
 
Labda Uto ndo hawajabadilika lakini kwa Simba imeshabadilika,Mequeson ni moto,Bwalya moto,Onyango moto,Thadeo moto.
Lakini pia unaweza kujua cv za mchazaji lakini tu baada ya kumsajili aka flop kwasababu mbalimbali.
 
Viongozi wa soka wa timu za ligi kuu hapa bongo hasa hizi kubwa wanapaswa kubadilika...maswala ya sajili za kubahatisha yamepitwa na wakati...Kama kweli tunataka kupiga hatua inabidi tubadilike kwenye hii angle...
Kufuatilia mpira wa vilabu vya bongo ni matumizi mabaya ya ufahamu
 
Labda Uto ndo hawajabadilika lakini kwa Simba imeshabadilika,Mequeson ni moto,Bwalya moto,Onyango moto,Thadeo moto.
Lakini pia unaweza kujua cv za mchazaji lakini tu baada ya kumsajili aka flop kwasababu mbalimbali.
vipi yule rasta mkuu, lukosa kama sikosei
 
Duniani kote usajili wa wachezaji ni kubahatisha tu yaani ni kama kamari. Pamoja na scouting inayofanyika lakini wanaoflop ni wengi tu kama akina Minamino pale liverpool au Falcao alipokuwa Man u au Walter bwalya pale Al ahly.

Kwa hiyo usajili ni kubahatisha tu ila unapofanya scouting unapunguza chance ya flop ila usiseme ni usajili wa uhakika. Haujawahi kuwepo usajili wa uhakika.
 
Hueleweki unapinga nini.!! Nahisi we ni mgeni kwenye mambo ya soka'
 
Viongozi wa soka wa timu za ligi kuu hapa bongo hasa hizi kubwa wanapaswa kubadilika...maswala ya sajili za kubahatisha yamepitwa na wakati...Kama kweli tunataka kupiga hatua inabidi tubadilike kwenye hii angle.

Ni bongo pekee ambapo usajili wa mchezaji hauzingatii CV yake bali upepo alioamka nao mchezaji siku ya mechi husika...Unaweza ukawa huna namba kwenye timu yako ila siku ukiotea wakati unacheza na hizi timu ni hapo hapo unakula wino. Asilimia kubwa ya wachezaji wanaosajiliwa huwa hawajulikani kabla ya mechi husika. Hakuna mwenye background zao...ni ile tu mchezaji ameamka vizuri ameperform fresh basi anakula mkataba. Ngoja nikupe evidence.

Nani alikuwa anamjua miquisonne, kavumbagu..tchetche...chikwende kabla hawajawa signed na hizi timu?
Konde Boy alisajiliwa baada ya kung'aa siku ya mechi, same to Kavumbagu, Chikwende na wengine kibao. Matokeo yake sasa tunaishia kubahatisha...wakati unamkuta miquisonne yuko bora. Unamkuta Chikwende ni flop...Nasikia sasa hivi Yanga wanamtaka/wamemsajili Shaban djuma. Je, viongozi walikuwa wanamjua huyo mchezaji kabla ya siku ile alipocheza na Simba? What if siku ile alipania game tu ila generally ni average player?

Usajili wa kubahatisha kama huu sio mara zote utampata mtu bora kama Konde Boy.. hata simba wenyewe kwa Konde Boy ni kama walibet tu kwasababu hawakuwahi kuwa na info zake kabla.

Kiufupi, viongozi wabadilike...kuwe na scouting za kutosha ili kuwa na uhakika na usajili unaoenda kufanyika...Maswala ya bahati na sibu tuwaachie BKO na wengine.

Ngoja tuone kama Usajili wa shaban djuma kwa wananchi utakidhi mahitaji ya timu kama KondeBoy au itakuwa flop kama Chikwende.

Time will tell.
Ili umsajili mchezaji ni lazima umuone akicheza na ukaridhika na kiwango chake.
Ingekuwa ni kuangalia CV basi kina Enzo Zidane wangekuwa wanagombewa na kila timu au watoto wa Bekham.
Tulikuwa hatumjui Chama, hatukumjua Kagere, hakuna anayejua hata Lwanga katokea wapi... Tunajua kabisa alipotokea Sarpong,... Tunajua wazi Fiston alikuwa na kiwango gani aliposajiliwa.....
Kwa kifupi haya maisha yote yamejaa bahati nasibu tu.. Kila jambo ni kama kamari.
 
Back
Top Bottom