Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahaaaaUkitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.
Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.
Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.
Yote haya chanzo Aziz Ki.
KabisaSema Azizi K ameleta mabadiliko.
Watu kulipwa vizuri sio hasara.
Mpira unapesa sana
Unajua sanaKi ni natural no 10,nabi formula yake no 10 anashuka sana chini tena deep kama no 6 iko ndio ki alishindwa kwenda nacho,feisal alishaini 10 ya nabi sbb ni mkabaji asilia na ndio maana unaona mudathir kwa nabi no 10 alikua kishaanza kuimudu,ki akiachiwa acheze ile 10 asilia kama anavyocheza chama pale kwenu,mtaficha sura zenu hapa,ki akipunguziwa jukumu la kuanzisha mpira toka chini hamna no 10 atakaemfikia hapa TZ
AaahaaaaAlikuwa anabanwa na mchoyo mayele, Sasa subiri uone moto wake baada ya mchoyo huyo Mr. Myself kuondoka
Hahahahaha,wachambuzi wa kitanzaniaUbora upi wa Mayele uano uzungumzia? una ndimi mbili kama mwana CCMView attachment 2691117
Hahahahahaha,acha ccm iwatawaleUkitazama Kwa jicho la tatu utagundua kama sio kumleta Aziz Ki na kumlipa zaidi ya milioni 25 Kwa mwezi pengine Feisal asingeondoka Yanga na kama Feisal asingeondoka na kwenda Azam kulipwa hela nyingi pengine Chama Leo asingekuwa anadai hela zaidi.
Naona kila mchezaji sasa anaangalia mbona Aziz Ki analipwa million 25...kwanini Mimi nilipwe 15...hii hasara imezikumba timu zote mbili za kkooo.
Na hata huko Azam kila atakejiona ana perform kuliko Feisal atauliza mbona Feisal mnampa hela hizi Mimi hamnipi.
Yote haya chanzo Aziz Ki.
Kihasibu
Hongera, Unaujua mpira mkuu....Ki ni natural no 10,nabi formula yake no 10 anashuka sana chini tena deep kama no 6 iko ndio ki alishindwa kwenda nacho,feisal alishaini 10 ya nabi sbb ni mkabaji asilia na ndio maana unaona mudathir kwa nabi no 10 alikua kishaanza kuimudu,ki akiachiwa acheze ile 10 asilia kama anavyocheza chama pale kwenu,mtaficha sura zenu hapa,ki akipunguziwa jukumu la kuanzisha mpira toka chini hamna no 10 atakaemfikia hapa TZ
Tuliwaambia makolo wakabisha sasa hivi wanakuambia wanataka kumsajili yule yule waliekua wanampondaHongera, Unaujua mpira mkuu....
Nadhani hata Gamond ndio unategemea zaidi counter attacks.Mpira wa Nabi unategemea zaidi counter attacks, ndio maana mfumo wake uliegemea kwa wakimbizaji.
Mayele, Moloko na Kisinda ndio walikuwa jeshi lake la kukimbiza. Morrison na Azizi Ki walistruggle Kwasababu hawana mbio, na Nabi alikuwa anasema hawana pumzi
no brother kwa hizi timu kubwa muda ushafikaPesa ya kulipa kila mchezaji million 20?..sidhani...bado sana..
Unajua boliKi ni natural no 10,nabi formula yake no 10 anashuka sana chini tena deep kama no 6 iko ndio ki alishindwa kwenda nacho,feisal alishaini 10 ya nabi sbb ni mkabaji asilia na ndio maana unaona mudathir kwa nabi no 10 alikua kishaanza kuimudu,ki akiachiwa acheze ile 10 asilia kama anavyocheza chama pale kwenu,mtaficha sura zenu hapa,ki akipunguziwa jukumu la kuanzisha mpira toka chini hamna no 10 atakaemfikia hapa TZ
Pa1 kaka 🖐😃Unajua boli
Aziz Ki ameanzia alipoishi Mayele, yeye ndio Top score mpaka tunafunga mwakaHasara ambayo ipo kwa Azizi Ki ni kiwango chake kutokuwa constant yani kinapanda na kushuka kama dollar.
Huyu jamaa wana Yanga wengi walishindwa kuona weakness yake kwasababu baadhi ya magepu yanayo expose ubovu wake yalikuwa filled na ubora wa Mayele.
Sasa Mayele saizi kaondoka ina maana mchizi akiendelea na kiwango kile kile cha kauka nikuvae atajikuta yupo Ihefu kwa mkopo.
Bora huyu alikuwa na magutu akaweka akiba ya maneno, kuliko Yule Mwasibu yeye huropokaga Tu then anakuwa proved wrong kila projection yake.Kihasibu 🤣🤣