Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Usajili wa Aziz Ki umeleta hasara kuliko faida?

Mpira wa miguu ni mchezo mgumu sana uwanjani, huitaji akili na nguvu na kipaji juu.

Mshabiki kama wewe utachukulia ni uzembe wa makipa. Lakini mbona si wote wanaotumia uzembe huo ?!. Utasema manula alifungwa kwa uzembe ?!. Kafunga Tunis tena mchezo wa mtoano utasema kipa alikuwa mzembe !!. Kafunga kwa Gallants utasema ilkuwa uzembe wa kipa !!.
Huyo jamaa akili hazimo! alituaminisha Mayele ni mbovu leo kawa mzuri, kuna goli goli linafungwa bila errors? Sadio kafunga magoli mengi sababu ya off position ya makipa tutasema sio mchezaji mzuri?
 
Mpira wa miguu ni mchezo mgumu sana uwanjani, huitaji akili na nguvu na kipaji juu.

Mshabiki kama wewe utachukulia ni uzembe wa makipa. Lakini mbona si wote wanaotumia uzembe huo ?!. Utasema manula alifungwa kwa uzembe ?!. Kafunga Tunis tena mchezo wa mtoano utasema kipa alikuwa mzembe !!. Kafunga kwa Gallants utasema ilkuwa uzembe wa kipa !!.
Basi kama hivyo hata Nabi mpira haujui maana nilichokiongea mimi kuhusu Azizi Ki ndicho alichowahi kukisema.

Utofauti ni kwamba yeye alikuwa kocha mimi ni member wa JF.

Unachokisema wewe umetoka kwenye eneo la ubora umeenda kwenye bahati.

Ni kwamba Azizi Ki ana bahati sana akiwakuta makipa wako kwenye peak ya uzembe, akipiga shuti bovu lazima afunge kuliko washambuliaji wengine.

Halafu mimi sijasema kufungwa kwa Manula na Azizi Ki ni uzembe wa Manula, na wala sijasema kila goli alilofunga Azizi Ki limesababishwa na uzembe wa kipa.

Manula naye kafungwa magoli mengi ya uzembe na humu tumeongea sana

Tatizo tukiongea uzembe wa Manula nyie ndio mnatuona kuwa tunajua mpira kwasababu tumeongea kitu ambacho mnapenda kukisikia.

Tukiongea kuhusu ubovu wa mchezaji wenu hapo mnatuona hatujui mpira au tunachuki na mchezaji wenu.
 
Huyo jamaa akili hazimo! alituaminisha Mayele ni mbovu leo kawa mzuri, kuna goli goli linafungwa bila errors? Sadio kafunga magoli mengi sababu ya off position ya makipa tutasema sio mchezaji mzuri?
Akili za nini umri huu kwani mi mwanafunzi?

Kuna uzembe na errors, errors inaweza kutokea tu kwasababu ya umezidiwa Quality

Errors inaweza kuja katika form ya bahati mbaya kwamba hakukuwa na namna ya kuweza kudhibiti.

Uzembe maana yake ni kile kitu ambacho kilikuwa na asilimia 100% za wewe kufanya kwa usahihi lakini ukaja kuzingua.
 
Basi kama hivyo hata Nabi mpira haujui maana nilichokiongea mimi kuhusu Azizi Ki ndicho alichowahi kukisema.

Utofauti ni kwamba yeye alikuwa kocha mimi ni member wa JF.

Unachokisema wewe umetoka kwenye eneo la ubora umeenda kwenye bahati.

Ni kwamba Azizi Ki ana bahati sana ya kumfunga kipa mzembe kuliko wengine.

Halafu mimi sijasema kufungwa kwa Manula na Azizi Ki ni uzembe wa Manula, na wala sijasema kila goli alilofunga Azizi Ki limesababishwa na uzembe wa kipa.

Manula naye kafungwa magoli mengi ya uzembe na humu tumeongea sana

Tatizo tukiongea uzembe wa Manula nyie ndio mnatuona kuwa tunajua mpira kwasababu tumeongea kitu ambacho mnapenda kukisikia.

Tukiongea kuhusu ubovu wa mchezaji wenu hapo mnatuona hatujui mpira au tunachuki na mchezaji wenu.
Tutajie makipa ambao sio wazembe hapa duniani
 
Wewe na Genta ni bibi na bwana unakana maneno yako umesema sasa hivi! View attachment 2691137
Utakuwa una matatizo binafsi.

Hiyo screenshot yako uliyoiweka kuna sehemu imesema hawezi ku improve?

Kuna sehemu yeyote iliyofunga uwezekano wa mchezaji kuweza kubadilika?

Kusoma nako shida sio?

Chukulia mfano huu

Mabingwa wa Afya wamefanya utafiti na kugundua ukiwa shabiki wa Yanga lazima uwe chizi, na usipokuwa shabiki wa Yanga hautakuwa chizi.

Sasa

Nikisema bullar ukiendelea kuwa shabiki wa Yanga utakuwa chizi, je kauli hiyo maana yake wewe utakuwa chizi miaka yote kwasababu hauta acha kushabikia Yanga ili uondokane na uchizi?

Kama utaweza kuachana na Yanga basi hapo utakuwa umeondokana na uchizi.

Kama utaendelea kuwa shabiki wa Yanga bila kuacha maana yake wewe ni chizi milele.

Ndio ilivyo kwa Azizi Ki.

Kama ataendelea na kiwango kile kile cha bahati na sibu lazima afeli, ila kama ataweza ku improve anaweza kuwa bora maradufu.
 
Siokweli
Ukubwa wa ligi ndo huo ,tupunguze dezo na timu haraka zibadilike kimifumo
 
Huyu ndugu yetu ana tatizo la chuki nothing more nothing less
Chuki kwasababu nimemsema negative Azizi Ki?

Basi Nabi naye anachuki sana au ndio sababu kasepa?
 
Chuki kwasababu nimemsema negative Azizi Ki?

Basi Nabi naye anachuki sana au ndio sababu kasepa?
Ki alikuwa hapati namba sio kwamba alikuwa hajui,bali kulikuwa na watu wanafanya vizuri mzoezini. Ila kuhusu yale magoli Ki alikuwa anajua nini anacho kifanya na alikuwa habahatishi, mpira wowote utakaopigwa kimo cha chini,then ukadunda karibu na kipa una asilimia kubwa ikawa goli, tena kama Messi kishafunga magoli yale sana.

Aziz K ndio hakuperform ila ile style yake ya upigaji kama huna mazoezi kipa yoyote unafungwa na alikuwa anajua jinsi ya kuipiga ile mipira kwani kwa mipira ile bila shaka ni expert, Messi kishamtungua Van De Sar fainali ya UEFA style ile ile,Fabrigas na AC Milan mzunguko wa pili UEFA style ile ile,yapo magoli mengi sana yamefungwa kwa style ile ile mbele ya makipa bora duniani.

Au labda kwa sababu hajamfunga Manula la style ile ndio unaona uzembe?

Uzuri wa Aziz Ki tulimwona na alikuwa kwenye uwezo mzuri kauzwa Yanga hakuwa kwenye form msimu uliopita,ndio mpira upo hivyo ila kaisaidia timu kwenye mechi za kuamua ubingwa wa Yanga na Shirikisho.

Torres alivyotoka Atletico na Liverpool alikuwa wa moto sana ,tena one man army ila Chelsea hakuwa na Form nzuri ,ila still yy goli lake ndio liliisaidia Chelsea kwenda fainali UEFA.
 
Kule nmepigwa block siwezi ku comment wala ku upload kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unawanyegesha wazee wenye mtandao sio?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ki alikuwa hapati namba sio kwamba alikuwa hajui,bali kulikuwa na watu wanafanya vizuri mzoezini. Ila kuhusu yale magoli Ki alikuwa anajua nini anacho kifanya na alikuwa habahatishi, mpira wowote utakaopigwa kimo cha chini,then ukadunda karibu na kipa una asilimia kubwa ikawa goli, tena kama Messi kishafunga magoli yale sana.

Aziz K ndio hakuperform ila ile style yake ya upigaji kama huna mazoezi kipa yoyote unafungwa na alikuwa anajua jinsi ya kuipiga ile mipira kwani kwa mipira ile bila shaka ni expert, Messi kishamtungua Van De Sar fainali ya UEFA style ile ile,Fabrigas na AC Milan mzunguko wa pili UEFA style ile ile,yapo magoli mengi sana yamefungwa kwa style ile ile mbele ya makipa bora duniani.

Au labda kwa sababu hajamfunga Manula la style ile ndio unaona uzembe?
Sijajua kwanini mashabiki wa Yanga ambao mnaoekana kutokubaliana na hoja zangu kuhusu Azizi Ki kunufaika na uzembe wa kipa, wengi mnadhani kueema kwangu huko kunatokana na Manula kutofungwa magoli ya kizembe.

Au kufikiri kuwa jambo hilo likitokea kwa Manula siwezi nikasema.
Screenshot_20230717-182507.png


Na sio Manula tu hata yule dogo Ally Salim alikuwa na tabia ya kutema tema mipira jirani na walipo wapinzani. Naye tulisema.
 
Sijajua kwanini mashabiki wa Yanga ambao mnaoekana kutokubaliana na hoja zangu kuhusu Azizi Ki kunufaika na uzembe wa kipa, wengi mnadhani kueema kwangu huko kunatokana na Manula kutofungwa magoli ya kizembe.

Au kufikiri kuwa jambo hilo likitokea kwa Manula siwezi nikasema.View attachment 2691183

Na sio Manula tu hata yule dogo Ally Salim alikuwa na tabia ya kutema tema mipira jirani na walipo wapinzani. Naye tulisema.
Hamaa uzembe bali ile mipira anayo piga Aziz Ki kipa yoyote anafungwa. Ndio maana nikakupa mifano ya goli la Fabrigas ,Van Der Sar na kama Messi kafunga sana magoli ya style ile,sio kwamba eti makipa ni wazembe bali ile mipira migumu kuifanyia timing.
 
Hamaa uzembe bali ile mipira anayo piga Aziz Ki kipa yoyote anafungwa. Ndio maana nikakupa mifano ya goli la Fabrigas ,Van Der Sar na kama Messi kafunga sana magoli ya style ile,sio kwamba eti makipa ni wazembe bali ile mipira migumu kuifanyia timing.
Mkuu hata Ulaya kuna wazembe pia.

Magwaya
 
Mkuu hata Ulaya kuna wazembe pia.

Magwaya
Tena umetoa mfano mzuri ,sasa kwa nini asiwe beki ndiye mzembe why kipa,kwa nini beki asifanye interception kublock mpira au hata tackling ,why lawama za uzembe apewe kipa.
 
Tena umetoa mfano mzuri ,sasa kwa nini asiwe beki ndiye mzembe why kipa,kwa nini beki asifanye interception kublock mpira au hata tackling ,why lawama za uzembe apewe kipa.
Mechi yenu na Mtibwa uliangalia?

Ukiona lile goli lilisababishwa na uzembe wa beki?
 
Back
Top Bottom