Mchezaji Bernad Morrison inasemekana amerudi tena Yanga kuendelea na kazi yake ya uwakili msomi, hata hivyo pamoja na uzuri wake dimbani bado mchezaji huyo ni liability na sio asset.
Yanga wakae wakijua kuwa mchezaji huyo haruhusiwi kuingia Afrika Kusini, pili, Morrison amekuwa na faili chafu pale Simba, kila siku matukio ya hovyo anayodanya yanajirudia rudia, this time Simba wameona hapana, mkataba wake ukiisha aende tu, hatuna cha kupoteza.
Kila la heri mwizi wa magari huko uendako.
Yanga wakae wakijua kuwa mchezaji huyo haruhusiwi kuingia Afrika Kusini, pili, Morrison amekuwa na faili chafu pale Simba, kila siku matukio ya hovyo anayodanya yanajirudia rudia, this time Simba wameona hapana, mkataba wake ukiisha aende tu, hatuna cha kupoteza.
Kila la heri mwizi wa magari huko uendako.