gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Mashabiki wa yanga naona mnatoa povu sana kwa morison.inaonekana mliumia sana alivyoondoka kwenu.Mimi sioni kosa lolote la morisoni,maana mambo mengine niyakawaida kwenye soka sasa mnamtolea povu utafikiri kaua.Ata uko simba morisoni katoa msaada mkubwa kwa timu.makosa yake niya kinizamu kitu ambacho nikawaida kwa binadamu na sio yanayohusu majukumu yake uwanjani.Kwahiyo hata kama ataondoka simba ataondoka kwasababu za kawaida zamkataba kumalizika sio vinginevyo.Mashabiki wa bongo tunatatizo lakutaka mchezaji wa timu anayochezea naye awe shabiki lia lia watimu anayochezea bila kujua kua mchezaji pale ni kazini.Anawajibika kulingana na mkataba wake na mwajiri kwahiyo kila upande una haki dhidi ya mwingine nasio vinginevyo.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app