Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sawa msajilini, ila mpaka dakika hii asilimia kubwa ya wana yanga hawapendi arejeshwe itakuwa ni ridiculousYule kaja kukera utelembwe makolo fc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa msajilini, ila mpaka dakika hii asilimia kubwa ya wana yanga hawapendi arejeshwe itakuwa ni ridiculousYule kaja kukera utelembwe makolo fc
Haji tunampenda kwa asilimia 100 kwa sababu anawaudhi ninyi, ila hatumuamini kwa asilimia 100 na ndio Mana yupo kwa ajili ya kuwaropokea tu ila hawezi ingia kwenye vikao vya bodiLakini haji manara saizi si mshazoea na kum treat kama mwenzenu, kwani bado wale wenye kinyongo naye wakimtazama kua ni mamluki bado wapo?
We kwa upande wako haji unamchukuiaje?
Ni mtu fulani mwenye mapenzi ya kweli na club au yuko hapo kwa ajili ya maslahi tu na sio mshabiki wa kweli?
Umeonaee. Na wenyewe pia wanalijua hilo kwamba watu hawamfurahii Manara ni hiyo basi tu.
Tuwaombe wasituangushe kwa kweli hilo pira (morison) wawaachie hao hao 5imba wahangaike nalo. 😀
Yanga haijawahi kuhangaika ili Morrison arudi bali walikuwa wanapambania haki yao kifedha!Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?
Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Ikitokea akaja kwetu naona atakuja kutuvurugia tu vijana wetu ambao kwa 100% akili zao zimetimia.Kweli maana jamaa kabakiza akili za kuvukia barabara tu. Mtu anapiga picha mbovu mbovu za chupi hadharani,utovu wa nidhami etc hana faida kwa timu
Basi mrejesheni morrison kwa masharti hayo hayoHaji tunampenda kwa asilimia 100 kwa sababu anawaudhi ninyi, ila hatumuamini kwa asilimia 100 na ndio Mana yupo kwa ajili ya kuwaropokea tu ila hawezi ingia kwenye vikao vya bodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo nugaz kumtangaza morrison siku ya wananchi kuwa ni sehemu ya wachezaji wa yanga alikuwa na maana gani?Yanga haijawahi kuhangaika ili Morrison arudi bali walikuwa wanapambania haki yao kifedha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kubadilika huyo jamaaMuache asepe, morrison ni mchezaji mzuri endapo ataacha uchoyo na kupenda kucheza kwa show off
Huko aendako akijirekebisha hayo mapungufu yake atakuwa ni mchezaji hatari na wakuhofiwa na wapinzani
Kusema Yanga walitumia mwaka mzima kutaka kumrejesha Morrison siyo sahihi. Si ßhabiki wao lakini nilichokiona ni ule utamaduni wenu wa kutaka kukomoana Simba Vs Yanga.Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?
Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Wafanyakazi sio mashabiki wanafanya kazi popote Manara alikua muajiliwa wa SimbaKipi kinashindikana kwa yanga ? Kama manara walimpokea na Sasa ndie daraja yao na kusahau matusi aliwatukana miaka nenda Rudi lakin leo kawa mwenye yanga na kuwasahau kabisa akina Antonio waliopambana na manara miaka nenda Rudi Ila baada ya kurud nugaz hafai kabisa na wakamtema ,sasainashindiakana Nini kwa Morrison.
Mi nadhani apewe nafasi tu lolote linawezekanaHawezi kubadilika huyo jamaa
Basi wamchukue tena ili kutukomoa maradufuKusema Yanga walitumia mwaka mzima kutaka kumrejesha Morrison siyo sahihi. Si ßhabiki wao lakini nilichokiona ni ule utamaduni wenu wa kutaka kukomoana Simba Vs Yanga.
Na saizi kawa muajiriwa wa nani?Wafanyakazi sio mashabiki wanafanya kazi popote Manara alikua muajiliwa wa Simba
Mkataba wake unao?Na saizi kawa muajiriwa wa nani?
Sema GSM ntakuelewa ukisema yanga hapo kuna utata
Si mlisema mta mbadilisha yako wapi?Mi nadhani apewe nafasi tu lolote linawezekana
Kabadirika manara aliyeisema vibaya yanga miaka zaidi ya 7 sembuse morrison wa mwaka mmoja?
Nidhamu ndo kila kitu kwenye kazi yoyote, kipaji bila nidhamu = 0Ila Simba SC wenzangu niwaulize: hivi Morrison amekuwa mbaya kuliko Mkude? Pia viongozi wanasema hajaleta matokeo waliyoyatarajia, je Mugalu ameleta matokeo gani?
Tukiachana na mambo ya nidhamu kisha tukaangalia msaada kwa timu; kati ya MORRISON na MUGALU nani ni liability (mzigo)? Au Mugalu yeye pamoja na kukosa magoli ambayo hata mwanangu wa darasa la pili angefunga anaonekana ana thamani kwasababu ana nidhamu? Hii Simba imechanganyikiwa.
Sawa ila hekima nayo inatakiwa unapodeal na watu wa aina hiyo. Unayajua maisha ya ndani na nje ya uwanja ya Edmund wa Brazil (yule aliyewahi kumtwanga makofi Ronaldo De Lima kwenye World Cup 1998, na bado hakufukuzwa kwenye kambi) au Garrincha (siyo Steven Mapunda wa Tz)? Vipi Paul Ince, George Best, Ian Wright na Paul Gascoigne Gaza?Nidhamu ndo kila kitu kwenye kazi yoyote, kipaji bila nidhamu = 0