Usajili wa Bernard Morrison kurudi Yanga, kuna mvutano mkali unaendelea!

Usajili wa Bernard Morrison kurudi Yanga, kuna mvutano mkali unaendelea!

Lisemwalo lipo na ikitokea karudi Yanga sitakuwa na jinsi ya kukataa lakini moyoni itaniuma sana sababu aliondoka kipindi tunacho muhitaji halafu wanamrudisha kipindi ambacho hatuna shida naye.

Nadhani uongozi ufikie hatua uone hana sifa za kucheza Yanga.
 
Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?

Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Mmh unapotosha, nia haikuwa kumrejesha bana. Nia ilikuwa kupata haki inayoambatana na kulipwa faini, yaan wapate mpunga kwa simba na kwa Morrison mwenyewe
 
Lakini kumbuka wametumia almost mwaka mahakamani kuhakikisha wanamrejesha morrison, sasa huoni kwamba hii kwa upande wao ni kama golden chance?

Umetoka home umebeba mapanga na mimbwa kibao kwenda kuwinda sungura , umefika huko machakani umezurura umepoteza muda wako mwingi na hujapata chochote, halafu unafika home unakuta kumbe ulivyotoa uliacha mlango wazi una shangaa unamuona swala anajizungusha zungusha hana pa kwenda, utamuacha?
Sasa mzee kama ulienda kuwinda sungura na siyo swala utamchukuaje swala kwa kukosa sungura?
 
Jana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.

Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha ameshika mabegi kama mtu anayesafiri.

Sasa taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa klabu hiyo haina mpango wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo, hivyo wanachosubiri ni kumalizika kwa mkataba wake ambao umesalia miezi mitano, kisha wamalizane naye kwa kuwa hajaonyesha uwezo walioutarajia.

Mbali na hapo inaelezwa kuwa kuna kigogo wa Klabu ya Yanga yupo tayari kusimamia shoo ili mchezaji huyo arejee Jangwani, jambo ambalo limewagawa baadhi ya viongozi.

Kwa hatua iliyopo ni kuwa Morrison anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine yoyote kwa kuwa kanuni inamruhusu na ikiwezekana kusaini mkataba wa awali.

Hakuondoka Yanga vizuri, hiyo ni hoja ya baadhi ya viongozi wanaopinga kurejea kwake klabuni hapo wakionekana watakuwa wanamrudisha mtu aliyewakosea heshima, lakini wale wanaounga mkono kurejea kwake wanataka arejee ili wawaumize wapinzani wao wa jadi, Simba.

Hivyo, ni suala la muda kusubiri nini kitatokea, Simba wapo kwenye presha ya matokeo na kiwango bora, je, wataendelea kumfikiria Morrison au watapuuzia na kumuacha akiondoka ikiwezekana kwenda Yanga kirahisi? Muda utazungumza ila suala la Morrison kuondoka Simba hilo halikwepeki kwa sasa.
Hao wanaofikiria kumrudisha huyo jamaa Yanga wanawaza/wanafikiri kwa kutumia akili kweli au?

Kuwakoga Simba ili iweje? Ndio maana soka letu halikui kwa mawazo ya kipuuzi kama haya.

Huyo hafai kurudishwa/kurudi Yanga. Wamwache aende zake.

Hata C. Chota Chama haitapendeza kurudi Simba. Hana jipya tena. Vilabu vitafute vipaji vipya ili kukuza soka letu.

Tu-focus kwenye mashindano ya kuliletea taifa heshima katika mashindano makubwa, mfano AFCON na World Cup kutokana na wachezaji waliopikwa na kuiva kwenye vilabu vyetu vya soka.

Tusajili wachezaji walau kwa kigezo cha kuchezea timu ya Taifa huko walikotoka badala ya kuwaokota toka vichochoroni.

Huu U-Simba, U-Yanga, U-Azam n.k tusipouacha soka letu litaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu.

Mnaudhi sana!!!!
 
Mmh unapotosha, nia haikuwa kumrejesha bana. Nia ilikuwa kupata haki inayoambatana na kulipwa faini, yaan wapate mpunga kwa simba na kwa Morrison mwenyewe
We umesahau nugaz kwenye tamasha la wananchi alipokuwa anatambulisha wachezaji alimtaja na morrison akisema ni mchezaji halali wa yanga na ni swala la muda tu atarejea jangwani na mashabiki wakapiga kelele za shangwe?
 
Yanga nao watakuwa wamekosa kazi kama watamchukua huyo mchezaji kwani hata ukiacha mazingira ya yeye kuondoka klabuni hapo hana mpira wowote wa maana kwani yeye huchezea jukwaa.

Yanga waache kucheza na pesa watafute wachezaji wa maana wasajili waachane na huyo garasha ambaye hata nidhamu hana.
 
Jana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.

Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha ameshika mabegi kama mtu anayesafiri.

Sasa taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa klabu hiyo haina mpango wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo, hivyo wanachosubiri ni kumalizika kwa mkataba wake ambao umesalia miezi mitano, kisha wamalizane naye kwa kuwa hajaonyesha uwezo walioutarajia.

Mbali na hapo inaelezwa kuwa kuna kigogo wa Klabu ya Yanga yupo tayari kusimamia shoo ili mchezaji huyo arejee Jangwani, jambo ambalo limewagawa baadhi ya viongozi.

Kwa hatua iliyopo ni kuwa Morrison anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine yoyote kwa kuwa kanuni inamruhusu na ikiwezekana kusaini mkataba wa awali.

Hakuondoka Yanga vizuri, hiyo ni hoja ya baadhi ya viongozi wanaopinga kurejea kwake klabuni hapo wakionekana watakuwa wanamrudisha mtu aliyewakosea heshima, lakini wale wanaounga mkono kurejea kwake wanataka arejee ili wawaumize wapinzani wao wa jadi, Simba.

Hivyo, ni suala la muda kusubiri nini kitatokea, Simba wapo kwenye presha ya matokeo na kiwango bora, je, wataendelea kumfikiria Morrison au watapuuzia na kumuacha akiondoka ikiwezekana kwenda Yanga kirahisi? Muda utazungumza ila suala la Morrison kuondoka Simba hilo halikwepeki kwa sasa.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe komaeni nalo hilo furushi lenu la mavi.
 
Hapo ndipo wanapotudondosha mashabiki. Bado suala la manara kukaribishwa kwa mbwembwe zoote halijapoa(inauma hii wala hana umuhim)
Ila bana bestie ki soka la Tanzania Tanzania hao viongozi wanaeza ona pia kumchukua tena kuna mtu wanamkomoa. 🙁
 
Jana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.

Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha ameshika mabegi kama mtu anayesafiri.

Sasa taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa klabu hiyo haina mpango wa kuendelea kuwa na mchezaji huyo, hivyo wanachosubiri ni kumalizika kwa mkataba wake ambao umesalia miezi mitano, kisha wamalizane naye kwa kuwa hajaonyesha uwezo walioutarajia.

Mbali na hapo inaelezwa kuwa kuna kigogo wa Klabu ya Yanga yupo tayari kusimamia shoo ili mchezaji huyo arejee Jangwani, jambo ambalo limewagawa baadhi ya viongozi.

Kwa hatua iliyopo ni kuwa Morrison anaweza kufanya mazungumzo na klabu nyingine yoyote kwa kuwa kanuni inamruhusu na ikiwezekana kusaini mkataba wa awali.

Hakuondoka Yanga vizuri, hiyo ni hoja ya baadhi ya viongozi wanaopinga kurejea kwake klabuni hapo wakionekana watakuwa wanamrudisha mtu aliyewakosea heshima, lakini wale wanaounga mkono kurejea kwake wanataka arejee ili wawaumize wapinzani wao wa jadi, Simba.

Hivyo, ni suala la muda kusubiri nini kitatokea, Simba wapo kwenye presha ya matokeo na kiwango bora, je, wataendelea kumfikiria Morrison au watapuuzia na kumuacha akiondoka ikiwezekana kwenda Yanga kirahisi? Muda utazungumza ila suala la Morrison kuondoka Simba hilo halikwepeki kwa sasa.
Huo mvutano uko wapi, hakuna kiongozi yoyote wayanga ambaye amezungumza kumuhusu Morrison hata hozo taarifa tumezipata mtandaoni
 
Sasa mzee kama ulienda kuwinda sungura na siyo swala utamchukuaje swala kwa kukosa sungura?
Huoni ukiwa na swala unakuwa una double profit kwasababu pengine huyo sungura angeku save kwa njaa ya siku moja tu?
 
We umesahau nugaz kwenye tamasha la wananchi alipokuwa anatambulisha wachezaji alimtaja na morrison akisema ni mchezaji halali wa yanga na ni swala la muda tu atarejea jangwani na mashabiki wakapiga kelele za shangwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo ndipo wanapotudondosha mashabiki. Bado suala la manara kukaribishwa kwa mbwembwe zoote halijapoa(inauma hii wala hana umuhim)
Umeonaee. Na wenyewe pia wanalijua hilo kwamba watu hawamfurahii Manara ni hiyo basi tu.

Tuwaombe wasituangushe kwa kweli hilo pira (morison) wawaachie hao hao 5imba wahangaike nalo. 😀
 
Lakini haji manara saizi si mshazoea na kum treat kama mwenzenu, kwani bado wale wenye kinyongo naye wakimtazama kua ni mamluki bado wapo?

We kwa upande wako haji unamchukuiaje?

Ni mtu fulani mwenye mapenzi ya kweli na club au yuko hapo kwa ajili ya maslahi tu na sio mshabiki wa kweli?

Yule kaja kukera utelembwe makolo fc
 
Kweli maana jamaa kabakiza akili za kuvukia barabara tu. Mtu anapiga picha mbovu mbovu za chupi hadharani,utovu wa nidhami etc hana faida kwa timu
Umeonaee. Na wenyewe pia wanalijua hilo kwamba watu hawamfurahii Manara ni hiyo basi tu.

Tuwaombe wasituangushe kwa kweli hilo pira (morison) wawaachie hao hao 5imba wahangaike nalo. 😀
 
Yule Morisson bangi inamsumbua aende popote anapotaka, zilipendwa.
 
Back
Top Bottom