Usajili wa chama cha siasa cha National Economical Reformation Socialist Party -NERP

Usajili wa chama cha siasa cha National Economical Reformation Socialist Party -NERP

Kama kichwa cha habari hapo juu, tuko mbioni kusajili chama cha siasa kitakachosimia rasilimali za taifa kuwanufaisha wananchi wote wa Taifa hili.
Kuanzisha chama kipya cha siasa hakina tija katika mazingira ya siasa kitaifa na kimataifa kwa kuwa maamuzi ya viongozi wa kisiasa ni tegemezi kwa matakwa ya viongozi wa mataifa makubwa. Hivyo basi, waanzishaji hawana agenda mpya zaidi ya kutafuta upenyo wa kutekeleza agenda zao binafsi
 
kuna Mengi yalifanyika awamu tano kwa masalhi mapana ya Taifa , tatizo ni kwamba baadhi ya watu wanakumbuka mabya tuu,,yeye mwenyewe alishawahi kusema mtanikumbuka kwa mema siyo kwa mabaya ????mabadiliko ya sheria ya madini 2017, kufuta mikataba mingi isiyozingatia maslahi ya Taifa etc , muulize mamlaka husika ya wizara ina data zone ni kiasi gani cha madini yaliyokuwa yanapotea ,,,Hivi unajua pia kwamba usipojua thamani ya rasilimali ulizonazo pia ni janga kuu.....
 
Nchi hii lazima ijitegemee kwa rources ilizonazo haihitaji foreign aid ,nahisi tunakosa exparties katika baadhi ya sector ambao wanaweza kuwa hired anywhere, tunahitaji machinery ,tunahitaji capital vyote vinaweza kupatikana , tunahitaji talented committed ethical strong leadership and management ----etc
Dogo unaota tu, au umepewa assignment unataFuta desa
 
Mkuu embu angalia maendeleo ya china na Russia this two world superpowers ,,changanoto ya mfumo wa capitalist unanufaisha wachache , ujamaa unanufaisha jamii nzima ,
Dogo jitahidi umalize shule
 
Sajilini NGO ndio mtapiga pesa vizuri, kusajili Chama Cha Sasa siyo deal hata wazungu wanaofadhiri siasa wanatowa ufadhili Kwa vyama kweli vinavyofanya siasa na siyo Kwa genge la wahuni waliokosa ajira na kuamuwa kuwalaghai Watanzania.
Ushauri kuntu.
 
Nchi hii lazima ijitegemee kwa rources ilizonazo haihitaji foreign aid ,nahisi tunakosa exparties katika baadhi ya sector ambao wanaweza kuwa hired anywhere, tunahitaji machinery ,tunahitaji capital vyote vinaweza kupatikana , tunahitaji talented committed ethical strong leadership and management ----etc
Mnipe nafasi niwe mtunga sera na kauli mbiu za chama
 
Eti socialist tanzania hakuna kiongozi
Mjamaa wote wanaishi kibepari tu

Ova
 
Chadema ina pambana usiku na mchana pamoja na vikwazo vingi ilivyowekewa kama urusi na hawajatoboa, nyie mtaweza kweli
 
Siyo sisi wananchi wataamua, naaamini tutaungwa mkono asilimia mia moja tutabeba agenda inayogusa maisha ya wananchi , sasa hivi hali wananchi ni ngumu saana, yaani embu angalia tuu kwa hesabu ya kawaida kilimo ambacho kimeajiri 85% ya population inatengewa BL751 wakati miundombinu unatengea 3trln bado hamoni kuna tatizo ?????????
 
So if they are, does it justify women not to drive cars?
The ban on women vehicle drivers in Saudi Arabia is no longer in force.. It was officially lifted on 24th June, 2018.
 
Hiki chama kitakua mbadala wa cdm,act na kina mbatia...Komaa baba kokomaa idea nzuri na ili kiwe bora zaidi kisizungumzie uongozi/viongozi waliopita,mwisho kiepuke hao jamaa wa umoja party
Hao ndiyo umoja party wenyewe
 
Mkuu embu angalia maendeleo ya china na Russia this two world superpowers ,,changanoto ya mfumo wa capitalist unanufaisha wachache , ujamaa unanufaisha jamii nzima ,
Achaneni na mambo ya socialism na communism. Ni mifumo iliyofeli. Hakuna mahali socialism/communism iliwahi kuleta maisha bora kwa wananchi!
 
Lakini tuko hapa kuwaletea habari njema falsa ya self-reliance ndiyo msingi wa chama chetu, utu , haki , Hakuna mzungu . myunani atakayetuletea maendeleo yetu bali sisi wenywewe , ujamaa ideolgy ambayo imejengwa katika mioyo wa wananchi inahitajikuhusishwa tena ,nakuja kama nabii wa kizazi hiki kuiokomboa Taifa hili na chama chetu cha NERDP,kuna maeneo lazima maslahi ya Taifa yazingatiwe kwa ajili ya kizazi cha leo na kizazi kichacho ,first preriority National interest .....

Very nice!, i think Tanzania ina potential sana ni basi tu rasilimali zimeshikiliwa na watu wachache!... National interest ikiwa ni motto tutaprogress kama taifa, naona wamekupinga kuanzisha chama,ila ni kwa vile vyama ni vingi vimeanzishwa, vingine vimekufa na vingine vimepromise vitu vingi kwa wananchi na haviku deliver...kwa hio watu hawana imani navyo..ila i understand you completely sababu kama ukitaka kuleta mabadiliko katika taifa, stratergy ni kuanzia ngazi ya taifa humo humo, so uko right kuanzia kwenye chama na sio kwenye NGO kama wengine walivyo suggest..sema it can be challenging...mna resources? kama hamna...this is another useless dream!
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, tuko mbioni kusajili chama cha siasa kitakachosimia rasilimali za taifa kuwanufaisha wananchi wote wa Taifa hili.
ok ni sahihi. Sasa hivi hatuna chama cha kijamaa maana hata hiyo ccm inaongozwa na mabepari.. wanaona hata aibu kujiita wajamaa.
 
Kuna watu wanapenda kuvunja wenzao moyo humu utasema kaambiwa atoe cent yake jinsi povu linavyomtoka!!! Kila la Heri usisikilize negative people!
 
Kama kichwa cha habari hapo juu, tuko mbioni kusajili chama cha siasa kitakachosimia rasilimali za taifa kuwanufaisha wananchi wote wa Taifa hili.
Ninyi mnaota ndoto.chama Cha kijamaa miaka hii kweli??
 
Back
Top Bottom