Hahahah haha Magu alimjengea kweli?Yani jamaa anaburudisha. Siku akitoka kwake kagombana na mkewe anaanza kumchana madhabahuni sema mkewe na watoto wake kasoro mmoja ndiye nliwahi mwona pale. Wengine sikuwahi kuwaona hata mara 1 wanakuja kusali pale.
Na alikuwa anamkubali lowassa hadi anamkandia magu kwenye ibada. Magu akaona usinitanie siku moja akatimba pale ghafla jpili, na akasema wamchongee barabara ya kwenda kansani kwake.
Tangu siku hiyo mzee akabadili gia angani
Kanisa gani lililopoa kiroho?
Yah walipitisha greda wakasawazisha barabara maana ilikuwa mbayaHahahah haha Magu alimjengea kweli?
Yes biblia ni kitabu kama vingineimagine leo mtu anasimama anaasema, BIBLIA NI KITABU TU kama vitabu vingine. anachukua kil akilicho kwenye Biblia, anageuza kuongea kinyume chake na anasambaza kwa tv. haya mambo yanakwaza sana Wakristo, kupita kiasi. hadi wamemtungia jina kuwa anaitwa MPINGA KRISTO. lakini serikali bado tu inamwangalia mtu aliyejifanya anamhubiri Kristo lakini anahubiri upinga Kristo.
Kama kasema biblia ni kitabu cha kawaida kwa muono wake na hakuna sheria aliyovunja hana kosa! biblia haikuandikwa na mungu bali wanadamu ndio maana kuna biblia ya wasabato wameichakata wanavyojua wao,ipo ya mashahidi wa yehova na wakatoliki ,zipo za kipale kinyakyusa na kikinga wamezichakata wanavyojua wao! kwa hiyo hoja ya huyo mchungaji ijibuni kwa maandikowengi tunaomlalamikia huyu antichrist sio waislam, ni wakristo kabisa, hakuna muislam atamlalamikia huyu jamaa wa neema, kwasababu yeye kwanza kanisa lake hata halina watu wengi, popularity yake kubwa ni kwa njia ya tv ile ambayo yeye na mkewe wanatangaza bidhaa za grace zoazoa. majority ya wakristo wanaumia na mahubiri ya huyu jamaa. pia, hakuna maana kuwa na wakristo waliopotea, unajifanya mchungaji, nabii au apostle uwapeleke watu motoni. kuna maana gani kutetea ukristo wa mtu anayesema BIBLIA NI KITABU CHA KAWAID AKABISA. wewe upo tayari utetee dini kuliko kutetea biblia. ni walewale.
Amevunja sheria,penal code,kwani maneno hayo yanakwaza wengine to the extent of disrupring peace.Kama kasema biblia ni kitabu cha kawaida kwa muono wake na hakuna sheria aliyovunja hana kosa! biblia haikuandikwa na mungu bali wanadamu ndio maana kuna biblia ya wasabato wameichakata wanavyojua wao,ipo ya mashahidi wa yehova na wakatoliki ,zipo za kipale kinyakyusa na kikinga wamezichakata wanavyojua wao! kwa hiyo hoja ya huyo mchungaji ijibuni kwa maandiko
Hilo si kanisa bali duka la kuchuuza roho za watu na kuuza neno la Mungu linalotumia roho mtakakituSiandiki ili kupinga uanzishwaji wa makanisa, naandika jambo ambalo kama halitashughulikiwa mapema, kuna siku litaleta matatizo, tena yawezekana yakawa matatizo makubwa sana.
KANISA LA NEEMA la mume wake na grace zoazoa vipodozi, limekuwa kero, linatukana na kupotosha Biblia na amekuwa akigombana na wachungaji wote Tanzania, sema tu kwasababu hawaji hewani kuongea, ila kuna kitu kinafukuta ndani kwa ndani ambacho kinatakiwa kupewa dawa urgently.
Tanzania kuna uhuru wa kuabudu, as long as umefuata sheria na miongozo iliyowekwa. Jambo hili limekuwa limechukuliwa kama uchochoro kwa matapeli wengi kukusanya watu ili aidha kujipatia utajiri kutoka kwao, au kwa malengo yao yoyote wayajuayo kwa kigezo kwamba Serikali haitakiwi kuingilia kati.
Majority ya victims, ni wanawake na watu masikini na wasiosoma...those people who have been stricken with problems na wanaenda kwao kama njia ya kutafuta msaada, badala yake wao wanatake advatage kuwafanya kitega uchumi.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI
1. Kanisa la Kibwetele lilianza hivihivi, mwisho wa siku aliua watu zaidi ya 100 Uganda
2. Tuhakikishe Makanisa yanafunguliwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria. asiyefuata huo utaratibu, ashughulikiwe.
3. hata yale makanisa ambayo tayari yameshapewa vibali, yachunguzwe kuona kama wanacomply.
4. Viongozi wengine wa dini kwenye kamati zao wahusishwe katika kila kada. mfn. Wapentecost wanao umoja wao, waprotestant wengine wanao umoja wao, katholic etc, kama mtu hayupo kwenye aina hizo zote za Makanisa, basi aeleze yeye kanisa lake ni la aina gani ili asije kuleta migogoro isiyo ya lazima.
5. Kuna uzembe na rushwa nyingi sana zinafanyika kwenye ofisi ya usajili wa haya makanisa. mfn. haiji kichwani Nabii Suguye, amekuwa na kanisa miaka kadhaa yote hiyo, hadi ameanza kuomba nywele za utosini, kucha kidole kidogo n.k ilikuwa bado kidogo aagize walete nywele za sehemu za siri manake alishaanza kufundisha namna ya kufanya ngono madhabahuni. hapo ndio wakashtuka, muda wote huo kumbe kanisa lake halikuwa na usajili. INAKUWAJE MIAKA YOTE HIYO MTU ANAOPERATE KANISA BILA USAJILI?
6. kuna kanisa moja linaitwa KANISA LA NEEMA, ni la mzee wa Neema. huyu ni mme wake yule grace zoazoa anayetengeneza sabuni na vipodozi bila kuwa na elimu yeyote ya kemikali. Wakristo karibia wote Tanzania wamekuwa wakimlalamikia huyu mtu kwasababu mahubiri yake yote, ni kupindua Biblia hadi haijulikani kama yeye ni Mkristo au wa dini gani. amefungua pia tv, na anayo night club kama kanisa. ni wazi yeye anasema sio mpentecost, sio mkatoliki, sio wa dhehemu lolote, SASA HATUJUI AMEJISAJILI KWENU KAMA NANI. mtu huyu anakwaza ukristo, ana potosha mengi ambayo tunaogopa kuna siku isijetokea watu wasio na Mungu moyoni wakamdhuru, na pia anakosesha sana amani katikati ya watu kwasababu ya mafundisho yake. tunaomba chunguzwe ili kuona kama ana elimu yeyote ya dini, ametumwa na nani manake hadi anamiliki television ya TOP PLUS anagarimia vipi n.k. ni ushauri tu.
7. Tunaomba Serikali pamoja na kuwapa vibali/usajili, iwaangalie kwa jicho la karibu hao mitume na manabii wa kisasa, hao wanaouza mafuta, maji nk. wanafanya biashara kama biashara zingine tu kwa Jina la dini. iangalie usajili wao, hao kina mwamposa, ngurumo ya upako wanaogawa pesa hata hazijulikani zinatoka wapi, mzee wa upako na wengine wengi. HIVI KWELI HAWA WAMESAJILIWA?
8. kama Nabii Suguye, mzee wa ibada za nywele na kucha, amefungiwa kanisa hadi arekebishe usajili wake, ni kwali kwamba hao mitume wengine ambao ni contraversual wamesajili makanisa yao? au kwasababu wana pesa kama kina mwamposa?.
9. kama suguye aliexist miaka yote hiyo, tunajuaje kama hawapo wengine ambao anaamka tu asubuhi anaanzisha kanisa na kukusanya hela kwa maskini? bila hata kupitia serikalini.
Mambo haya nimeandika wengine wanaweza kufikiri nina bifu nao, sina, ila ni alart tu kwa serikali, isijekuja kushtuka shuka kukiwa kumekucha.
Wasalaam!
Serikali ipo wapi kumshugulikia?Hilo si kanisa bali duka la kuchuuza roho za watu na kuuza neno la Mungu linalotumia roho mtakakitu
Serikali gani wakati wote wanafanya biashara ya aina moja? Hujui kuwa serikali ni mtoto wa dini?Serikali ipo wapi kumshugulikia?
Kwa vipi aisee?Serikali gani wakati wote wanafanya biashara ya aina moja? Hujui kuwa serikali ni mtoto wa dini?
Mungu huwa hapiganiwi anajipiganiaimagine leo mtu anasimama anaasema, BIBLIA NI KITABU TU kama vitabu vingine. anachukua kil akilicho kwenye Biblia, anageuza kuongea kinyume chake na anasambaza kwa tv. haya mambo yanakwaza sana Wakristo, kupita kiasi. hadi wamemtungia jina kuwa anaitwa MPINGA KRISTO. lakini serikali bado tu inamwangalia mtu aliyejifanya anamhubiri Kristo lakini anahubiri upinga Kristo.
Tunaomba mifano mkuu ya namna anavyopindua biblia na iliwezekana weka clip yake hapa. Siyo wote tunamfuatilia mpinga kristo huyuimagine leo mtu anasimama anaasema, BIBLIA NI KITABU TU kama vitabu vingine. anachukua kil akilicho kwenye Biblia, anageuza kuongea kinyume chake na anasambaza kwa tv. haya mambo yanakwaza sana Wakristo, kupita kiasi. hadi wamemtungia jina kuwa anaitwa MPINGA KRISTO. lakini serikali bado tu inamwangalia mtu aliyejifanya anamhubiri Kristo lakini anahubiri upinga Kristo.
hajui chochote, hana elimu ya theolojia, hana elimu ya Biblia tu, pia ni mlevi wa kupindukia, ukimwangalia hata mdomo wake tu ni wa kilevi, anaongea kilevi na anahamasisha kunywa pombe. serikali isipoangalia hili kanisa kuna siku atakuja kuchinja watu, na makondoo ya siku hizi yalivyo, yanapelekeshwa tu hata na mlevi.Kumuelewa siza masisi inahitaji uwe matured sana
Pole sana mtoa mada. Nimekufuatilia na kuona kweli unapata maumivu makali unavyoona mafundisho yanayoonekana ni tofauti na tunavyotarajia. Naomba watu wa goggle Jonestown masaccre ilivyotokea kule Guyana mwaka 1978 kutokana na cult, na waathirika wengi katika hali anayosema Chapwa24 wanakuwa ni watu wa hali za chini ambao ni rahisi kuwa manipulated kutokana na shida zao za kimwili.Mtoa mada katika kila maumivu kanisa inayopitia Neno limekwisha toa suruhisho lake haina haja ya kuisumbua mamlaka ya kidunia isiyo na uhalali wa kuingilia imani ya Ukristo. Kwani jambo hili ni jipya kimaandiko?. Akina Mtume Paul hawakukabiliana na hili pia?. Je walikwenda kushtaki kwenye mamlaka za Kirumi?.
Iwe kwa hila au kwa kweli Kristo anahubiriwa. Waachwe wala asizuiliwe serikali iingilie kati pale tu amani ya nchi inapo hatarini. Sio jukumu letu Wakristo kuwashambulia wapinga Kristo kwa kuwadhuru cha kufanya tui hubiri kweli na ikibidi tuhojiane nao kama walivyofanya Mitume.
Kumbuka Serikali ikiingilia kati hata haya ya zamani yanamapungufu mengi tu hayatabaki salama kabisa. Ona Rwanda kanisa halikui kabisa na ukumbuke kanisa na kutaniko linaanza na watu wawili au watatu yaani Kibiblia mkiwa watatu mkakutana kwa jina la Kristo hilo ni kanisa tayari maana Kristo anakuwepo.
of course, Mungu ameshaanza kumshughulikia. Grace na mume wake wamedanganya watanzania kwa muda mrefu sana na bidhaa zao za sabuni, mafuta na losheni ambazo hazitengenezwi kiwandani, wanazitengenezea nyumbani. sijui waliingia mkataba gani na shetani ambaye amewapa condition ya kuyafanya hayo wanayoyafanya ili wapate pesa, na pesa wanazo za kufund kitelevisheni chao na sabuni anazoziuza. nawapa tu pole wateja wa bidhaa zake za sabuni, shetani amewapiga sumu nyingi sana ombeni Mungu msijepata caner baadaye kwasababu kila kitu wanachokifanya inaonekana kinatokana na cult, ni kakikundi ka shetani na shetani hatoagi vitu bure, lazima ameangamiza wengi kwa kutumia bidhaa zake, na ni kwa maombi ya watu wa Mungu wao wenyewe wameajianika bila kujijua, hadi serikali ikawafungia usajili.Pole sana mtoa mada. Nimekufuatilia na kuona kweli unapata maumivu makali unavyoona mafundisho yanayoonekana ni tofauti na tunavyotarajia. Naomba watu wa goggle Jonestown masaccre ilivyotokea kule Guyana mwaka 1978 kutokana na cult, na waathirika wengi katika hali anayosema Chapwa24 wanakuwa ni watu wa hali za chini ambao ni rahisi kuwa manipulated kutokana na shida zao za kimwili.