mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
Kilimanjaro anapeleka gari mwanza?Huyu Noma ana Arusha kwenda Dar, Mwanza,Mbeya, Tunduma!!..Alafu ana Dar kwenda Iringa,Njombe,Arusha, Tunduma, Mbeya,Moshi,..Ila kituo kikubwa Dar ndio anatoa 20 kila siku!!
Hata huyo sauli atanunua tu za kichina mpe muda!Hata Sauli nampongeza kustick na vyuma vya ukweli yeye hataki mchina hii imewafanya hata matajiri wengine waahtuke...kwa sasa Dar-Mbeya-Tunduma kateka soko huwezi pata tiketi kirahisi ukitaka kusafiri kabla ya siku 1
Mbona hayo kidogo watu wanasajili semi 200 hadi 400 kwenye mizigo kuna magari mengi kuliko kwenye mabasiAsee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Alichinja ng'ombe 20 kusherekea Hitimisho la michamboKiboko yake kafariki. Magu alikuwa anamchamba Nassoro Abood anavyotaka. Ikiwemo lile la kutoa mabasi kupeleka watu misibani huku viwanda kaua.
Sauli hela za msimu hawezi dumu kwenye game miaka 10Hata huyo sauli atanunua tu za kichina mpe muda!
Unanunua sufuria moja kwa milioni 500 mchina napata bus 2 na moja ya Dhamana, sufuria moja siti 52,mchina zangu tatu siti 156 mara nauli 40000/= miaka 2 nauza mchina nusu bei na faida juu ya kuchukua basi zingine 6 .Hadi uje urejeshe hela ya sufuria ni miaka 6 au 8.Hata huyo sauli atanunua tu za kichina mpe muda!
,Mchina anazo zote kulingana na pesa yako.Nunua Mchina changia uchumi wa China,wabongo wamelala wameshindwa kuchangamkia fursa ya kujenga viwanda vya kuunda mabasi na daladala soko ni kubwa halina mwenyewe, tuendelee kuchangia uchumi wa China na japanMimi ninadhani hicho ni kiwango cha kawaida tu kwa kampuni kama Abood. Hata alipoingiza hizi zilizopo sasa ni hivyohivyo tu. Ninakumbuka ilikuwa sherehe pale Msamvu, misele ya kufa mtu roundabout wakipokewa na bodaboda.
Ninafikiri kwetu wateja, muhimu sasa ni kuletewa basi zilizo comfortable na rafiki kimatumizi. Yutong tunazoletewa ni za kikuda sana. Pot za kuchajia zinadumu miezi,hazifiki mwaka. AC halikadhalika—ikishabuma mtakoma humo kwenye basi. Siti pia ni ndogoo,ukiwa mrefu ama kibonge imekula kwako.
Ninajua haya ndo huchangia kushusha bei ya basi huko sokoni uchina. Lakini,kwakuwa kampuni ina uwezo, ingia dau kubwa, lete chache za ukweli wenye uwezo wapande kwa bei elekezi. Wateja wapo. Tunaona BM ana zile zenye daraja la kwanza na la pili. Kila siku daraja la kwanza zinajaa fasta.
Halafu Abood kama mnanisoma acheni ubahili. Katikati ya Dar na Moro jengeni kahoteli uchwara ka kupata bites na kujisaidia. Mnahama vihoteli, mnapeleka abiria vihoteli vinanuka choo utasema vyoo vya stend. Bites za kiwango cha chiiini.
Safari ni starehe jamani.
Wapenzi wote wa simba upanda AboodMimi sijui idadi yake lakini sitasahau tukio la almost 20 years ago!!!
Nimefika zangu Ubungo nimekuta basi la kampuni fulani hivi (nimesahau jina lake lakini sio Islam) likiwa na watu zaidi ya robo tatu kama sio zaidi.
Wakati huo huo, basi moja ya Aboud ndo lilikuwa linajitayarisha kupakia abiria, na kwahiyo halikuwa na abiria hata mmoja!!
Sasa kwavile sikuwa na uzoefu na mabasi yaendayo Morogoro, nikapanda lile nililoona limejaa zaidi ya 3/4 huku nikiamini ndo nitawahi kuondoka!!
Kitu ambacho sitasahau, ziliondoka Aboud kama sio 4 basi 5 wakati basi letu lililokuwa limejanza zaidi ya 3/4 kabla yao tukiwa pale pale!!
Na ninachotaka kusema kwamba, labda siku hizi kwavile magari ni mengi lakini kwa wakati, hiyo nusu saa ingekuwa zinaondoka Aboud angalau 3 kwa route moja!!!
Wote sio lzm tuingie hukoUtajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Mawazo ya mswahiliHela za masheriti.
Alisikika mwananchi mmoja akiwa anapiga miayo.
Hii ilinikuta hata mimi mwaka 2018 tu pale msamvu wakati nakuja dar.Mimi sijui idadi yake lakini sitasahau tukio la almost 20 years ago!!!
Nimefika zangu Ubungo nimekuta basi la kampuni fulani hivi (nimesahau jina lake lakini sio Islam) likiwa na watu zaidi ya robo tatu kama sio zaidi.
Wakati huo huo, basi moja ya Aboud ndo lilikuwa linajitayarisha kupakia abiria, na kwahiyo halikuwa na abiria hata mmoja!!
Sasa kwavile sikuwa na uzoefu na mabasi yaendayo Morogoro, nikapanda lile nililoona limejaa zaidi ya 3/4 huku nikiamini ndo nitawahi kuondoka!!
Kitu ambacho sitasahau, ziliondoka Aboud kama sio 4 basi 5 wakati basi letu lililokuwa limejanza zaidi ya 3/4 kabla yao tukiwa pale pale!!
Na ninachotaka kusema kwamba, labda siku hizi kwavile magari ni mengi lakini kwa wakati, hiyo nusu saa ingekuwa zinaondoka Aboud angalau 3 kwa route moja!!!
Kuna sauli moja DPN ina miaka miwili na nusu barabarani...inapiga tupa geuka kila siku..inaweza piga tupa geuka muda mrefu na haiend service... New force ikienda tunduma ikirud dar inaenda gereji..bado mchina anakula pesa mwenye maintenance tofauti na scania ambae kwa mwezi unaweza kupiga service moja tu au mbiliUnanunua sufuria moja kwa milioni 500 mchina napata bus 2 na moja ya Dhamana, sufuria moja siti 52,mchina zangu tatu siti 156 mara nauli 40000/= miaka 2 nauza mchina nusu bei na faida juu ya kuchukua basi zingine 6 .Hadi uje urejeshe hela ya sufuria ni miaka 6 au 8.
Mfanyabiashara makini afungi ndoa na bus ikirudisha pesa na faida unasukuma unaleta new
KILA ruti huwa Ina mwamba wake kabla ujakata tiketi lazima ufanye kwanza saveyiHii ilinikuta hata mimi mwaka 2018 tu pale msamvu wakati nakuja dar.
Nilikuta bus kampuni ya BM likiwa na abiria kama wote huku abood na new force zikiwa empty lakini zilikua zinajaa na kuondoka na kutuacha tunagombana na mkatisha tikiti
Ni sawa baki huko hukoWote sio lzm tuingie huko
Zote si zinabeba abiria iweje tofautiUnadhani biashara ya basi za Mikoani ni kama Daladala!!..
Haya SawaZote si zinabeba abiria iweje tofauti
Hii FM n famari sio? AuKuna F M Abri,ST Abri etc jamaa wanaweza kuwa na Gari 2000 hawa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Alichinja ng'ombe 20 kusherekea Hitimisho la michambo
Mkuu bus huwa zinapigwa spana usiku kesho unaiona tena barabarani!Kuna sauli moja DPN ina miaka miwili na nusu barabarani...inapiga tupa geuka kila siku..inaweza piga tupa geuka muda mrefu na haiend service... New force ikienda tunduma ikirud dar inaenda gereji..bado mchina anakula pesa mwenye maintenance tofauti na scania ambae kwa mwezi unaweza kupiga service moja tu au mbili
Na hao famari ndiyo CRC! bado wanamagari wameyasajili huko Congo acha kabisa mkuuHii FM n famari sio? Au