Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Hata huyo sauli atanunua tu za kichina mpe muda!
Unanunua sufuria moja kwa milioni 500 mchina napata bus 2 na moja ya Dhamana, sufuria moja siti 52,mchina zangu tatu siti 156 mara nauli 40000/= miaka 2 nauza mchina nusu bei na faida juu ya kuchukua basi zingine 6 .Hadi uje urejeshe hela ya sufuria ni miaka 6 au 8.
Mfanyabiashara makini afungi ndoa na bus ikirudisha pesa na faida unasukuma unaleta new
 
Mimi ninadhani hicho ni kiwango cha kawaida tu kwa kampuni kama Abood. Hata alipoingiza hizi zilizopo sasa ni hivyohivyo tu. Ninakumbuka ilikuwa sherehe pale Msamvu, misele ya kufa mtu roundabout wakipokewa na bodaboda.

Ninafikiri kwetu wateja, muhimu sasa ni kuletewa basi zilizo comfortable na rafiki kimatumizi. Yutong tunazoletewa ni za kikuda sana. Pot za kuchajia zinadumu miezi,hazifiki mwaka. AC halikadhalika—ikishabuma mtakoma humo kwenye basi. Siti pia ni ndogoo,ukiwa mrefu ama kibonge imekula kwako.

Ninajua haya ndo huchangia kushusha bei ya basi huko sokoni uchina. Lakini,kwakuwa kampuni ina uwezo, ingia dau kubwa, lete chache za ukweli wenye uwezo wapande kwa bei elekezi. Wateja wapo. Tunaona BM ana zile zenye daraja la kwanza na la pili. Kila siku daraja la kwanza zinajaa fasta.

Halafu Abood kama mnanisoma acheni ubahili. Katikati ya Dar na Moro jengeni kahoteli uchwara ka kupata bites na kujisaidia. Mnahama vihoteli, mnapeleka abiria vihoteli vinanuka choo utasema vyoo vya stend. Bites za kiwango cha chiiini.

Safari ni starehe jamani.
,Mchina anazo zote kulingana na pesa yako.Nunua Mchina changia uchumi wa China,wabongo wamelala wameshindwa kuchangamkia fursa ya kujenga viwanda vya kuunda mabasi na daladala soko ni kubwa halina mwenyewe, tuendelee kuchangia uchumi wa China na japan
 
Mimi sijui idadi yake lakini sitasahau tukio la almost 20 years ago!!!

Nimefika zangu Ubungo nimekuta basi la kampuni fulani hivi (nimesahau jina lake lakini sio Islam) likiwa na watu zaidi ya robo tatu kama sio zaidi.

Wakati huo huo, basi moja ya Aboud ndo lilikuwa linajitayarisha kupakia abiria, na kwahiyo halikuwa na abiria hata mmoja!!

Sasa kwavile sikuwa na uzoefu na mabasi yaendayo Morogoro, nikapanda lile nililoona limejaa zaidi ya 3/4 huku nikiamini ndo nitawahi kuondoka!!

Kitu ambacho sitasahau, ziliondoka Aboud kama sio 4 basi 5 wakati basi letu lililokuwa limejanza zaidi ya 3/4 kabla yao tukiwa pale pale!!

Na ninachotaka kusema kwamba, labda siku hizi kwavile magari ni mengi lakini kwa wakati, hiyo nusu saa ingekuwa zinaondoka Aboud angalau 3 kwa route moja!!!
Wapenzi wote wa simba upanda Abood
 
Mimi sijui idadi yake lakini sitasahau tukio la almost 20 years ago!!!

Nimefika zangu Ubungo nimekuta basi la kampuni fulani hivi (nimesahau jina lake lakini sio Islam) likiwa na watu zaidi ya robo tatu kama sio zaidi.

Wakati huo huo, basi moja ya Aboud ndo lilikuwa linajitayarisha kupakia abiria, na kwahiyo halikuwa na abiria hata mmoja!!

Sasa kwavile sikuwa na uzoefu na mabasi yaendayo Morogoro, nikapanda lile nililoona limejaa zaidi ya 3/4 huku nikiamini ndo nitawahi kuondoka!!

Kitu ambacho sitasahau, ziliondoka Aboud kama sio 4 basi 5 wakati basi letu lililokuwa limejanza zaidi ya 3/4 kabla yao tukiwa pale pale!!

Na ninachotaka kusema kwamba, labda siku hizi kwavile magari ni mengi lakini kwa wakati, hiyo nusu saa ingekuwa zinaondoka Aboud angalau 3 kwa route moja!!!
Hii ilinikuta hata mimi mwaka 2018 tu pale msamvu wakati nakuja dar.
Nilikuta bus kampuni ya BM likiwa na abiria kama wote huku abood na new force zikiwa empty lakini zilikua zinajaa na kuondoka na kutuacha tunagombana na mkatisha tikiti
 
Unanunua sufuria moja kwa milioni 500 mchina napata bus 2 na moja ya Dhamana, sufuria moja siti 52,mchina zangu tatu siti 156 mara nauli 40000/= miaka 2 nauza mchina nusu bei na faida juu ya kuchukua basi zingine 6 .Hadi uje urejeshe hela ya sufuria ni miaka 6 au 8.
Mfanyabiashara makini afungi ndoa na bus ikirudisha pesa na faida unasukuma unaleta new
Kuna sauli moja DPN ina miaka miwili na nusu barabarani...inapiga tupa geuka kila siku..inaweza piga tupa geuka muda mrefu na haiend service... New force ikienda tunduma ikirud dar inaenda gereji..bado mchina anakula pesa mwenye maintenance tofauti na scania ambae kwa mwezi unaweza kupiga service moja tu au mbili
 
Hii ilinikuta hata mimi mwaka 2018 tu pale msamvu wakati nakuja dar.
Nilikuta bus kampuni ya BM likiwa na abiria kama wote huku abood na new force zikiwa empty lakini zilikua zinajaa na kuondoka na kutuacha tunagombana na mkatisha tikiti
KILA ruti huwa Ina mwamba wake kabla ujakata tiketi lazima ufanye kwanza saveyi
 
Kuna sauli moja DPN ina miaka miwili na nusu barabarani...inapiga tupa geuka kila siku..inaweza piga tupa geuka muda mrefu na haiend service... New force ikienda tunduma ikirud dar inaenda gereji..bado mchina anakula pesa mwenye maintenance tofauti na scania ambae kwa mwezi unaweza kupiga service moja tu au mbili
Mkuu bus huwa zinapigwa spana usiku kesho unaiona tena barabarani!

Hakuna gari isiyopata ugonjwa isipokuwa zinazidiana changamoto za hapa na pale..

Haiwezekani gari ikimbie km 830 dar- mbeya kila siku kwa miaka miwili mfululizo isilete shida yoyote!
 
Back
Top Bottom