mlima wa mizeituni
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,387
- 2,444
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna Mtu atakuja hapa kusema hizo sio zao, kuna kiongozi ana shares huko hii nchi ngumu sana
Kwa comfortability kiukweli BM yuko vema sanaa kwa hiyo route na ile ya Moro to Arusha...Mimi ninadhani hicho ni kiwango cha kawaida tu kwa kampuni kama Abood. Hata alipoingiza hizi zilizopo sasa ni hivyohivyo tu. Ninakumbuka ilikuwa sherehe pale Msamvu, misele ya kufa mtu roundabout wakipokewa na bodaboda.
Ninafikiri kwetu wateja, muhimu sasa ni kuletewa basi zilizo comfortable na rafiki kimatumizi. Yutong tunazoletewa ni za kikuda sana. Pot za kuchajia zinadumu miezi,hazifiki mwaka. AC halikadhalika—ikishabuma mtakoma humo kwenye basi. Siti pia ni ndogoo,ukiwa mrefu ama kibonge imekula kwako.
Ninajua haya ndo huchangia kushusha bei ya basi huko sokoni uchina. Lakini,kwakuwa kampuni ina uwezo, ingia dau kubwa, lete chache za ukweli wenye uwezo wapande kwa bei elekezi. Wateja wapo. Tunaona BM ana zile zenye daraja la kwanza na la pili. Kila siku daraja la kwanza zinajaa fasta.
Halafu Abood kama mnanisoma acheni ubahili. Katikati ya Dar na Moro jengeni kahoteli uchwara ka kupata bites na kujisaidia. Mnahama vihoteli, mnapeleka abiria vihoteli vinanuka choo utasema vyoo vya stend. Bites za kiwango cha chiiini.
Safari ni starehe jamani.
Ndiyo zake route ndefu zote huwa anapeleka mingalangala... Bus mpya anapeleka Dar to Morosiku moja nna haraka zangu Mbeya stendi pale jamaa wakaniwai sa 3 inakuja bus abood toka Tunduma.mi poa nimelipa badae bus hilo ngalangala la Abood.
Siti zote zimejaa nikadumbukizwa humo kulikua na kiroba cha mchele sijui kitu gani nimekikalia mpk Dar.
Wale wenye mchele sijui walikuta una hali gani,
Kufika Moro sa tisa tukaambiwa tushuke ngoma ipigwe service.
Sa moja usiku ndo safari ikaanza tena kuitafuta Ubungo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] JF hata ukiwa na frustrations zako ingia huku usome comments unajikuta unacheka tuHakielimuuuuu....!!! Ngaa!!! Ngaa!!!.
Pia ameshindwa kujiongeza kwamba kwenye Bus la watu 60 huwezi kukosa wazee, wenye magonjwa mbalimbali kama vidonda vya tumbo, kisukari etc ambao huwezi kumburuza masaa 3 mpaka 4 bila ya kutia chochote mdomoni au kupata huduma bora ya maliwato. Yaani anajifikiria yeye tuu...Jiongeze kidogo basi, au wewe ni product wa hii elimu yetu iliyologwa nini? Maana kizazi cha shule hizi ni majanga.
1. Umeona hapo sikutaja ugali wala makande, nimesema bites. Hilo umeshindwa kuona inamaanisha nini?
2. Haya, umetoka Moro na gari ya kwanza. Yani ukae mdomo unanuka na njaa mpaka Dar kisa kuna mtu kama wewe anasema safari ya saa tatu huhitaji kula? Siku hizi chai unauziwa kwenye kibobo chako safi, unaingia nacho garini.
3. Kwahiyo, ushawaza na kuona kuwa ulionao wote ndani ya gari mpo sawa. Wamekula kama wewe, wanajisikia haja kama wewe n.k. na hivyo,vile unajisikia wewe,abiria wote wanajisikia hivyo.
Ninadhani hapa umeathiriwa na mawazo yetu yale ya kudhani unachowaza wewe ndiyo ulimwengu. Walimwengu hatupo sawa kama ulivyokariri. Aidha, maisha yamebadilika, mengine tuliyafanya sababu ya kukosa uwezo, fursa na sehemu za kufanya haya. Mwaka 80 si sawa na 2021.
Tafakari, chukua hatua
Utajiri wa hv umepitwa na wakati......
siku hizi watu wapo kwenye ma cypypto
Hii inanikumbusha jinsi reli ya Dar to Moshi ilivyouwawa kifo cha mende miaka ya themanini ili wenye Bus na Malori wafanye yao.SGR itamalizika ujenzi wake kwa Abood kupitisha bajeti yake huko bungeni
Kweli mkuu ile gereji yake pale mbele ya wauza mbao wa Fire ibebe Bus 300?300 hayafiki mkuu, muda mwingine tusipende kukuza mambo. Hata mm nipo moro hapa na sehemu zake zote garage nk nazifahamu. Utajiri anao ila mabus miatatu uongo kabisa.
Utawasikia: Ausindilee, anajibiwa anogaaa.... Anaendelea: mwenzio nimerudi juzi toka Daa na Abudii... Mweeee safari hii bwana Kobelo si nikawakomesha deleva na konda wake... Ilikuwa mzigo wangu nishushie Kimara mi nikabana kinaenda mpaka Ubungoo, yaani nimewakomesha kweli kweli...Waluguru huwaambii kitu kwa abood
Ahaaa in mkude simba voiceUtawasikia: Ausindilee, anajibiwa anogaaa.... Anaendelea: mwenzio nimerudi juzi toka Daa na Abudii... Mweeee safari hii bwana Kobelo si nikawakomesha deleva na konda wake... Ilikuwa mzigo wangu nishushie Kimara mi nikabana kinaenda mpaka Ubungoo, yaani nimewakomesha kweli kweli...
Kampuni pekee ambayo iliweza kuwa na stend zake binafsi kwa Morogoro ni Scandinavia (stend yake ilikuwa pale Msamvu round about ambapo sasa hivi imejengwa kituo cha mafuta). Mwingine alikuwa ni Hood Bus, ambaye sasa anachechemea. Abood pale mjini ilikuwa ni kushusha parcels tuu na kule gereji ni services na kujaza mafuta.Basi halitakiwi kupark,linatakiwa kuwa barabarani au garage,isitoshe tanzania kuna stand kila mkoa,abood ana stand zake binafsi na garage zake binafsi
Kwa hiyo wewe kama uko vizuri Kiafya unahitimisha kwamba kwenye kundi la abiria 60 wote wako fiti kama wewe? Hakuna wenye vidonda vya tumbo, kisukari, tezi dume na kadhalika?Ajabu kweli mi nafikiri hakuna umuhimuwa kusimama kwa safari ya saa. 3-4
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Ni kweli mkuu zamani ilikuwa hivo kabla ya 2012.
Alishindwa kusoma alama za nyakati akawa bado anatumia zile scania siti 2*3,BM akaingia hiyo route na Youtong za 2*2 wajanja wakaanza kuchepuka.
Lakini bado Abood akaendelea kusumbua,BM akaingiza Zhongtong climber 2*2 full AC na fitna ya kuondoa gari kila nusu saa iwe imejaa au haijajaa. Hapo sasa Abood akawa kapatikana ikabidi na yeye aingize Youtong lakini alikuwa kachelewa maana BM tayari ameshajijengea ile legacy ya kuwa na abiria wake permanent.
Kimsingi bado Abood anatoa gari nyingi kwa Siku hiyo route ya Dar -Moro lakini lakini amepokonywa ile monopoly yake na BM
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Na hao famari ndiyo CRC! bado wanamagari wameyasajili huko Congo acha kabisa mkuu
Abood ameanza biashara ya Bus 1990s huko, alikuwa na vi bus vichache na duka la jumla pale ilipo main office (nadhani hilo duka lilikuwa la baba yao, na hata hizo bus). Sasa hivi amekuwa mzoefu na katoa mpaka kumtoa kwenye gemu Hood na Islam halafu unashauri aache kitu alichozoea?Huo ni utajiri ambao ni manual mimi nimezungumzia digital......
matajiri wote wa sasa duniani wapo kwenye digital........
in combination with little manual
Acha umbeya fanya kazi[emoji41]Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Hiyo barabara imejaa fuso na zinaua balaaHii inanikumbusha jinsi reli ya Dar to Moshi ilivyouwawa kifo cha mende miaka ya themanini ili wenye Bus na Malori wafanye yao.
Hua Nina ndoto ya kuja kuweka pesa humo, nikipita road hua nachunguza sanaMzigo wa Tankers ni mwingi na Una lipa vizuri
Kuna vitu Magufuli alikuwa anasema ukweli, na nilikubaliana naye. Mfano Magufuli alimpa makavu live Abood kwamba amenunua viwanda badala ya kuviendeleza aliuza mitambo na kuvitumia kuchukulia mikopo na pesa akanunulia ma Bus, kwa walio Moro wanajua hiyo ni kweli. Hata lile jengo ilipokuwa Redio Abood na TV yake nilisikia Magu alielekeza lirudishwe serikalini, nadhani limerudishwa. Pia vijembe alivyopigwa na Magu kwamba badala ya kununua ambulance yeye anawaletea watu Bus iliyochoka kubeba maiti (almaarufu Bundi) vilisaidia akajiongeza na kununua ambulance (nilisikia kanunua, am not sure).kumchamba tajiri kunakupa unafuu gani mlalahoi mwenzangu??
Juzi nilikuwa natoka Tabora kuja Dodoma nikakutana na Abood sijui ni ya wapi..Niliona tangazo pia, kuwa anaanza ruti za Dar Dodoma, sijajua kama tayari au bado.