Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Tetesi: Usajili wa Mabasi ishirini mapya ya Abood

Mchina aliwa hadaa watu Kwa mikopo ndio wamezileta nyingi lakini katu Mchina hawezi kuingia Kwa Scania!!..Faida ni Abiria na mizigo kuwa mingi!!..Kama Una nunua Gari kubwa unatumia 2 years imekufa,Faida unapata wapi?!!..Hebu piga hesabu hizo kwenye Daladala ambazo Abiria wapo kila saa!!..
Mkuu laiti kama faida hawapati kwa mabasi ya kichina usingeona Abood kaongeza mabasi mengine ya kichina. Kumbuka huyu alianzaa mabasi ya scania kisha ndipo kaamia kwenye mchina hivyo anajua anachokifanya. Nadhani wanaofeli watakuwa wanafeli kwenye uangalizi, na utunzaji wa magari. Ni mtazamo wangu.
 
Hao wote uliowataja wamemkuta abood tayari yupo kwenye game. Na sina uhakika kama hao uliowataja wamefikisha miaka 20 kwenye game. Mfano Bm ni wa juzi juzi tu hapa kwenye miaka ya elfu mbili na kumi na kitu.
Njia ya Mwanza/Dar uliza wafanyabiashara/wanafunzi wa njia hii kuhusu Najmunisa miaka ya 90 huko
 
Hao wote uliowataja wamemkuta abood tayari yupo kwenye game. Na sina uhakika kama hao uliowataja wamefikisha miaka 20 kwenye game. Mfano Bm ni wa juzi juzi tu hapa kwenye miaka ya elfu mbili na kumi na kitu.
Sijakuwekea na Sai baba
 
Nje ya mada kidogo,, super lolf dar moro 1990s,, stendi magomeni mapipa
FB_IMG_16342001726466334.jpg
 
Wewe unataka kubishana Tu hapa na kwasababu wewe wa Juzi juzi hapa!!..BM ameanza biashara ya Mabasi Turiani huko, Kilimanjaro ndio ilikua Sawaya,Mtei hata Baba yangu akiwa ana Anza maisha kazipanda,Dar Express ni mkongwe kuliko Abood,Hawa kina Mbelesero group kitambo,Raha Leo Kwa Tanga wanajua shughuli yake 1997,Shekh Tashriff huko Tanga wanajua Kazi zake za 1990,
Abood ameanza biashara ya mabasi 1986 hadi leo tunavyojadili mimi na wewe na alianza na mabasi manne (4) tu lakini leo anayo yasiyo na idadi
 
Mchina aliwa hadaa watu Kwa mikopo ndio wamezileta nyingi lakini katu Mchina hawezi kuingia Kwa Scania!!..Faida ni Abiria na mizigo kuwa mingi!!..Kama Una nunua Gari kubwa unatumia 2 years imekufa,Faida unapata wapi?!!..Hebu piga hesabu hizo kwenye Daladala ambazo Abiria wapo kila saa!!..
Utunzaji wa gari ni wew tu mmiliki ndo mana kuna bus za kichina zina miaka4 mfano ni huyo abood hata hizo scania unazosema ulizia sauli ipi hawajawah kufungua mashine zingine zaid ya 4 times
 
Hujanielewa ninacho maanisha Sauli anaanza kujaza yeye ndo wengine wanafuata hiyo ndo maana ya kuteka soko..na sio wingi wa gari
53*4=212 wote huanza kwenda Sauli kwanza then ndo warudi NF sawa kaka
 
Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
Acha fix mzee hakuna kampuni bongo yennye bus za abiria zaidi ya mia 3 hizo story za kijiweni tu, abood rout zake nnchi nzima ni.
Dar tunduma.
Dar mbeya.
Dar mwanza.
Moro Arusha.
Dar iringa.
Moro mwanza.
Kote zimapishana bus 2 na Dar Moro hazizidi bus hata 20, mfano abiria wakiwa wengi msamvu inabidi usubiri gari ya kitoka dar ugeuze nayo kama dalaldala .huyo shabiby na new force haziki hizo 300
 
Back
Top Bottom