Usajili wa Okrah: Simba SC leo wamepiga kwenye mshono haswa

Premise ya hoja yako umeijenga kupitia probability "Huwenda"
 

Mkuu, nimesoma huku nacheka ingawa mimi chama langu simba [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]umewapiga mkwara hao vyura yaani hatari yaani hasa aya ya pili na ya tatu ndio chorus!
 
Mkuu, nimesoma huku nacheka ingawa mimi chama langu simba [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]umewapiga mkwara hao vyura yaani hatari yaani hasa aya ya pili na ya tatu ndio chorus!
Wakae mbali na Okrah [sterling] wao wamejiona wajanja kurudia kusajili mabange!
 
Viongozi wao wanawajua kwamba wao wakiona Cv wanaridhika ndio maana wakaletewa Pablo kutokea Real Madrid ya Buza.
Hapa umeandika chini ya kiwango

Mchezaji anasajiliwa kwa kuangalia recently records ambazo mtu yeyote anaweza kujihakikishia kujua kama hizo sifa anastahili au la

Hata wewe unaweza kufatilia katika database ukaona kweli hao wachezaji wana huo ubora ambao Simba wameusema, sasa Kusema viongozi wanasajili kwa kuangalia CV huo ni zaidi ya upimbi
 
Ghana na Nigeria bila kuhonga uitwi timu ya Taifa. Ata Azam ilikua na wachezaji wanaitwa timu ya Taifa kwakua walikua wakijiongeza.
Upo sahii 100% ila Okra ni habari nyingine...🤣🤣🤣🤣🤣
 
Uto wameshachanganyikiwa kwa pigo moja tu.

Sasa wanaokota story za magazetini wanadai zimetoka kwa wanasimba!
 
Maelezo Marefu Af Mwisho Wa Siku Mkikutana Na Yanga Uwanjani Mnapasuliwa Au Mtaishia Kushangilia Sare Af Na Makombe Yanaenda Tena Jangwani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maelezo Marefu Af Mwisho Wa Siku Mkikutana Na Yanga Uwanjani Mnapasuliwa Au Mtaishia Kushangilia Sare Af Na Makombe Yanaenda Tena Jangwani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizi ramli mlifundishwa na nani pale jangwani?
 
Wakimbie tu kwa usalama wao, maana jamaa ana uwezo wa kufunga magoli ya kila style, kuitwa timu ya taifa ya Ghana pekee ni kielelezo tosha cha ufundi wake..
Jamaa anafunga hata akiwa bench, mechi 32 magoli 85 assist 42, ana shoot mitre 200 mwaka huu final ya CAF

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hata chikwende alikuja na mkapamba hivi 😂, trh 8 Sio mbali utapigwaa KWENYE ule mtaro aliyokutengenezea fei.

Nasikia Dunia ya Buza omesimama😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…