Usajili wa Simba uko kitapeli. Abdulrazack kutoka Supersport akichezea benchi (timu ya saba kwenye ligi) ana thamani kubwa mara nne ya Pacome

Usajili wa Simba uko kitapeli. Abdulrazack kutoka Supersport akichezea benchi (timu ya saba kwenye ligi) ana thamani kubwa mara nne ya Pacome

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.

Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.

Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,

Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.

Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
 
Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.

Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.

Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,

Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.

Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
Shida yako wewe ni nini?
 
Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.

Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.

Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,

Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.

Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara
Mambo yao waachiwe wenyewe
 
Tusubiri tuone, ila nimefurahishwa na age za waliosajiliwa, huenda baada ya miaka 2 simba ikawa moto
 
Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.

Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.

Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,

Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.

Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
Unaijua bil 20 wewe?
 
Back
Top Bottom