masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Unajua lakini maana ya mkuki ukiwa nje ya nyumba???Nikikuta na Mimi naweka wangu mrefu kuzidi wake hapo nje nikimchomoa akiona mkuki wangu ananiachia nipige show
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua lakini maana ya mkuki ukiwa nje ya nyumba???Nikikuta na Mimi naweka wangu mrefu kuzidi wake hapo nje nikimchomoa akiona mkuki wangu ananiachia nipige show
Maana yake nini?Unajua lakini maana ya mkuki ukiwa nje ya nyumba???
Baada ya usajili wa simba nitakuelezeaMaana yake nini?
Kwahiyo tukusaidiajeYani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.
Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.
Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,
Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.
Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
Sawa nataka nitundike daluga hapaBaada ya usajili wa simba nitakuelezea
Simba sc wanafanya usajili bora na mzuri msimu huu..period
Ninachoona ni yale yale ya Kibu. Kuna watu ndani ya klabu si watu wema kwa maendeleo ya timu, wanaweka mazingira ya wachezaji kudai pesa nyingi zaidi ya wanazostahili ama kukomoa mtu/watu au kupiga pesa. Hili jambo linanichukiza sana.
Shida yetu shule zimefunguliwa, unatakiwa urudi shule. We huoni kama hizo ni sajili za kitapeli mkuu?Shida yako wewe ni nini?
Watakula wapi wakina jaribu Tena, uoni wanateuana na kurudishana kwenye uongozi, uwezi kujua Siri yao ni Nini watakuja wakwambie Simba ndiyo yenye kikosi ghali wakati ughali wa kikosi auendani na performance ya wachezaji uwanjani,Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.
Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.
Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,
Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.
Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
Mpira ni biashara usiharibu biashara za watu, wewe umeamua kuchagua ushabiki baki ktk ushabiki ...acha watu tufanye biashara.Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.
Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.
Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,
Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.
Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
Na Mashabiki wao si wanataka ushindi au wapate cha kuongea vijiweniWatakula wapi wakina jaribu Tena, uoni wanateuana na kurudishana kwenye uongozi, uwezi kujua Siri yao ni Nini watakuja wakwambie Simba ndiyo yenye kikosi ghali wakati ughali wa kikosi auendani na performance ya wachezaji uwanjani,
Thamani yake inaweza ikapanda kutokana na vilabu vinavyomuhitaji kwa wakati husika. Hata Pacome angeweza kujiongezea thamani kama angechelewesha kidogo kusaini mkataba mpya, kama walivyochelewesha Aziz Ki na ChamaHivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?
Wewe mbona unahangaika sana na mambo ya Simba kama kuku anayetaka kutaga?Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.
Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.
Pacome kaja kama kiungo, Mvp na thamani ya 85k usd tu. Lakini hawa wanakuja na mchezaji kutoka benchi na thamani ya million 400.,
Nani anayekula na hawa wachezaji wa mchongo mishahara na mikataba.
Hivyo hivyo yule wa Ivory Coast mshahara wake ulikuwa m 1 za bongo sasa tunaambiwa atalipwam 16. Nani anakula na hawa wachezaji mishahara?