Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

Wanywaranda hata kama babu yake ama baba yake kazaliwa hapa Tz kamwe huwa hawasahau kwao walikotoka hata kama hajawahi fika huko kwa Pk. Hivyo kumpa uongozi wa juu mnyarwanda nikujitoa ufahamu tu........Huyo anayesemwa anafahamika kabisa hata rais anamjua ni vile ngoma ikipigwa shart ilie tu
 
Code nimeibaini hii ila yule hata kwa sura tu unaona sio mwenzetu ila upepo tu
Iko wazi hiyo kama ya mbuzi ......wapo madiwani wenyeviti wa mtaaa/kijiji kibao maeneo ya sengerema wamejazana chato huko usiseme biharamlo sasa wana mitaa yao kabisaa na mashamba makuuubwa sana achana na sehemu ambayo sijafika kama ngara nk
 
CCM amchunguze CCM mwenzake,hiyo imekaaje.

Mbona watu tunakuamini sana kama great thinker imekuwaje bosi.

Waambie kuhusu wapinzani mkuu TU.
 
Back
Top Bottom