GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #81
NLMAlafu anapiga picha anacha mwanya , nahisi aliambiwa wanawake wanapenda wanaume wenye mwanya,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NLMAlafu anapiga picha anacha mwanya , nahisi aliambiwa wanawake wanapenda wanaume wenye mwanya,
Pale Nishati wasingemuondoa January, mpaka leo lile bwawa lingekuwa bado na mgao wa umeme kibao!Vita vya Uwaziri Mkuu naona vimepamba moto
NLMUpo Jf na fake ID na sio verified user, bado unaogopa hata hao usalama kwa namna hii ya uoga si hawataweza pia. Stand Tall
Iwe hivyo kwako pia
Bora logarithms
Yuda wa zama zile?
Sawa Kwame KeyekehWengi ndio sio wote! Hapa mbozi tunaye Camara Laye ni mnyiha!
duh!
Ni kawaida ya Wanasiasa Vijana kuchafuanaPale Nishati wasingemuondoa January, mpaka leo lile bwawa lingekuwa bado na mgao wa umeme kibao!
Mmeona huu mkutano wa kimaTaifa wa Nishati unafanyika Hapa nchini, mmeanza Choko choko zenu za fitina!! Tulieni fanyeni kazi.
Kuna Mawaziri Vijana zaidi ya 5 wenye hizo ndoto za kufikia kule juuHivyo mbona rahisi sms
Ukiona wameamza kutafuta who is who ujuwe kuna chuki binafsi, huwezi kupewa nafasi kama hizo za uongozi bila vyombo vyenye mamlaka na weledi wa hali ya juu kukujuwa vyema. Kuna watu nchi hii wameshika nyadhifa nyeti na za juu sana bila kujali asili yao walitokea.wapi.Kama kawaida yenu Waswahili mkiona mtu ni performer mna anza majungu yenu! Tanzania kila mtu ni mkimbizi isipokuwa wagogo waliopo katikati ya nchi!!
Kutoka mpakani mwa nchi hakukuondolei Utanzania / uraia wako!
Waswahili acheni majungu ; hizo tabia zenu za kishenzi ndio maana hamna maendeleo, mmejaa wivu!