Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
TUmeliwa Mno Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Sana Ndugu Zangu

Hii Nchi Inaliwa
Vyovyote Nitakavyosema Najua Mmenielewa Sana Sana Ndugu Zangu

By Mzilankende



Wakimbizi Halafu Wanatokaje Arusha Namanga Mpaka Wakamatwe Mbeya
Leo Naagiza Mkoa Ataokamatwa Mkimbizi Haram
OCD, RPC, RIO, DIO Wajihesabu Hawana Kazi Siku Hiyo Hiyo
By Jiwe
 
Wasema katokea Oman, inawezekana uchunguzi ukaanzia hapo? Hiyo kama kumfunga paka kengele, tuwe wa ukweli hii nchi imeshavurugwa kitambo system zote ni corrupted na tunafumbiana macho maana tunajidanganya tupo salama.
 
Back
Top Bottom