Kxurwaxa BrxitrxeegrxooKuna waziri lugha yake mama ni kinyarwanda na lugha ya umaarufu ni kisukuma nadhani nimemaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kxurwaxa BrxitrxeegrxooKuna waziri lugha yake mama ni kinyarwanda na lugha ya umaarufu ni kisukuma nadhani nimemaliza
Code nimeibaini hii ila yule hata kwa sura tu unaona sio mwenzetu ila upepo tuKxurwaxa Brxitrxeegrxoo
Hivi doi bikote ni mb wa wapi...🙄Kuna waziri lugha yake mama ni kinyarwanda na lugha ya umaarufu ni kisukuma nadhani nimemaliza
Inasemekana ile timu yenye ukwasi wa kutisha pale singidani haijulikani tajiri/boss/mmiliki wake..🙄Bila shaka huyo ni Madilu System
Cheo cha tatu ni MwalimuNa kwanini ana vyeo viwili?
Basi hatari sana...hana cha nne kwenye "kikoba" Chao ,hata ujumbe wa kamati kuu?Cheo cha tatu ni Mwalimu
Alafu ana tamaa sana vyeo vyote alivyokuwa navyo ,bado akawa anataka na umakam wa chamaCode nimeibaini hii ila yule hata kwa sura tu unaona sio mwenzetu ila upepo tu
Acha tabia za kikeNi Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.