Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisa mambo yenu ya Simba na Yanga sio? 😆😆Ni Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Huyu Bibi mtupu hana uwezo wa kufanya maamuzi magumu!!Wakati CDF anamwambia Rais kuna wageni wapo kwenye idara nyeti Rais mpaka leo amechukuwa hatua gani?
Na kwanini ana vyeo viwili?
Atodoroteatototundu TubinangayotenakonaKxurwaxa Brxitrxeegrxoo
Unaijua Pombe Moja inaitwa BUTUA 😂Tuliwahi kukushauri uache pombe za kienyeji
MkuuNi Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Kulikoni kawezasha mabadiliko kwa jirani nini?Ni Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
Unasemwa wewe nini?Tuliwahi kukushauri uache pombe za kienyeji
Kama kawaida yenu Waswahili mkiona mtu ni performer mna anza majungu yenu! Tanzania kila mtu ni mkimbizi isipokuwa wagogo waliopo katikati ya nchi!!Huyu Bibi mtupu hana uwezo wa kufanya maamuzi magumu!!
Ccm ingekuwa na wanaume lijari wasingeruhusu ujinga wa kuwa na form moja ya Urais. Wameisaliti nchi!
Ni jambo la ajabu sana kiukweli, na akipita awamu ya pili atakua hana la kupoteza, atafanya Mambo ya ajabu ajabu kabisa.Huyu Bibi mtupu hana uwezo wa kufanya maamuzi magumu!!
Ccm ingekuwa na wanaume lijari wasingeruhusu ujinga wa kuwa na form moja ya Urais. Wameisaliti nchi!
"Eli Cohen" wa nchi jirani ,ya wajina wangu.Ni Kirusi HATARI kwa Usalama wa Taifa letu.
Nimemaliza.
NDULI ABDUL MUHOOZI..wamchunguze na Abduli.
Kuna watu wapo nchi hii kabla ya kuundwa kwa taifa la Tanzania.. kuna Watusi wapo eneo hili kabla ya mgawanyo wa Makoloni wa Berlin.. Yule pacha ni raia halisi wa nchi hii acheni majungu...Kuna waziri lugha yake mama ni kinyarwanda na lugha ya umaarufu ni kisukuma nadhani nimemaliza