Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

Usalama wa Taifa kuna Waziri mmoja Mwandamizi Serikali ya Rais Samia tafadhali anzeni Kumchunguza hasa

Inawezekana anatumika kumharibia Ili asipite awamu ya pili!!

Ukiona mtu anaharibu lakini hahughulikiwa ujue uharibifu wake una baraka za wenye dola!

Mara nyingi wenye Dola wakiona unaharibu wanakuharibu usiwepo kabisa!!
 
Huyu Bibi mtupu hana uwezo wa kufanya maamuzi magumu!!
Ccm ingekuwa na wanaume lijari wasingeruhusu ujinga wa kuwa na form moja ya Urais. Wameisaliti nchi!
Kama kawaida yenu Waswahili mkiona mtu ni performer mna anza majungu yenu! Tanzania kila mtu ni mkimbizi isipokuwa wagogo waliopo katikati ya nchi!!
Kutoka mpakani mwa nchi hakukuondolei Utanzania / uraia wako!
Waswahili acheni majungu ; hizo tabia zenu za kishenzi ndio maana hamna maendeleo, mmejaa wivu!
 
Huyu Bibi mtupu hana uwezo wa kufanya maamuzi magumu!!
Ccm ingekuwa na wanaume lijari wasingeruhusu ujinga wa kuwa na form moja ya Urais. Wameisaliti nchi!
Ni jambo la ajabu sana kiukweli, na akipita awamu ya pili atakua hana la kupoteza, atafanya Mambo ya ajabu ajabu kabisa.
Tume huru ya uchaguzi inatakiwa, na hatuendi kwenye uchaguzi mpaka tume huru ,maana tukianza na Tume huru,ndio watajua rangi zote.
 
Upo Jf na fake ID na sio verified user, bado unaogopa hata hao usalama kwa namna hii ya uoga si hawataweza pia. Stand Tall
 
Kuna waziri lugha yake mama ni kinyarwanda na lugha ya umaarufu ni kisukuma nadhani nimemaliza
Kuna watu wapo nchi hii kabla ya kuundwa kwa taifa la Tanzania.. kuna Watusi wapo eneo hili kabla ya mgawanyo wa Makoloni wa Berlin.. Yule pacha ni raia halisi wa nchi hii acheni majungu...
 
Back
Top Bottom