USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Lipumba anaijua demokrasia hapeleki chama kibabe kama mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1460029
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .
Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu
My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Sent using Jamii Forums mobile app