Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

Lipumba anaijua demokrasia hapeleki chama kibabe kama mbowe
View attachment 1460029

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1460029

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .
hajaongea na ccm kupeana majimbo, c aliahidiwa na jiwe 5 zake
 
View attachment 1460029

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Hata NCCR-CCM inakuja kufuwata mkondo wa CUF time will tell
 
Mtoa mada acha ukuda. Kumbuka CUF siyo CDM inayopangiwa wagombea kutoka kwenye mifuko ya koti la Mbowe kwa maridhiano binafsi na mgombea.

CUF ni Chama cha Wananchi kinachotekeleza itikadi ya Haki Sawa kwa Wote na kwahiyo usinshangae ndo maana Lipumba katangaza kila anayejisikia kugombea nafasi yoyote ajisikie huru kufanya hivyo badala ya kudhani wanaostahili ni watu "fulani" peke yao.

Lakini kama unadhani kutangaza hivyo eti maana yake chama kimekosa wagombea na kwamba kinaokoteza watu wa mtaani basi tambua hao watu wa mtaani ndo walengwa wa chama hiki na hakipo pale kwa ajili ya watu "maalumu" wanaotoa boko kwa mwenyekiti wa chama.
 

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Agombee yeye mwenyewe kwani siyo Mwanaume mbona alijitoa UKAWA kwa kutompitisha kugombea uRais sasa kwa nini ahangaike mwaka huu?.
 

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .
professor
 
Agombee yeye mwenyewe kwani siyo Mwanaume mbona alijitoa UKAWA kwa kutompitisha kugombea uRais sasa kwa nini ahangaike mwaka huu?.

Unataka agombee Uraisi halafu apate kura 2 tu yake na ya Demu wake Sakaya ili aingie aibu?
Propesa Lipumbavu ameshaona mbali huyo.
 
Back
Top Bottom