Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze


Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .

Kule Zanzibar ACT mpaka watu wamepeleka malalamiko kibao ngazi za juu za chama kwa msuguano mkali kwenye kugombania nafasi za uongozi, yaani ni hatari
 

Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .

Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu

My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Lengo la Lifuguma kuua upinzani limeanza kutimia.
 
Wewe masikini utamdanganya nani humu , nani hamfahamu lipumba humu , huyu lipumba aliyerudishwa na ccm kwa kulindwa na Rita , mahakama na Usalama wa Taifa , nani halijui hilo ? huyu lipumba aliyewekewa hela ya cuf kwenye akaunti binafsi ndio wa kumtetea hadi mapovu ya njano yanakutoka ! labda kama una matatizo ya akili .
Kama unalosema ni kweli Basi Profesa Lipumba yuko vizuri. hivyo Basi vyombo ulivyovitaja vitahakikisha Lipumba anapata wabunge wengi kuliko chama chochote sababu yeye anaijua system yote na wanampenda nyie msiojuana na system na haiwapendi mtabwagwa na hata muende mahakamani hamtashinda ili msipoteze pesa zenu msigombee
 
Kule Zanzibar ACT mpaka watu wamepeleka malalamiko kibao ngazi za juu za chama kwa msuguano mkali kwenye kugombania nafasi za uongozi, yaani ni hatari
Ungeandika wapemba wako kwenye msuguano mkali Zanzibar ingependeza
 
Kama unalosema ni kweli Basi Profesa Lipumba yuko vizuri. hivyo Basi vyombo ulivyovitaja vitahakikisha Lipumba anapata wabunge wengi kuliko chama chochote sababu yeye anaijua system yote na wanampenda nyie msiojuana na system na haiwapendi mtabwagwa na hata muende mahakamani hamtashinda ili msipoteze pesa zenu msigombee
Wapiga kura ni wananchi , siyo polisi
 
Wapiga kura ni wananchi , siyo polisi
Polisi hamna imani nao Nani atawalindia kura zenu? Tume hamna imani nayo na ndio.hutangaza matokea, mahakama hamna imani nazo na ndio zinatakiwa kushughulika na kesi zenu za uchaguzi

Kwa akili hizo.mlizonazo uwezo wa kushinda haupo mtapoteza pesa zenu bure tu na safari Hakuna Ndedamburo Wala Lowasa wala wafayabiashara wakubwa friends of Lowasa na friends of Ndedamburo wa kuwabeba mtakoma
 
Be honest mkuu wanaharibu....
Wanafanya ccm watumie SMG kuua panya..
Tafuta msomi wa UD hapo fresh mgombea we go from there.

Maoni yangu
Hauwezi kugombea from nowhere pasipo kujulikana na wananchi,hata umchukue prof nguli wa siasa kama hajulikani kwa wananchi lazima adondokee pua.
 
Hili ndio kosa kubwa ambalo huwa tunafanya.... miaka mi5 hatuna strategy ya kumuandaa na kumjenga mgombea... last minute tunaokota mtu maarufu...

Tunakosea nadhani mkuu.

Okota okota haitasaidia
Hauwezi kugombea from nowhere pasipo kujulikana na wananchi,hata umchukue prof nguli wa siasa kama hajulikani kwa wananchi lazima adondokee pua.
 
Hili ndio kosa kubwa ambalo huwa tunafanya.... miaka mi5 hatuna strategy ya kumuandaa na kumjenga mgombea... last minute tunaokota mtu maarufu...

Tunakosea nadhani mkuu.

Okota okota haitasaidia
Dr Slaa aliaandaliwa lakini 2010 alipata kura chache sana yaani 27% vs 63% lakini mtu maarufu na wa kuokoteza CDM ilipata 40% vs 58% haya angalia gap hapo la lowassa na Dr Slaa!
 
I
Wewe masikini utamdanganya nani humu , nani hamfahamu lipumba humu , huyu lipumba aliyerudishwa na ccm kwa kulindwa na Rita , mahakama na Usalama wa Taifa , nani halijui hilo ? huyu lipumba aliyewekewa hela ya cuf kwenye akaunti binafsi ndio wa kumtetea hadi mapovu ya njano yanakutoka ! labda kama una matatizo ya akili .
Tambua lipumba ana wafuasi kibao ndani ya CUF. Watu kama sisi hatukuridhia kitendo chake cha kujiuzuru uwenyekiti eti kisa UKAWA kumsimsmisha Lowassa. Tulimtaka arudi kwenye kiti chake. Maalim na wafuasi wakaleta zengwe hadi mahakamani na tukawashinda si kwasababu ya fevor ya mahakama, bali katiba ya CUF iko wazi kuhusi utaratibu wa kujiuzuru kwa kiongozi.

Lakini kuhusu kuwekewa fedha na serikali kwenye akaunti binafsi, hapo unapotosha kwa nia ya kumchafua. Kumbuka ripoti ya CAG imetaja jambo hilo bali inasema fedha "zilihamishiwa" kutoka akaunti ya chama kwenda binafsi. Kwahiyo aliyeweka fedha kwenye hiyo akaunti binafsi siyo serikali bali ni viongozi wachama na hii ilifanyika kwa lengo la kuokoa fedha ambazo zingezuiwa kwa maamuzi ya Seif kufungia akaunti za chama.

Sema lingine.
 
Alifanya vizuri kutompigia debe Lowassa, japo aliitumia hali ile kama fursa ya kupiga hela toka ccm ili atumike against Ukawa. Na ccm ndio hao hao walimpa backup ya kuikamata CUF kimabavu. Saa hii ccm wameona hana watu, wameamua kumpotezea wamehamia kwa Mbatia.

Hakuna asiyejua kuwa cdm walichemka kumchukua Lowassa, hilo wala halina mjadala. Na haya yanayoendelea hivi sasa ndani ya cdm ni mambo ya kawaida kwenye siasa unapokuwa na mvuto kuliko chama dola. Kwa taarifa yako cdm inajivunia mtaji wa watu. Ni kweli chama dola kinaweza kushuritisha vyombo vya kimamlaka kuisulubu cdm, lakini ambacho haitaweza ni kumaliza mvuto kwa cdm kwa wananchi wanaoikubali. Fahamu cdm mbali ya kumchukua huyo kada mchovu wa ccm, haijawahi kujipendekeza wala kutegemea mbeleko ya ccm kama ilivyo cuf ya Lipumba.
Sawa, nikubaliane na wewe kwamba Lipumba alipewa pesa na ccm kuvuruga urais wa Lowassa, je unaweza kutaja harakati alizofanya kwa kutumia hiyo pesa?
 
I

Tambua lipumba ana wafuasi kibao ndani ya CUF. Watu kama sisi hatukuridhia kitendo chake cha kujiuzuru uwenyekiti eti kisa UKAWA kumsimsmisha Lowassa. Tulimtaka arudi kwenye kiti chake. Maalim na wafuasi wakaleta zengwe hadi mahakamani na tukawashinda si kwasababu ya fevor ya mahakama, bali katiba ya CUF iko wazi kuhusi utaratibu wa kujiuzuru kwa kiongozi.

Lakini kuhusu kuwekewa fedha na serikali kwenye akaunti binafsi, hapo unapotosha kwa nia ya kumchafua. Kumbuka ripoti ya CAG imetaja jambo hilo bali inasema fedha "zilihamishiwa" kutoka akaunti ya chama kwenda binafsi. Kwahiyo aliyeweka fedha kwenye hiyo akaunti binafsi siyo serikali bali ni viongozi wachama na hii ilifanyika kwa lengo la kuokoa fedha ambazo zingezuiwa kwa maamuzi ya Seif kufungia akaunti za chama.

Sema lingine.
Bila shaka huna akili timamu
 
Sawa, nikubaliane na wewe kwamba Lipumba alipewa pesa na ccm kuvuruga urais wa Lowassa, je unaweza kutaja harakati alizofanya kwa kutumia hiyo pesa?

Nikusaidie kitu boss, sina popote nilipounga mkono Lowassa kupewa nafasi yoyote kugombea ndani ya cdm, usifikiri niko hapa kutetea lile kosa la kipuuzi. Lipumba alishaamua kuachana na CUF, ni kipi kilimfanya arudi kwa kulazimisha, na ni kwanini alikuwa anapewa back up kubwa na ccm ili kuendelea kuwa mwenyekiti? Alisahau nini CUF?
 
Nikusaidie kitu boss, sina popote nilipounga mkono Lowassa kupewa nafasi yoyote kugombea ndani ya cdm, usifikiri niko hapa kutetea lile kosa la kipuuzi. Lipumba alishaamua kuachana na CUF, ni kipi kilimfanya arudi kwa kulazimisha, na ni kwanini alikuwa anapewa back up kubwa na ccm ili kuendelea kuwa mwenyekiti? Alisahau nini CUF?
Hawezi kukujibu
 
Nikusaidie kitu boss, sina popote nilipounga mkono Lowassa kupewa nafasi yoyote kugombea ndani ya cdm, usifikiri niko hapa kutetea lile kosa la kipuuzi. Lipumba alishaamua kuachana na CUF, ni kipi kilimfanya arudi kwa kulazimisha, na ni kwanini alikuwa anapewa back up kubwa na ccm ili kuendelea kuwa mwenyekiti? Alisahau nini CUF?
Kama ni hivyo basi itakuwa wewe ndo hujielewi. Inaonekana hujui ni kwanini Lipumba alijiuzuru uwenyekiti na kujiweka pembeni na kampani za uchanguzi wa 2015.

Lipumba siku anatangaza kujiuzuru alisema amechukuwa maamuzi hayo kwasababu nafsi inamsuta. Unajua kwanini nafsi ilimsuta? Kama unasema hukuunga mkono Lowassa kupewa nafasi, basi tuambie je Lipumba aliunga mkono?

Kwa akili yako unaweza kuleta hoja kwamba Lipumba alifanya makosa kujiuzulu; kwamba angeendelea kuvumilia uwepo wa Lowassa kama mgombea wa ukawa akiwa mwenyekiti mwenza wa umoja huo. Kama ulitaka afanye hivyo basi maana yake uliunga mkono ishu ya Lowassa.

Lakini fahamu Lipumba angeendelea kushikilia nafasi yake kama mwenyekiti mwenza wa ukawa, basi angedhihirisha unafiki wakuonesha anaunga mkono maamuzi ya CDM wakati nafsi inamtusa kumnadi lowassa.

Lakini ikiwa unamchukia Lipumba kwa kitendo chake cha kurejea uwenyekiti baada ya kuwa alijiuzulu, basi unatakiwa ulete hoja kwanini hakupasa kurejea. Je, katiba ya CUF inakataza kiongozi kutengua maamuzi ya kujiuzuru au sheria ya vyama vya siasa ndo inakataza? Vinginevyo utakuwa huna hoja, bali uwe wazi tu kwamba unamchukia Lipumba kwa sababu zako binafsi.

Kwa kuongeza tu ni kwamba, Lipumba hakulazimisha kurejea nafasi yake. Wanachama tulikuwa bado tunamuhitaji na ndio maana tulimzuia na kumsihi asijiuru alipoonesha kusudio hilo. Kumbuka ofisi ya chama Buguruni kulikuwa na seke seke kubwa ndani ya wiki moja kabla wanachama wakimzuia asiongee na media kuhusu maamuzi yake. Kifupi tu ni kwamba tuliomzuia asijiuzuru ndio tuliomsihi atengue maamuzi na kumtaka arejee. Hasingeweza kufanya hivyo kama hasingekuwa na wafuasi ndani ya chama wanaomsapoti.

Una hoja?
 
Kama ni hivyo basi itakuwa wewe ndo hujielewi. Inaonekana hujui ni kwanini Lipumba alijiuzuru uwenyekiti na kujiweka pembeni na kampani za uchanguzi wa 2015.

Lipumba siku anatangaza kujiuzuru alisema amechukuwa maamuzi hayo kwasababu nafsi inamsuta. Unajua kwanini nafsi ilimsuta? Kama unasema hukuunga mkono Lowassa kupewa nafasi, basi tuambie je Lipumba aliunga mkono?

Kwa akili yako unaweza kuleta hoja kwamba Lipumba alifanya makosa kujiuzulu; kwamba angeendelea kuvumilia uwepo wa Lowassa kama mgombea wa ukawa akiwa mwenyekiti mwenza wa umoja huo. Kama ulitaka afanye hivyo basi maana yake uliunga mkono ishu ya Lowassa.

Lakini fahamu Lipumba angeendelea kushikilia nafasi yake kama mwenyekiti mwenza wa ukawa, basi angedhihirisha unafiki wakuonesha anaunga mkono maamuzi ya CDM wakati nafsi inamtusa kumnadi lowassa.

Lakini ikiwa unamchukia Lipumba kwa kitendo chake cha kurejea uwenyekiti baada ya kuwa alijiuzulu, basi unatakiwa ulete hoja kwanini hakupasa kurejea. Je, katiba ya CUF inakataza kiongozi kutengua maamuzi ya kujiuzuru au sheria ya vyama vya siasa ndo inakataza? Vinginevyo utakuwa huna hoja, bali uwe wazi tu kwamba unamchukia Lipumba kwa sababu zako binafsi.

Kwa kuongeza tu ni kwamba, Lipumba hakulazimisha kurejea nafasi yake. Wanachama tulikuwa bado tunamuhitaji na ndio maana tulimzuia na kumsihi asijiuru alipoonesha kusudio hilo. Kumbuka ofisi ya chama Buguruni kulikuwa na seke seke kubwa ndani ya wiki moja kabla wanachama wakimzuia asiongee na media kuhusu maamuzi yake. Kifupi tu ni kwamba tuliomzuia asijiuzuru ndio tuliomsihi atengue maamuzi na kumtaka arejee. Hasingeweza kufanya hivyo kama hasingekuwa na wafuasi ndani ya chama wanaomsapoti.

Una hoja?

Sio kwamba nina hoja, bali nina hoja za kutosha. Sasa twende pamoja. Ni kweli Lipumba alifanya uamuzi wa busara kujitoa uenyekiti kwa sababu alikuwa hakubaliani na uwepo wa Lowassa kama mgombea wa Ukawa. Kwani kutokuunga mkono ni lazima ujitoe kwenye chama? Tuchukulie kuwa uko sahihi, aliporudi CUF Ukawa ilikuwa imekufa, au hiyo CUF ilikuwa imejitoa Ukawa, ama Lowassa alikuwa kashajitoa cdm iliyokuwa bado ndani ya Ukawa? Hilo moja.

Sijui katiba ya CUF inasemaje kuhusu mwenyekiti aliyejiuzulu iwapo anataka kurudi. Je huyo Lipumba aliporudi ni lazima awe mwenyekiti, kwanini asiwaachie wengine hasa ukizingatia alishajiuzulu? Kwa kiongozi muungwana hakuwa na sababu ya kulazimisha kuwa mwenyekiti katika hali ya mivutano.

Ok tuyaache hayo ya hapo juu. Leo hii mwenyekiti ni yeye, na Seif kajitoa na watu kibao. Mbona chama kimebaki bila support ya watu kwakuwa yeye karudi kama mwenyekiti? Au mliokuwa mnataka ni nyie wenye maslahi naye?
 
Sio kwamba nina hoja, bali nina hoja za kutosha. Sasa twende pamoja. Ni kweli Lipumba alifanya uamuzi wa busara kujitoa uenyekiti kwa sababu alikuwa hakubaliani na uwepo wa Lowassa kama mgombea wa Ukawa. Kwani kutokuunga mkono ni lazima ujitoe kwenye chama? Tuchukulie kuwa uko sahihi, aliporudi CUF Ukawa ilikuwa imekufa, au hiyo CUF ilikuwa imejitoa Ukawa, ama Lowassa alikuwa kashajitoa cdm iliyokuwa bado ndani ya Ukawa? Hilo moja.

Sijui katiba ya CUF inasemaje kuhusu mwenyekiti aliyejiuzulu iwapo anataka kurudi. Je huyo Lipumba aliporudi ni lazima awe mwenyekiti, kwanini asiwaachie wengine hasa ukizingatia alishajiuzulu? Kwa kiongozi muungwana hakuwa na sababu ya kulazimisha kuwa mwenyekiti katika hali ya mivutano.

Ok tuyaache hayo ya hapo juu. Leo hii mwenyekiti ni yeye, na Seif kajitoa na watu kibao. Mbona chama kimebaki bila support ya watu kwakuwa yeye karudi kama mwenyekiti? Au mliokuwa mnataka ni nyie wenye maslahi naye?
Kuna mambo mengi huyajui na bado unasema una hoja! Hivi nilipokuuliza Lipumba alifanya harakati gani dhidi ya UKAWA kwa kutumia pesa aliyopewa na CCM ulijibu nini?

Unasema hujui katiba ya CUF inaelekeza nini kuhusu kujiuzuru kwa kionfozi na bado unaona Lipumba alikosea au alipendelewa na uamuzi wa mahakama!

Yaani kwa kudhihirisha hujui chochote unssema Lipumba alijitoa kwenye chama! Kwa taarifa yako alichofanya ni kujiuzuru uwenyekiti ili asijihusishe kama mwenyekiti mwenza wa UKAWA kumnadi Lowassa kada la ccm, bali alitaka abaki kama mwanachama wa kawaida. Kwa mujibu wa maneno ya Lipumba mwenyewe kadi yake ya uwanachama wakati anajiuzulu ilikuwa hai hadi 2022.

Lakini unaposema kulikuwa na ulazima gani arejee uwenyekiti nilishakujibu wanachama tulikuwa tunamuhitaji arudi kwenye nafasi yake.

Lakini kama unapenda ingefanyika busara kwanini basi upande wa Maalim Seif usifanye busara ya kuvumilia uwepo wake kama mwwnachama au mwenyekiti? Kwanini walikimbilia mahakamani? Je, hadi sasa unaweza kusema Maalim Seif na akina Mtatiro walikusudia kuimarisha CUF kwa kumfukisha Lipumba mahakamani au Lipumba ndiye mwenye mapenzi ya dhati kwa CUF?

Lakini kama ulipenda kuona Lipumba akibaki kwa mwanachama wa kawaida, unaweza kusema ni kwanini ikiwa unaunga mkono kupinga ujio wa Lowassa UKAWA? Au kabla ya tukio la Lowassa, Lipumba alifanya kitu gani kibaya kiasi cha kutostahili kuendelea kuwa mwenyekiti?

Lakini jifunze kuanzia sasa kwamba endapo kungefanyika uchaguzi ili kuziba nafasi ya mwenyekiti, Lipumba bado angeweza kugombea kwavile ana haki kutokana na kuwa mwanachama hai. Sasa jiulize kwa ufahamu wako kwanini akina Maalim Seif hawakufuata utaratibu huu ili Lipumba akataliwe kwa njia ya kidemokrasia?

Bado unahoja?
 
Back
Top Bottom