View attachment 1460029
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .
Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu
My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Kizazi cha mbowe hakuna aliyepita hata from fourUkiangalia namna 'propesa pumba' anavyojidhalilisasha unaweza kuacha laana kuwa ktk kizazi chako mtoto asisome hadi ktk level ya u-propesa sorry profesa !
hajaongea na ccm kupeana majimbo, c aliahidiwa na jiwe 5 zakeView attachment 1460029
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .
Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu
My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Hata NCCR-CCM inakuja kufuwata mkondo wa CUF time will tellView attachment 1460029
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .
Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu
My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Baada ya CUF kutumika kama 'CCM B' kuanzia 2015-2020, sasa imetelekezwa kama yatima na sasa tunafufua tawi jipya NCCR mageuzi 2020-2025.
R.I.P
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi waanze upyaaaaNa mwanamkakati wao kachukuliwa na covid19 !!kazi ipo sana tu!!
Agombee yeye mwenyewe kwani siyo Mwanaume mbona alijitoa UKAWA kwa kutompitisha kugombea uRais sasa kwa nini ahangaike mwaka huu?.
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .
Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu
My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Kwakuwa anaongozwa na tumbo inamuwia vigumu sana kufikiri kabla ya kutendaSielewi kwanini huyo Mbatia kwanini hajifunzi kwa Lipumba na Lyatonga
Mlitusaliti watanzania mwaka 2015 mpaka Dk Slaa akambonyeza prof Safari, umeiona hiyoo! Mwenye chama chake akapigwa bulungutu.nje ya mada
Bora hata Cuf itasurvive,je Chadema inayoenda kuzikwa kabisa?Kazi anayo katumika then kabwagwa anabak kupuyanga tu kama ahmaku
Sent using Jamii Forums mobile app
professor
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV .
Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho kukosa kabisa wagombea kutokana na kutafunwa na laana ya Mungu
My take : Malipo ni hapahapa duniani .
Agombee yeye mwenyewe kwani siyo Mwanaume mbona alijitoa UKAWA kwa kutompitisha kugombea uRais sasa kwa nini ahangaike mwaka huu?.