๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃunajifanya unaweweseka?dada kanifurahisha sanaMapenzi ni mashenzi sana ๐ ๐ ๐ siku nikawa namuota kwa kumuita majina hadi dada yangu akaniambia ntakupiga ๐๐๐unamuota kwa kipi cha maana alichonacho, ndo akili ikafunguka ๐ ๐ ๐
Ah kumbe kuna kulambana vinena....ngoja nimstue mtoa mada pm tufanye 3some matataSoma vizuri uelewe kwa ninavyokujua wewe hautawahukumu wala nini cha zaidi utaomba three some๐ ๐
Hatari mapenzi matamu nyie acheni tuuMapenzi ni mashenzi sana ๐ ๐ ๐ siku nikawa namuota kwa kumuita majina hadi dada yangu akaniambia ntakupiga ๐๐๐unamuota kwa kipi cha maana alichonacho, ndo akili ikafunguka ๐ ๐ ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃhaaa we kusemaje?niliachwa live bila chengaHadi wewe unaachwa .........kweli mapenzi konyo
Aliniambia mtu mwenyewe ana macho kama chura ndo wa kumuota. ๐ ๐ ๐ ndo nikaanza kumuangalia vzr na kumtoa moyoni ๐ ๐ ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃunajifanya unaweweseka?dada kanifurahisha sana
Nilijua tu ukifika utatamani tu ushirikishwe kwenye zoezi๐Ah kumbe kuna kulambana vinena....ngoja nimstue mtoa mada pm tufanye 3some matata
Ile bonge ya burudaniiiiNilijua tu ukifika utatamani tu ushirikishwe kwenye zoezi๐
Nimecheka ati icecream ilikua ya moto ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃsio peke yako dear,..nilivyoachwa hadi nikila ice cream naona ni ya motooo weee sikia tu kwa mwenzio
kumbe unakiburi ngoja nikufate..Kulia kwa raha ndo kunalipa sasa๐
mimi chauma chama cha ubwabwaNyie mlikua majambazi darasani ndo mko CHADEMA mnakula rushwa
Acha bhana nimecheka kwa nguvu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐ปAliniambia mtu mwenyewe ana macho kama chura ndo wa kumuota. ๐ ๐ ๐ ndo nikaanza kumuangalia vzr na kumtoa moyoni ๐ ๐ ๐
Utaniua mbavu๐คฃ๐คฃ๐คฃKiukweli ukiwa kwenye fatiki la kuachwa unatakiwa kuwa na ntu pembeni wa kumsagia kunguni ex wako...am sure baada kumuangalia vizuri ndio uligundua yale macho yake ni kama ya churaAliniambia mtu mwenyewe ana macho kama chura ndo wa kumuota. ๐ ๐ ๐ ndo nikaanza kumuangalia vzr na kumtoa moyoni ๐ ๐ ๐
Yaani hata sijui nisemeje ..........wakati mimi tendo la kuachwa nalipinga balaa sasa sijui nyie kwenu inakuaje?? Mi nishamchana najua kuoa sijui kutoa talaka kwanza huko zamani niliwaacha watoto wazuri walionipenda sana nikamuoa yeye sasa asilete ushubwada wake hata kidogo haachiki mtu..........nilighaili mpaka kwenda ughaibuni kisa &#^#^#^&#&# yake harafu arete ungese.......๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃhaaa we kusemaje?niliachwa live bila chenga
๐๐We acha kuachwa na mtu ndio kajaa moyoni ni balaaNimecheka ati icecream ilikua ya moto ๐คฃ๐คฃ
Nasikia harufu ya kusuguana na kusagana hapaWakuu kwanza leo ndio nimejua kua nimetimiza miaka 10 jamii forum, mnipigie makofi tafadhaliiii๐ฅณ๐ฅณ๐คฃ
Okay, nashare na ninyi hadithi hii ya kweli iliyonitokea mimi mwenyewe, hua naumia sana kila nikiwaza kwa ujinga wangu nilivyohatarisha mahusiano yangu na kuharibu maisha ya huyu binti,
Mwaka 2020, nilienda kwenye semina ya vijana juu ya uelewa wa Afya ya Akili, kulikua kuna taasisi nyingi zilialikwa ikiwemo na sisi, basi muda wa kupata chakula cha mchana nikamuona binti mmoja mrembo amekaa meza ya peke yake anakula taratiibu, akilini nikahisi anajitenga kwa hiyo nilibeba chakula changu na kuwaacha wenzangu wanaelekea kukaa meza nyingine nikaenda kukaa na yule binti, nilimsamlimia na kumuuliza kama ninaweza kukaa akanikaribisha kwa tabasamu zuri, basi tukaanza kupiga story za hapa na pale hadi tulipomaliza kula tukaagana na kila mmoja akarejea alipokaa awali, kiukweli mimi sikumtilia maanani tena,
Semina ilivyoisha wakati najiandaa kuondoka yule binti akaja mbio na kuniomba namba ya simu, nilisita kidogo akadai ana shida ya ushauri basi nikampa chap nikaondoka,
Nilivyofika home mida ya saa moja jioni sms ikaingia muhusika akajitambulisha anaitwa LILY (sio jina halisi) tulikutana kwenye semina hapo ndipo mawasiliano yalipoanza rasmi,
Nitajaribu kuifupisha maana sina kipaji cha uandishi,
Mimi na Lily tukawa marafiki sana, mimi nilimchukulia kama mdogo wangu (alikua chuo mwaka wa pili) huku yeye akitengeneza hisia za mapenzi kwangu licha ya kujua nipo kwenye mahusiano,
Siku moja akanipigia simu niende kwake alikua anaumwa sana, nakumbuka jioni baada ya kumaliza kazi nikanunua matunda na mazaga mengine nikaenda kumuona mdogo wangu mgonjwa, ilikua mara ya kwanza kufika kwake, alikua amepanga chumba master na jiko, alifurahi sana kuniona kila mara alisema hakuamini kama ningeenda, nakumbuka alivyoifakamia chocolate niliyomletea, anapenda sana chocolate, nilikaa kama masaa mawili nikaaga, akaniomba aoge kisha anisindikize japo nje tu, nikasema poa, alipotoka kuoga dah! hata sielewi ilikuaje nikajikuta namsaliti babe wangu ๐ญ๐ญ pia nikanasa kwenye mtego mbaya sana ambao unanitesa hadi leo, just one mistake ๐๐ป.......
Mnisamehe siwezi kuandika yote hapa itakua ndefu sana itawaboa.
Itaendelea